KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Saturday 22 January 2011

Man United yaua, Arsenal yakandamiza

 

Manchester United ikionesha kiu ya ushindi, wameilaza Birmingham mabao 5-0, huku Dimitar Berbatov akifunga mabao matatu na mkongwe Ryan Giggs akifunga moja, akiwa msaada mkubwa kwa ushindi huo.
Berbatov akipachika moja ya mabao yake matatu
Berbatov akipachika moja ya mabao yake matatu


Berbatov alifunga bao la kwanza mapema katika sekunde ya 95 kwa mkwaju mkali baada ya Roger Johnson wa Birmingham kupoteza mpira. Bao la pili la Manchester United lilifungwa tena na Berbatov katika dakika ya 31
Mkongwe Giggs aliinua matumaini ya Manchester United kuutwa ubingwa na pia kutopoteza mchzo msimu huu, kwa kufunga bao zuri la tatu kabla ya mapumziko.
Berbatov aliyeonekana mwenye njaa ya kufunga mabao, alipachika bao la nne na la tatu kwake katika mchezo huo, baada ya kupokea pasi nzuri ya Giggs mara nyingine katika dakika ya 53, kabla Nani kuhitimisha karamu ya magoli kwa kupachika bao la tano dakika ya 76 na kuwaacha Birmingham wameishiwa mbinu zaidi.
Vinara hao wa Ligi, Man United wapo pointi mbili mbele ya Arsenal inayoshika nafasi ya pili, na rekodi yao ya kutopoteza mchezo kwamwe haiko hatarini baada ya Birmingham kuonekana haina nguvu ya ushindani.
Naye Robin van Parsie alifanikiwa kufunga mabao matatu peke yake na kuipatia timu yake ya Arsenal ushindi wa mabao 3-0 na pointi tatu dhidi ya Wigan katika uwanja wa Emirates.
Robin van Parsie akipachika moja ya mabao yake
Robin van Parsie akipachika moja ya mabao yake

Mlinda mlango wa Wigan Ali Al Habsi, aliwapa matumaini ya mapema wenzake kutokana na kuokoa mikwaju mikali ya wachezaji wa Arsenal, nafasi nzuri zaidi pale alipowanyima nafasi Cesc Fabregas na Van Persie.
Lakini Ali Al Habsi hata hivyo alishindwa kumzuia Van Persie kupachika bao la kwanza katika dakika ya 21, akiwa ndani ya sanduku la hatari na baadae katika dakika ya 58 alipopata pasi nzuri ya juu na ya mbali kutoka kwa Fabregas.
Van Persie alikosa kufunga mkwaju wa penalti, ambapo Gary Caldwell alitolewa nje kutokana na rafu aliyocheza na pia van Parsie mkwaju wake mwengine ukagonga mwamba wa lango, kabla hajaweka wavuni bao lake la tatu kwa mkwaju karibu na lango dakika ya 85.
Ushindi huo wa Arsenal umewawezesha kuwasogelea vinara wa ligi hiyo Manchester United na kusogea hadi nafasi ya pili kabla ya Manchester City waliokuwa wakishikilia nafasi ya pili hawajaingia uwanjani kuikabili Aston Villa. Arsenal hadi sasa wameweka kibindoni pointi 46.
Naye Kieran Richardson akisakata kandanda safi kipindi cha kwanza na kufunga mabao mawili peke yake, aliweza kuimarisha nguvu ya Sunderland kuwania nafasi ya msimu ujao kucheza kombe la Europa, baada ya kuwalaza Blackpool mabao 2-1.
Sunderland wakishangilia
Sunderland wakishangilia


Richardson alifunga bao la kwanza dakika ya 15 baada ya Sunderland kushambulia kwa kustukiza na alimalizia vizuri pasi ya Asamoah Gyan.
Alifunga bao lake la pili katika dakika ya 36 baada ya kazi nzuri ya Steed Malbranque.
Blackpool walipata bao la kufutia machozi kwa mkwaju wa penalti wa Charlie Adam katika dakika ya 86 na kufanya matokeo hadi mwisho mabao 2-1 kwa Sunderland.
Sunderland wamefika nafasi ya sita ya msimamo wa Ligi wakikusanya pointi 37.
Kwa upande mwengine Clint Dempsey alifunga mabao mawili yaliyoisaidia timu yake ya Fulham kukamilisha mchezo wa pili wa Ligi dhidi ya Stoke katika kipindi cha mwezi mmoja kwa ushindi.
Clint Dempsey akishangilia bado
Clint Dempsey akishangilia bado


Stoke walikuwa na nafasi nzuri ya kuongoza baada ya Ryan Shawcross mpira wa kichwa alioupiga kwenda nje na pia mkwaju wa Kenwyne Jones kugonga mwamba.
Matokeo hayo wamefika nafasi ya 14 wakiwa na pointi 26.
Bao la Marouane Fellaini katika dakika za nyongeza limeweza kuiokoa Everton na kuwanyima West Ham waliocheza wakiwa 10 nafasi ya kukwamuka kutoka mkiani baada ya timu hizo kutoka sare ya 2-2.
Marouane Fellaini akishangilia na wenzake wa Everton
Marouane Fellaini akishangilia na wenzake wa Everton


Jonathan Spector aliipatia bao la kwanza West Ham baada ya pasi ya Luis Boa Morte, kabla ya Diniyar Bilyaletdinov kuisawazishia Everton.
Frederic Piquionne alijibu mashambulizi na kuipatia West Ham bao zuri la pili la kichwa kabla hajatolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kushangilia bila nidhamu bao hilo.
Matokeo hayo yanazidi kuibakisha West Ham mkiani wakiwa na pointi 21 na Everton wakiwa nafasi ya 13 na pointi 27.
Newcastle walishindwa kuhimili vishindo dakika za mwisho vya Tottenham, baada ya walinzi wake kumruhusu Aaron Leonnon awapite na kusawazisha, hali iliyofanya timu hizo kutoka sare ya 1-1 katika uwanja wa St James' Park.
Wachezaji wa Newcastle wakishangilia bao
Wachezaji wa Newcastle wakishangilia bao


Bao la Newcastle lilifungwa na mlinzi Fabricio Coloccini dakika ya 59 kipindi cha pili hali lililoweka matumaini makubwa kwa mashabiki wa timu hiyo wangeweza kunyakua pointi tatu.
Na Shola Ameobi, Peter Lovenkrands na Leon Best walikaribia kuipatia mabao Newcastle, kabla ya bao hilo la kuswazisha dakika za mwisho la Lennon.
Kwa sare hiyo Newcastle wamebakia nafasi ya saba wakiwa na pointi 30, huku Tottenham waking'ang'ania nafasi ya tano na pointi 30.

Duvalier asema amerejea kuijenga Haiti

 

Aliyewahi kuwa Rais wa Haiti, Jean Claude "Baby Doc" Duvalier, amesema kurejea kwake ghafla nchini humo baada ya kuishi uhamishoni kwa miaka 25, ni kwa sababu anataka kusaidia kuijenga upya nchi yake.
Jean Claude "Baby Doc" Duvalier
Jean Claude "Baby Doc" Duvalier


Katika taarifa yake kamili tangu arejee siku ya Jumapili, pia alionyesha masikitiko yake na huzuni kwa wale ambao wanajiona waliathirika enzi za utawala wake.
Matamsnhi yake yanajitokeza wakati kukiwa na msukosuko wa kisiasa nchini humo, ambao ulisababisha kufutiliwa mbali kwa awamu ya pili ya uchaguzi wa Rais.
Siku ya Ijumaa, Marekani iliwanyang'anya hati za kuingilia nchini mwake maafisa kadhaa wa Haiti, ikiwa ni sehemu ya kuichagiza serikali kumtupa nje ya kinyag'anyiro mgombea inayempendelea katika uchaguzi huo wa marudio.

LISTEN A STORY OF---- BAD BOYS

Barclays Msimamo wa Ligi Kuu ya England

 

Asabar, 22 Januari 2011
PositionTimuMTGPNT
Full Barclays Msimamo wa Ligi Kuu ya England
1Man Utd212445
2Man City231845
3Arsenal222343
4Chelsea221938
5Tottenham22637
6Sunderland23334
7Bolton23330
8Stoke22230
9Newcastle22329
10Blackpool21-528
11Blackburn23-828
12Everton22-226
13Liverpool22-426
14West Brom22-1225
15Fulham22-223
16Birmingham21-523
17Aston Villa22-1522
18Wigan22-1522
19Wolves22-1421
20West Ham23-1920

Pele aipigia debe Spurs


Mchezaji soka maarufu wa zamani kutoka Brazil, Pele, ameingilia ubishi kuhusu umiliki wa uwanja wa Olimpiki wa mjini London, baada ya mashindano ya mwaka 2012.
Uwanja wa Olimpiki 2012
Spurs na Hammers wanautaka uwanja wa Olimpiki
Pele anaipigia debe klabu ya Tottenham.

Vilabu vya Tottenham na West Ham siku ya Ijumaa viliwasilisha barua zao za mwisho rasmi kutaka kuumiliki uwanja huo, katika eneo la mashariki mjini London.
Katika barua aliyoiandika, Pele anaunga mkono mipango ya Tottenham ya kutaka kuondoa sehemu ya uwanja ya riadha, na kuukarabati kabisa kwa kuufanya uwanja wa soka.
Kampuni inayohusika na usimamizi wa uwanja, Olympic Park Legacy Company (OPLC), tayari ilikuwa imepokea mapendekezo ya awali kutoka kwa vilabu hivyo viwili.
Ombi la Spurs pia limepata nguvu kwa kuungwa mkono na mchezaji mwingine wa zamani, Jimmy Greaves, ambaye aliweza kuifungia Tottenham magoli 220 katika jumla ya mechi 321 games for Spurs

Chadema`s Slaa, five other accused absent from court

Chadema`s Slaa, five other accused absent from court

22nd January 2011
CHADEMA Secretary General Dr Wilbroad Slaa
 

CHADEMA Secretary General Dr Wilbroad Slaa was among six people facing charges of unlawful procession who did not appear at the Arusha Resident Magistrate’s Court yesterday during mention of the case.
Dr Slaa and five other people, including his fiancée, Josephine Mushumbusi, failed to appear before the court for what their advocate, Method Kimomogoro, described as health complications associated with the January 5 scuffle with the police.
The rally, in Arusha city, two weeks ago turned sour with three people being killed after the party’s members and supporters clashed with the police.
He told the court that Dr Slaa and Josephine failed to appear before the court because they were recovering at the Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI), after being operated on.
The advocate presented a medical accreditation to prove that Dr Slaa and Josephine were admitted to MOI.
Kimomogoro further told the court that other defendants like Dadi Gogo, Juma Wambura, Elisante Noel and Michael Kimario failed to appear before the court because they were unable to walk due to the bullet injuries they sustained during the scuffle.
However, Resident Magistrate Charles Magesa ordered that the four accused should submit medical certificates during the next mention to show that they are still sick.
Public prosecutor Zakaria Elisaria told the court that two out of the 31 defendants were set free by the police in Arusha, bringing to 29 the number of accused.
He also said investigations were yet to be completed, requesting the court to adjoin the case. The magistrate granted the request, setting the mention for February 22.
According to the charge sheet on January 5, this year, Chadema party leaders, members and supporters held a public rally in the country’s leading tourism city without permission from the police.
State Attorney Augustine Kombe said in so doing, the leaders and their supporters breached the Police Force Ordinance.
The accused include the party’s national chairman, Freeman Mbowe, who is MP for Hai; Secretary-general Dr Wilbroad Slaa and chief of protocol Bazil Lema.
Three other party’s MPs in the list of accused are Philemon Ndesamburo (Moshi-Urban), Joseph Selasini (Rombo) and Godbless Lema (Arusha-Urban).
Others are party members Josephine (Mushumbusi) Slaa, Derick Magoma, Richard Mtui, Acquilene Chuwa, Proches Kimario, Nai Stephen, John Raymond, Juma Samwel Wambura and Dady Igogo.
Also in the list are Kennedy Bundala, Esebio Akaro, Bakari Issa, Elisante Noel, Kelvin Onyango, Michael Daudi, Prosper Kimaro, Peter Marua, Frank Logath, Matheus Valerian and Walter Mushi.
The state is also accusing Pancras Kimario, Swalehe Salum, Mevongori Lukumay and Daniel Titus of taking part in the illegal protest.

JK launches fundraiser for UDSM resource centre

22nd January 2011
President Jakaya Kikwete

President Jakaya Kikwete on Thursday formally launched a fundraising campaign for the construction of the University of Dar es Salaam Student Resource Centre injecting 1.4bn/- in cash and pledges into the kitty which now has 2.3bn/-.
The University community and staff who floated the 17bn/- project to mark the 50th anniversary of the institution have already collected 1.2bn/-.
Fundraising for the centre was made in a mark of committed support to Tanzania’s oldest higher learning institution.
“This is a case for support, and the existing infrastructure at UDSM does not augur well with 21st century challenges. Students still sit on concrete made stools popularly referred to as ‘Madegree’ or a new innovative word ‘vimbweta’ whose meaning I cannot even comprehend. So when I was approached to contribute towards the noble idea and grace the launch of the project, I did not hesitate to give the nod,” said President Kikwete.
Speaking at the ceremony held at State House grounds in Dar es Salaam, the President said no meaningful development in the country could be achieved without education.
“UDSM was established two months before the then Tanganyika attained its independence, the growth and development of the University of Dar es Salaam mirrors the development of independent Tanzania,” he said, scoffing at those who claim the country have made no strides in the sector.
“There were only 13 students in 1961 and currently we speak of 17,000 students in the main campus. This is no little achievement,” he added.
President Kikwete pledged his personal contribution of 10m/- towards the noble cause while his friends supported him with a 1bn/- donation.
The fundraising was attended by among other dignitaries, Ambassadors Alfonso Leinhardt of United States of America (USA) and Bjarne Sorensen of Denmark; Governor of Bank of Tanzania (BoT), Professor Benno Ndulu, Ministers, and prominent businessmen.
In his remarks the UDSM Vice Chancellor Prof Rwekaza Mukandala said over 80 per cent of students at the main campus live off campus; some in hostel facilities located outside the campus while others stay in privately arranged rooms impacting negatively on their studies.
“Alarming challenges facing these off-campus students Mr President, and to a lesser extent their colleagues, is acute shortage of space for daytime study, relaxation and recreation,” said Prof Mukandala.
He said the centre is both a physical and a virtual location or place designed to facilitate, among other things, students’ access to information about programmes and events, to group or collective amenities and facilities.
According to VC Mukandala the centre is supposed to provide space for work, leisure, relaxation and a more reflective and productive thinking, which is a focal point for community life at the University.
Retired Prime Minister and a long time alumni of UDSM who doubles as the president of the graduates community, Joseph Sinde Warioba said the need for a students’ centre was long overdue.
“There is no places for students to study, do their assignments, access internet, eat, reflect and rest due to expanded enrolment,” said Warioba.
He called upon well-wishers and the general public to contribute bountifully towards the project for the betterment of the future generation.

MBUNGE Nyalandu akabidhi matrekta wakulima singida

Jumamosi, 22, January 2011
Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, akitoa maelekezo muda mfupi kabla kukabidhi matrekta 12 kwa wanachama wa Mtinko Saccos.







WANACHAMA 12 wa Mtinko Saccos ya Kijiji cha Mtinko, wilayani Singida, wamekopeshwa matrekta 12 yenye thamani ya zaidi ya Sh202 milioni.

Akizungumza kwenye kukabidhi matrekta hayo, Mwenyekiti wa Saccos hiyo, Elinywesia Sima, alisema lengo ni kuwezesha wanachama wao kuongeza kipato kwa kutumia nguvu kidogo kulima mashamba yao.

Matrekta hayo yalikabidhiwa na Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Lazaro Nyalandu.

Sima alisema kati ya matrekta manne makubwa, matano ni ya aina ya HP 20 na matatu ni aina ya Power tiller.
Alisema lengo la mkopo huo, ni kutekeleza azma ya Kilimo kwanza ili wakopaji waweze kujikwamua kiuchumi na kupunguza au kutokomeza kabisa umaskini.

“Wanachama hawa waliokopa matrekta, wameahidi kulima kilimo cha biashara ili waweze kuinua hali zao kiuchumi na kuwa na uhakika wa chakula kwa kipindi chote cha mwaka,” alisema huyo.

Alisema msukumo utaelekezwa zaidi kkwenye kilimo cha alizeti, zao ambalo lina soko la uhakika na litauzwa kwa mfumo wa stakabadhi ya mazao ghalani.

Kwa mujibu wa mwenyekiti, Mtinko Saccos inafanya kazi kwenye vijiji 10; Mtinko, Minyenye, Ndughwira, Mughanga, Mpambaa, Malolo, Kijota, Nduu, Mitonto na Ikiwu.

Kwa upande wake, Nyalandu aliwataka wanachama hao kutumia vizuri  matrekti hayo kupanua kilimo chao.

MAZIWA YA MGANDO NI DAWA YA KUPUNGUZA UNENE

 
Jumamosi, 22 January 2011

UTAFITI mpya umegundua kuwa, bakteria wanaopatikana katika maziwa ya mgando, mtindi na uji uliochacha vinaweza kufanya kazi mara mbili zaidi ya inayofanywa na vituo vya mazoezi (gym).

Matokeo ya utafiti huo yamekuja wakati mamilioni ya Watanzania wakihangaika kutafuta dawa na kufanya mazoezi ya aina mbalimbali ili kupunguza unene na uzito wa miili yao.

Utafiti huo uliotolewa hivi karibuni unaonyesha kuwa, bakteria rafiki, aitwaye ‘lactobacillus’ anayepatikana katika maziwa ya mtindi na vitu vingine vilivyochacha anao uwezo wa kupunguza unene na uzito kupita kiasi (obesity) na huzalisha kinga ya kuyeyusha mafuta ya ziada mwilini.

Dk David Mwaniki, Mwanasayansi kutoka Taasisi ya Utafiti ya nchini Kenya, alisema kuwa tangu mwaka uliopita wa 2010, wanasayansi wamejitahidi kuonyesha jinsi bakteria hao wanavyoweza kufanya kazi ya kumeng’enya mafuta katika mwili wa binadamu.

“Ninaamini kuwa, hii ni sehemu ya utafiti ambayo italeta mapinduzi katika kudhibiti fetma (obesity), vilevile jinsi virutubisho vyake vinavyofanya kazi nyingine za ziada,” alisema Mwaniki, ambaye taasisi yake imeonyesha hamasa ya kufanya utafiti kuhusu aina hiyo ya bakteria.

Wanasayansi hao walisema kuwa, watu wanaotoka katika jamii ambazo maziwa ya mtindi au uji ni sehemu ya mlo wao huwa wembamba kwa miili yao kutokana na aina hiyo ya bakteria.

"Wale wanaotumia maziwa ya mgando mara kwa mara au kwa muda mrefu wako katika nafasi ya kuwa na miili isiyo na mafuta pamoja na  kupunguza kasi ya kushambuliwa na magonjwa yanayosababishwa na viumbe mbalimbali," alisema Mwaniki.

Kaimu Mkurugenzi  wa Taasisi ya  Taifa ya Utafiti wa Tiba (NIMR), Dk Charles Massaga  alisema, hana taarifa rasmi  kuhusu utafiti huo, lakini akasema anakusudia kufuatilia kwa karibu  ili ikiwezekana  jopo la watafiti wa hapa nchini nao wachunguze kwa undani kama kweli maziwa ya mtindi yana uwezo huo.

“Kwa sasa sina taarifa kama kweli, maziwa ya mtindi yana uwezo wa kupunguza mafuta mwilini kama mnavyodai, lakini kwa kuwa habari kama hizo ni za msingi kwa watafiti kama sisi, hatuna budi kuzifanyia kazi kuanzia sasa,’ alisema Dk Massaga.

Dk Massaga alisema kama bakteria hao wanaopatikana katika maziwa ya mtindi wana uwezo wa kufanya kazi kama zilivyotajwa na wanasayansi hao itakuwa ni moja kati ya tiba nyepesi na zisizo na gharama kubwa.

“Kama kweli bakteria wanaoishi katika maziwa ya mtindi wana uwezo wa  kupunguza uzito, kuzuia maambukizi mbalimbali, wakati huo huo bado ikawa  ni sehemu ya lishe tena ipatikanayo kwa urahisi basi itakuwa ni moja ya tiba za gharama nafuu na za muhimu,” alisema.

Dk Massaga aliongeza kwa kusema, kama nchi za Afrika zimeweza kuwa na wanasayansi wenye uwezo mkubwa kiasi hicho basi Afrika inatarajiwa kuwa tishio katika wakati huu ambapo sayansi na teknolojia ndiyo msingi wa kila kitu.

Hata hivyo, utafiti mwingine kama huo uliofanywa hivi karibuni na Profesa Jeremy Nicholson kutoka Chuo Kikuu cha Imperial nchini Uingereza unaonyesha kwamba, bakteria aina ya lactobacillus wana uwezo wa kupunguza kiasi cha mafuta kilichonyonywa na mwili, hivyo kuondoa uwezekano wa kupata fetma au unene kupindukia.

Kwa mujibu wa profesa huyo, bakteria hao muhimu huweza  pia kuweka makazi katika uke na utumbo, kisha kuteketeza wadudu waharibifu wanaojulikana kisayansi kama ‘probiotics’.

Probiotics ni viumbe hai wanaosaidia kuimarisha mmneng’enyo wa chakula, kudhibiti vijidudu vya maradhi katika utumbo mpana, kuzuia ukuaji wa bakteria wenye madhara na kuongeza nguvu ya kinga ya mwili.

Utafiti huo unaeleza kuwa bakteria hao, wana uwezo wa kuimarisha kinga ya mwili na kumpa mwanadamu maisha yenye afya.

Dk Mwaniki alisema utafiti wa Profesa Nicholson na wenzake umeongeza vipengele muhimu katika vimelea hivyo vya probiotics ambavyo ni kuimarisha afya kwa watoto na watu wengine, hasa katika ugonjwa hatari wa Ukimwi.

Alisema bakteria hao (lactobacillus) wana uwezo mara mbili wa kuzuia kuharisha na kuzuia maambukizi ya virusi vya UKIMWI kwa watoto.

“Tumegundua kuwa, lactobacillus wana uwezo wa kubadilisha mimea midogomidogo katika utumbo na kuwafanya bakteria wanaosababisha madhara kwa watoto hata watu wazima wasiishi” alisema Dk Mwaniki.

Aliongeza kuwa: “cha kufanya kwa sasa, ni mataifa kuweka mipango ya  kuwaongeza bakteria hao na kuanzisha sheria za nchi ambazo zitaonyesha jinsi watakavyotumika kama sehemu ya mlo ili kuimarisha afya za watu.”

Mbali na tafiti hizo utafiti mwingine uliofanywa hivi karibuni na Taasisi ya Taifa ya Afya nchini Marekani,(ANIH) umeonyesha kuwa bakteria wa probiotics wana uwezo wa kuzuia maambukizi ya VVU kwa watoto wakati wa kunyonyesha.

Wakati huo huo watafiti hao walisema, wanawake wenye kiasi kidogo cha asidi katika mazingira ya uke wana nafasi kubwa ya kupata maambukizi ya VVU kwa urahisi ukilinganisha na wale ambao sehemu zao hazina tatizo hilo.

Takwimu za utafiti huo zinaonyesha kuwa, asilimia 78 ya wanawake wasio na tindikali ya kutosha katika uke wanaweza kuambukizwa maradhi kwa haraka na kwamba tiba ya tatizo hilo ni kuongeza  bakteria wa lactobacillus.

Habari zinasema, wanasayansi  wanaendelea kushawishika kuwa matumizi ya bakteria wasio na madhara huenda ikawa ni njia nyepesi ya kuzuia maambukizi, kwa kuwaongeza bakteria hao katika vyakula kama maziwa, mtindi, sukari au hata unga tangu viwandani wakati wa uzalishaji.

TRL YAREJESHA HUDUMA YA RELI YA KATI


Na Mary Kweka - MAELEZO
KAMPUNI ya Reli Nchini (TRL) imerejesha huduma ya usafiri wa reli ya kati kutoka mikoa ya Dar es salaam kwenda Kigoma na kuanzia leo ijumaa tarehe Januari 21, mwaka 2011.

Akizungumza na Waandishi wa Habari leo (jana) Mkuu wa Usafirishaji wa Reli hiyo Bw. Charles Ndenge usafiri huo umerejea baada ya kukamilika kwa ukarabati wa daraja lililopo kati ya stesheni za Bahi na Kintinku mkoani Dodoma.
“Huduma hii itaanza kwa kuzipitisha treni za mizigo zilizokuwa zimekwama katika mkoa wa Tabora kuja Dar es salaam na kwa sasa zitapita kwenye daraja hilo lililokarabatiwa na baadaye zitafuatiwa na treni ya abiria iliyotoka mkoa wa Kigoma jana joini kuja Dar-Es- Salaam ambayo imeshawasili Tabora” alisema Ndenge.
Aidha alisema kufuatia hatua hiyo, huduma ya usafiri wa treni ya abiria kutoka Dar es salaam kwenda kigoma inatarajia kuanza leo saa kumi na moja jioni ambapo treni nyingine kutoka Kigoma itafika Dar es salaam kesho Januari 22, 2011 majira ya saa mbili asubuhi.
Akifafanua zaidi alisema huduma ya usafirishaji wa abiria na mizigo kutoka Dar es salaam kwenda kigoma itakuwa inatolewa mara mbili kwa wiki kwa siku za jumanne na ijumaa na inatajiwa kuanza rasmi januari 25, 2011.

Akizungumzia kuhusu huduma ya usafiri wa reli kanda ya ziwa mikoa ya ikiwemo mkoa Mwanza, alisema huduma hiyo bado haijaanza kutokana na kutokamilika kwa ukarabati wa mabehewa ya kutosha kusafirishia abiria na mizigo.
“Kwa usafiri wa Mwanza bado hatujajua tutaanza lini kwani tunaendelea kukarabati mabehewa ya abiria na mizigo ambapo yatakapokuwa tayari tutawatangazia wananchi na wadau wote wa usafiri wa reli ratiba nzima itakavyokuwa”

Kampuni ya Reli Tanzania ilisitisha kwa muda huduma zote za usafiri wa reli ya kati kuanzia januari 11 mwaka 2011 baada ya kuharibika kwa daraja lililoko kati ya stesheni za Bahi na Kintinku mkoani Dodoma ambapo mkondo wa maji uliharibu nguzo moja kati ya nne zilizokuwa zimeshikilia daraja hilo na kusababisha sehemu ya kati ya daraja kutitia.

Friday 21 January 2011

Thin crust pizzas can be 'unhealthy'

 

Laden with fat, saturated fat and salt, consumer watchdog finds

Thin crust pizzas may not be the health option
© Liveshot - Fotolia.com
Eating a thin crust or fresh pizza may not be a healthier option, a study has found.
Deep-pan, stuffed crust and frozen pizzas can contain less fat, saturated fat, salt and calories than the thin crust varieties which are often assumed to be healthier.
Experts from the consumer watchdog Which? analysed the nutritonal content of 162 cheese and tomato and pepperoni pizzas available in the major supermarkets and take-away chains in the UK.
They found that thin pizzas could be higher in fat and saturated fat than the deep pan and stuffed crust versions. Tesco’s Italian Romana Margherita, which has an "ultra thin" base, was found to contain twice as much fat and saturated fat per 100g as its Trattoria Verdi Deep Pan Cheese pizza.
Frozen supermarket pizzas also tended to be healthier than fresh ones. Morrison's frozen Thin and Crispy Pepperoni pizza contained less fat, calories and salt than its fresh Thin and Crispy Pepperoni pizza.
And supermarket pizzas weren’t always healthier than those from take away chains. Gram for gram, Dr Oetker’s Chicago Town Edge to Edge Thin & Crispy California Cheese contained more fat and saturated fat than any of the cheese and tomato options, including those from Domino’s and Pizza Hut.
Pizzas with the same topping could contain up to three times more fat and salt, depending on the brand. Sainsbury’s fresh Basics Cheese & Tomato pizza had 5g of saturated fat per 100g, while Tesco’s fresh Full-on-Flavour Cheese Feast Deep Crust Pizza had 14g.
Which? also found an "enormous and often unrealistic" range of portion sizes and different front-of-pack nutrition labelling schemes, even by the same manufacturer.
Goodfella’s and Chicago Town were among the worst offenders for portion size, according to Which?, as they suggested that people eat a quarter of a pizza which the consumer watchdog considered unlikely. Some supermarket own-brand pizzas were also guilty of doing this.
Which? chief executive Peter Vicary-Smith said: “You can’t expect people to stand poring over pizza labels in the supermarket to see which one has more fat or salt in it.
"We want clear, front-of-pack labelling, including traffic light colours, and consistent portion sizes so people can easily compare like with like.”
Health quiz

HEALTH QUIZ: Healthy heart quiz

Heart disease kills more people in the UK than any other cause. Take our quiz to find out if you know what puts you at risk of heart disease and heart attacks.

Take the quiz now >>

More quizzes >>

POINTS ON HOW TO IMPROVE YOUR LIFE

USHAURI WA BURE KWA WATU WOTE 



by Randy Pausch

Personality:

1. Don't compare your life to others. You have no idea what their journey is all about.

2. Don't have negative thoughts of things you cannot control. Instead invest your energy in the positive present moment.
3. Don't over do; keep your limits.
4. Don't take yourself so seriously; no one else does.
5. Don't waste your precious energy on gossip.
6. Dream more while you are awake.
7. Envy is a waste of time. You already have all you need.

8. Forget issues of the past. Don't remind your partner of his/her mistakes of the past. That will ruin your present happiness.
9. Life is too short to waste time hating anyone. Don't hate others.

10. Make peace with your past so it won't spoil the present.
11. No one is in charge of your happiness except you.

12. Realize that life is a school and you are here to learn.
Problems are simply part of the curriculum that appear and fade away like algebra class but the lessons you learn will last a lifetime.

13. Smile and laugh more.
14. You don't have to win every argument. Agree to disagree.

Community:

15. Call your family often.
16. Each day give something good to others.
17. Forgive everyone for everything.
18. Spend time with people over the age of 70 & under the age of 6.
19. Try to make at least three people smile each day.
20. What other people think of you is none of your business.

21. Your job will not take care of you when you are sick. Your family and friends will. Stay in touch.

Life:

22. Put GOD first in anything and everything that you think, say and do.

23. GOD heals everything.
24. Do the right things.
25. However good or bad a situation is, it will change.
26. No matter how you feel, get up, dress up and show up.
27. The best is yet to come.
28. Get rid of anything that isn't useful, beautiful or joyful.
29. When you awake alive in the morning, thank GOD for it.

30. If you know GOD you will always be happy. So, be happy.
While you practice all of the above, share this knowledge with the people you love, people you school with, people you play with, people you work with, and people you live with...

Not only will it enrich YOUR life, but also that of those around you

Thursday 20 January 2011

JAMII YA WAMASAI NGORONGORO WAHITAJI MSAADA WA SHULE

JAMII ya kimasai inayoishi katika hifadhi ya Ngorongoro bado ina matatizo makubwa katika suala zima la elimu hasa ikizingatiwa serikali inasema kuwa tayari imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kujenga shule kila kata ambapo mtoto wa kitanzania hatokaa nyumbani wkwa kukosa shule Katika uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa gazeti hili aliyekuwepo katika hifadhi hiyo imegundulika kuwa pamoja na serikali kutoa takwimu nzuri zinazoonyesha kufanikiwa katika sekta za elimu lakini bado jamii hiyo inaonekana kusahaulika mpka kufikia na kusema kuwa pengine wao si watanzania.

Ndani ya eneo hilo la Ngorongoro kuna boma amabalo hutumiwa na jamii ya wamasai ambao wameungana kutoka katika vijiji vya Endure,Esele na Olpiryo ambapo watoto wa jamii hiyo wameonekana kuhitaji elimu lakini kikwazo kimekuwa ni majenngo pamoja na walimu ambao watawatoa katika wimbi la watu wasiokuwa na elimu.
Akiongea katika eneo hilo la Boma mwalimu aliyejitolea kuwafundisha wanafunzi hao wa shule ya awali ya Kiroki Mwalimu Paul Demlwa alisema kuwa serikali imewasahau kitu ambacho kinapelekea watoto wa jamii hiyo kukosa elimu kama inavyortakiwa.
Mwalimu huyo ambaye ni mhitimu wa stashahada katika chuo cha Butimba jijini Mwanza ambapo alisema kuwa hakupenda kuajiriwa katika shule za mjini ambapo shule ni nyingi nakuacha jamii yake ya kimasai ikikosa elimu wakati yeye anaweza kuwa mwanga katika jamii hiyo.
‘Mimi nimemaliza katika chuo cha Butimba jijini Mwanza lakini sikupenda kuajiriwa wakati jamii yangu ya kimasai inakosa elimu “ alisema mwalimu Paul katika Kiswahili chenye lafudhi ya kimasai Alisema shule ambayo pengine vijana hao wangesoma katika kupata elimu japo ya msingi ipo mbali kilomita 36 kitu ambacho hakiwezekani kwa kijana kwenda na kurudi ikizingatiwa hata shule hizo hakuna chakula  ambacho mwanafunzi angeweza kula huko.
Mbali na kusema hivyo Mwalimu Paul alisema kuwa waliamua kuishi katika eneo hilo kwani ni eneo ambalo ndio njia inayopitiwa na watalii ambao kwao ni njia rahisi ya kupata fedha tofauti na watakapo kwenda kuishi mbali kwani kazi za mikono yao ndio uwaingizia fedha na ikizingatiwa wageni wanapenda kujua historia ya jamii hiyo.
Aidha baadhi ya wamasai katika eneo hilo walisema kuwa hakupenda kuishi katika ameneo hayo bali ugumu wa maisha ndio chanzo cha wao kwemnda kuishi ndani ya hifadhi hiyo.
“Sio kwamba sisi tunapenda kuishi katika bonde hilo bali ugumu wa maisha ndio unasababisha twende huku maana hatuna pesa na maisha yanazidi kuwa magumu”walisema wamasai hao Walisema kuwa wanashukuru uongozi wa hifadhi ya Ngorongoro kwa msaada mkubwa wanaowapatia kwani bila kufanya hivyo pengine hawajui wangeishi vp hasa kipindi ambacho watalii hakuna.
Waliongeza kuwa kinachotakiwa kwasasa ni uongozi wa hifadhi hiyo kuongeza japo fungu ambalo litasaidia katika mahitaji yao kulingana na hali ya sasa ya maisha hasa katia suala ziama la matibabu.
Akiongea na waandishi wa habari katika makao makuu ya hifadhi ya Ngorongoro mkuu wa hifadhi hiyo Bernad Murunya alisema kuwa wamekuwa na mahusiano mazuri na jamii ya wafugaji ambao wamekuwepo eneo hilo tangua zamani kitu ambacho kitasababisha huduma kwa jamii hiyo liwe ni jambo la msingi.
Alisema kuwa tangu kuanzishwa kwa hifadhi hiyo mwaka 1959 wenyeji wa eneo hilo wameongezeka kutoka watu elfu 8000 mpaka kufikia watu elfu 64000 lakini pamoja na wingi huo bado hifadhi hiyo inajitahidi kuwaendeleza kwa kutenga bajeti kila mwaka kwa ajili ya jamii hiyo.
Mrunya aliongeza kuwa bajeti hio ni pamoja na kusaidia mifugo yao katika kuwapatia chanzo,kujenga mabwawa,kuwapa maji,kujenga miundombinuna kama barabara, ulinzi na elimu kama kujenga shule katika maeneo ya jamii jiyo ya kimasai.
Alisema kwa sasa wanaangalia jinsi ya kuboresha sekta ya elimu katika jamii hiyo ingawa tayari waliishaanza kusomesha vijana kutoka shule za msingi mpaka vyuo vya kati,aliongeza kuwa mwaka uliopita walisomesha vijana 1048 kutoka msingi mpaka chuo kikuu ambapo wanamuongozo wa kuwasaidia wale wasiojiweza

FAO advocates policies on employment for rural youth

21st January 2011
Food and Agricultural Organisation
 

The Food and Agricultural Organisation has called on Tanzania to seriously implement policies which support rural employment, specifically in agriculture, for equitable and sustainable livelihood in order to eliminate acute youth rural-urban migration.
FAO Country Representative Louise Setshwayo said this on Wednesday in Dar es Salaam at the official launching of a workshop on Food and Agriculture.
Setshwayo said the government, through the project, has to implement agriculture since it will boost rural development and make youths employ themselves.
“As a large segment of manpower resides in rural areas, it is of paramount importance to create work opportunities there through empowering youths,” he said.
The representative said further that many youths in rural areas were facing ruthless life which forces them to migrate to urban areas.
“Some 300 million youths work worldwide and only earn less than USD 2 a day,” said Setshwayo.
She added such youths in rural areas are employed in the informal sector and in unpaid family works especially in agriculture.
Speaking on behalf of the permanent secretary in the Ministry of Agriculture, director of research and development in the ministry, Fidelis Myaka, said Tanzania directs part of its resources to support rural development in agriculture so as to alleviate rural poverty.
“The government uses its resources to achieve quality agriculture through conducive environment, capacity building of farmers and facilitate private sectors to support the rural farming societies,” said Myaka
He analyzed critical challenges facing rural development such as overdependence on rain-fed agriculture, poor storage, communication and transport facilities, low investment in agriculture and a low level of mechanisation.
Others are low level technology which leads to the use of poor seeds, and low budget allocation.
Meanwhile, Monika Percic from FAO headquarters in Rome said that the project took off this month and will continue up to December 2013.
She said the project would be implemented through government support in implementing its agricultural policies.

Chadema leaders, supporters to appear in court today

 

21st January 2011
 

CHADEMA top leaders and dozens of their supporters are expected to appear in the Arusha Resident Magistrate’s Court here today to answer charges of taking part in an illegal rally, which turned violent and caused the death of three people a fortnight ago.
According to court records, on January 5, this year, Chadema party leaders and supporters held a public rally without permission from police. State Attorney Augustine Kombe said in doing so, the leaders and their supporters breached the Police Force Ordinance.
Those lined up to appear in court today before presiding magistrate Charles Magesa include party’s national chairman, who is also Member of Parliament for Hai, Freeman Mbowe, secretary-general, Dr Wilbroad Slaa, chief of protocol, Bazil Lema.
On the list also are MPs - Philemon Ndesamburo (Moshi-urban), Joseph Selasini (Rombo) and Godbless Lema (Arusha-urban). Others; are party members Josephine Slaa, Derick Magoma, Richard Mtui, Acquilene Chuwa, Proches Koimario, Nai Stephen, John Raymond, Juma Samwel Wambura and Dady Igogo.
Other members expected to appear in court are; Kennedy Bundala, Esebio Akaro, Bakari Issa, Elisante Noel, Kelvin Onyango, Michael Daudi, Prosper Kimaro, Peter Marua, Frank Logath, Matheus Valerian and Walter Mushi.
The state is also accusing Pancras Kimario Swalehe Salum, Mevongori Lukumay and Daniel Titus of taking part in the illegal rally.
Magistrate Magesa postponed the hearing of the criminal case after the accused were released on bail two weeks ago.
Lawyers Method Kimomogoro and Albert Msando are representing the accused, while the state is represented by State Attorney Agustino Kombe.
Meanwhile, all victims of the January 5 skirmishes have been discharged from all hospitals in Arusha and Kilimanjaro regions. In an exclusive interview with ‘The Guardian’ here yesterday, Arusha regional chief physician Salash Toure said, “The victims have been discharged, as most of them responded well to the treatment,” he said.
When contacted for comment, Arusha Urban MP, Godbless Lema said 85 percent of the patients from Selian and KCMC have been discharged.
“We’re making closer follow-ups on the remaining victims,” Lema said, without disclosing the exact number of patients remaining in hospitals.

Hu na Obama waahidi kuimarisha uhusiano

 

Rais wa Uchina Hu Jinato na Rais wa Marekani Barack Obama
Rais wa Uchina Hu Jinato na Rais wa Marekani Barack Obama

Rais Barack Obama amesifu uhusiano kati ya Marekani na China ,akisema nchi hizo mbili zina mengi ya kufaidika katika mafanikio ya kila mmoja wao..
Katika sherehe iliyofanyika Ikulu ya White House kumkaribisha kiongozi wa China Hu Jintao, amesema Marekani na China zitakuwa na ufanisi na usalama zaidi zitakaposhirikiana pamoja.
Bwana Obama pia alizungumzia suala tete la haki za binadamu.
Bwana Hu alisema ushirikiano huo unapaswa kuwa kwa misingi ya kuheshiminiana na pia kuheshimu mifumo ya maendeleo ya mwenziwe.
Viongozi hao wamekuwa wakijadili masuala yanayohusika na sarafu na biashara pamoja na ulinzi na usalama.
Maafisa wa Marekani wamefichua kwamba Marekani imetia saini mkataba wa dola za kimarekani billioni 45 kuiuzia bidhaa China , mkiwemo ndege 200 za muundo wa Boeing .
Mwandishi wa BBC mjini Washinton Paul Adams alisema serikali ya Marekani inahakikisha kwamba ziara hii inapewa kila makaribisho yanayostahili.
Baada ya kuwasili kwa Bwana Hu, viongozi hao walipeana mikono na kisha kiongozi wa China alikaribishwa kwa heshima kamili za kijeshi.
Wakati wa sherehe hizo upande wa pili wa White House waandamanaji wanaotetea uhuru wa Tibet walionyesha hamasa zao dhidi ya kile wanachokiona kuwa ni utawala wa ukandamizaji... Wakipiga makelele ---: "nani muongo? Hu Jintao ni muongo " na "muuaji ,muuaji, Hu Jintao."

DAILY CUP OF GREEN TEA COULD WARD OFF CANCER

Green dream: Dr Ed Okello pours himself a cup of cancer-fighting tea (Picture: PA) Green dream: Dr Ed Okello pours himself a cup of cancer-fighting tea
Drinking of cup of green tea a day could help ward off Alzheimer`s and stop cancers in their tracks, B ritish reaserchers have concluded.
The ancient Chinese remedy works to protect brain cells against deterioration and slows cancerous cell growth, they believe.
The project at Newcastle University went further than previous studies by monitoring how chemicals in green tea would affect the body once digested.
‘We found when green tea is digested by enzymes in the gut, the resulting chemicals are actually more effective against key triggers of Alzheimer’s development than the undigested form,’ said Dr Ed Okello, who led the study.
‘We also found the digested compounds had anti-cancer properties, significantly slowing down the growth of tumour cells.’
The results are a breakthrough as previously it could not be assumed the body would absorb health-boosting chemicals in certain foods.
Compounds known as polyphenols present in black and green tea possess neuro-protective properties which protect brain cells, earlier studies show.
The mix of compounds prod­uced when these polyphenols are broken down is what Newcastle University researchers tested.
The team was able to establish for the first time if these foods are actually doing us any good.
Dr Okello said: ‘The digested chemicals protected the cells, prev­enting the toxins from destroying the cells. We also saw them affecting the cancer cells.
‘Green tea has been used in medicines in the Far East for thous­ands of years and now we are beg­inning to discover some of the science behind these claims.’
‘It’s fair to say that at least one cup of green tea every day may be good for you and I would certainly recommend it.’
Dr Anne Corbett, of the Alzheimer’s Society, said the study added to previous research suggesting green tea might help to reduce the risk of the disease

5 foods to help you look your best

Ageing, pollution, stress and fatigue can all take their toll on our appearance. From wrinkles to under-eye circles and eye bags to spots, the effects of our lifestyles can display themselves on our faces before we even start to feel them. Luckily, there is no need to opt for surgery just yet. By eating the right foods and paying attention to your diet, you can drastically improve your appearance. Here are our top five foods for a natural facelift.
Spinach
Spinach, like many other dark green leafy vegetables, is rich in an antioxidant called lutein. Not only is this great for healthy eyes, but more recent research has shown that it is also good for preventing wrinkles by helping to retain the skin's moisture and elasticity, increasing lipid levels and preventing damage caused by free radicals.

The benefits of spinach do not stop there, however, as the leafy vegetable also has the power to reduce dark circles under the eyes due to its high levels of vitamins K and C. Although there are many reasons behind dark circles - such as tiredness and heredity - one of the roots can be poor circulation. In cases where this is a problem, increasing your intake of vitamins K and C can alleviate them by helping to boost circulation and strengthening capillary walls.
Oysters
Besides being a well known aphrodisiac, oysters can also enhance your beauty. If you are suffering from pale, sallow skin or dark circles under your eyes, this may be due to vitamin B12 or iron deficiencies, both of which can cause anaemia. To beat pasty skin, try boosting your intake of these essential nutrients by stocking up on oysters, which have high levels of both. Other good sources include seaweed, clams and mussels.
Garlic
It may not be the most fragrant of foods, but garlic is a superfood that can have great skin benefits. As a natural antibiotic with blood cleansing, immune boosting, antibacterial properties, garlic is an effective, cheap and healthy way to help naturally treat acne. While there are many reasons people suffer from spots, garlic - particularly when eaten raw and crushed - can help reduce future breakouts, while its anti-inflammatory properties can reduce the swelling and inflammation of acne.
Avocados
Avocados often get a bad press due to their high levels of fats, however the healthy fats contained in an avocado can actually do wonders for your skin. Packed with omega-3 fatty acids, avocadoes can help to moisturise your skin from the inside and increase collagen production, helping to prevent wrinkles. The anti-inflammatory properties of avocado are also good for helping to reduce acne and psoriasis, while the high levels of vitamin E will help to keep your skin supple and prevent premature ageing.
Bananas
Many people know that fluid retention is the primary cause of belly bloating, but it can also be responsible for a puffy face and bags under the eyes. Fortunately, fluid retention can be treated through the diet by redressing the body's sodium/potassium balance. As these two minerals work against each other to balance water in the body, too little potassium - or too much salt - is one of the most common causes of water retention. Redress this by increasing your intake of potassium through foods such as bananas. Other potassium rich foods include strawberries, melon and papaya; making a fresh fruit salad a great choice for a supple, youthful face.
Read more from realbuzz.com

VIDEO YA LEO

WAZIRI CHAMI ATEMBELEA WAJASILIAMALI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Cyril Chami ( Katikati) akiongea katika majumuisho ya ziara yake ya kuwatembelea wajasiriamali wa sekta ya viwanda vidogo wanaofanya shughuli katika maeneo mbali mbali Jijini Dar es salaam. Kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa SIDO na kulia kwake ni Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Viwanda Vidogo na vya kati katika Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Consolata Ishebabi.
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Cyril Chami, amewataka wajasiriamali kote nchini kufanya kazi zao kwa kuzingatia ubora na mahitaji ya soko la bidhaa husika ili kufanya shughuli zao kuwa na tija.

Katika ziara yake ya siku moja jijini Dar es salaam, Waziri Chami amesema serikali inathamini mchango wa wajasiriamali katika uchumi wa nchi na kuwaahidi ushirikiano wa serikali katika kuwawezesha kwa kuwatafutia fursa za mafunzo, mitaji, masoko, malighafi na maeneo ya kufanyia kazi zao.

Aidha, amewaahidi wajasiriamali hao kuwa, Wizara yake kupitia SIDO itaandaa mafunzo hapa nchini na baadae ziara ya mafunzo nchini India ili kuwawezesha kujifunza kwa vitendo maendeleo makubwa ya kiteknolojia yaliyofikiwa nchini India.

Ziara hiyo ya Mh Waziri Dar es salaam ilianzia katika Mtaa wa Gerezani Kariakoo na kuendelea katika mtaa wa Tabata Dampo na kumalizikia katika eneo la Sido Vingunguti ambapo alipata fursa ya kuzungumza na wajasiriamali wanatengeneza bidhaa mbali mbali katika maeneo hayo na kubadilishana nao mawazo.

Dkt Chami amewataka wajasiriamali hao hasa wanaozalisha bidhaa za chuma kutotumia kisingizio cha ukosefu wa malighafi ya chuma kama sababu ya kuharibu miundo mbinu ili kupata bidhaa hiyo.

Amesema serikali iko mbioni kuanza uvunaji wa chuma ghafi katika migodi ya madini hayo iliyopo eneo la Liganga Mkoani Iringa ili kuondoa kabisa tatizo la ukosefu wa chuma ghafi hapa nchini na kukomesha biashara haramu ya chuma chakavu inayovutia watu wasio waaminifu kufanya hujma ya kuharibu miundombinu.

Kwa upande wao wafanyabishara hao wameiomba serikali kutatua haraka tatizo la mgao wa Umeme na gharama kubwa za nishati hiyo zinazofanya shughulu zao kutokuwa na tija na kuiomba mamlaka ya mapato Tanzania TRA kuangalia uwezekano wa kuwaondolea kodi kubwa wanazotozwa wajasiriamali hao.

Katika ziara hiyo, Dkt Chami aliongozona na Mkurugenzi Mkuu wa EPZA Dkt Adelhelm Meru, Mwakilishi wa Kamishna wa TRA Bw Allan Kiula na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Sido Bw Pius Wenga.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Cyril Chami akitazama mtambo wa kutengenezea bidhaa za nati na bolts zinazotengenezwa na wajasiriamali wadogo eneo la Vingunguti Sido.
Waziri wa Viwanda na biashara, Dkt. Cyril Chami akiongea na wajasiriamali katika eneo la Tabata dampo mara baada ya kuwatembelea hapo

kulikoni tunisia

Mawaziri Tunisia wajitoa chama cha RCD

Televisheni ya taifa imeripoti, mawaziri wote katika serikali ya mpito ya Tunisia ambao walikuwa katika chama cha Rais aliyekimbia, RCD, wamejitoa kwenye chama hicho.
Hata hivyo, mawaziri hao wataendelea kushikilia nafasi zao za uwaziri katika serikali ya umoja wa kitaifa.
Hapo awali, ilitangazwa kuwa zaidi ya wanachama 30 wa familia ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo walikamatwa.
Maandamano Tunisia
Maandamano Tunisia
Wakati hali Tunisia ikizidi kuwa tete, majeshi yalifyatua risasi za kutoa tahadhari wakati waandamanaji walipoendelea kuzunguka mjini Tunis.
Taarifa kutoka eneo hilo zinaeleza kwamba baadhi ya waandamanaji walijaribu kupanda ukuta wa makao makuu ya RCD.
Majaji wa Tunisia nao waliandamana Tunis wakitaka majaji wote waliofanya kazi chini ya Rais aliyekimbia wajiuzulu.
Vile vile kumekuwa na taarifa za kuwepo maandamano siku ya Alhamis katika miji ya Gafsa na Kef.
Rais Zine al-Abidine Ben Ali alikimbilia Saudi Arabia wiki iliyopita baada ya kufanyika maandamano makubwa ya kupinga ukosefu wa ajira, umaskini na rushwa.
Licha ya kuondoka, maandamano yamekuwa yakiendelea, huku waandamanji wakitaka wanachama wote wa RCD waondoshwe madarakani.
Mawaziri wanne kutoka upinzani wameng'atuka kutoka baraza la mawaziri la serikali ya mpito siku moja baada ya kuundwa, wakitaka mawaziri kutoka chama cha RCD wasihusishwe.
Waziri mkuu Mohammed Ghannouchi na Rais wa serikali ya mpito Fouad Mebazaa- aliyekuwa spika wa bunge dogo- nao wamejiondoa kwenye chama cha RCD ili kujaribu kujiweka mbali na Bw Ben Ali