KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Monday 5 September 2011

TASWIRA ZA MAHAFALI YA ST.THERESE OF LISIEUX KINDERGARTEN/PRIMARY SCHOOL

Baadhi ya wanafunzi wa darasa la sita wa shule ya ST.Therese Lisieux iliyopo Ukonga jijini Dar es Salaam wakiongozwa na muongoza kwaya kuimba wimbo wa kuwaaga na kuwapongeza wahitimu wa kidato cha saba katika shule hiyo hapo jana.
Baadhi ya wanafunzi wa darasa la  pili wa shule ya ST.Therese Lisieux iliyopo Ukonga  jijini Dar es Salaam wakitoa heshima ikiwa ni ishara ya heshima ya kuwaaga  wahitimu wa kidato cha saba katika shule hiyo ilyofanyika mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya walimu wa Shule ya ST.Therese Lisieux iliyopo Ukonga jijini Dar es Salaam wakiwa kwenye hafla ya mahafali ya Saba (7) katika shule hiyo.
Baadhi ya wahitimu darasa la saba (7) katika shule ya ST.Therese Lisieux iliyopo Ukonga jijini Dar es Salaam wakifuatilia hotuba ya Mgeni rasmi katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment