KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Tuesday 6 September 2011

Mgombea Ubunge Jimbo la igunga Kwa tiketi ya UMD

Mgombea ubunge kwa tiketi ya UMD, Ndegeya Lazaro akitoka kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo kwa baiskeri katika ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Igunga, mkoani Tabora jana. Uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika jimboni humo hivi karibuni.Picha na Joseph Zablon.

No comments:

Post a Comment