KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Thursday 27 February 2014

mj_36780.jpg
Nilikutana nae mitaa ya kati, Kariakoo leo mchana. Nikamwambia kaka yangu Juma Ikaangaa, mshindi wa medali ya fedha Commonwealth games, Brisbane Australia, 1982, mshindi wa nafasi ya kwanza New York Marathon, na mshindi wa mara tatu Boston Marathon, kwamba leo mimi niko fiti zaidi kuliko yeye, tukianza mbio mimi na yeye, tutoke Kariakoo hadi Magomeni,basi, nitakuwa wa kwanza kufika Magomeni wakati yeye akihangaika Jangwani...!
Tuache utani, Juma Ikangaa ni mmoja wa wanariadha walioliletea taifa hili sifa kubwa na kuitangaza Tanzania. Nakumbuka mwaka 1982 nilisoma makala Daily News iliyonisisimua sana kuhusu alichokifanya Juma Ikangaa, Brisbane, Australia, kwenye michuano ya Madola. Mwandishi mzungu aliandika, kuwa kule Brisbane, kwa jinsi Ikangaa alivyokimbia, walimwita Juma Ikanga-kangaroo! Leo nilimkumbusha Ikangaa hilo, alifurahi sana.
Na nikamwuliza Ikangaaa, hivi kweli, hii leo kama nchi, mbona hatuonekani kuwa tuna safari ya kwenda Glasgow, Scotland, kwenye Commonwealth games inayoanza July 3, 2014. Halafu tutakuja kulaumiana kuwa tumepeleka watalii watakaorudi mikono mitupu, bila hata medali za mbao!
Ikangaa naye hakuwa na majibu, bali kuonyesha masikitiko yake kwa jinsi miaka hii kusivyokuwa na umakini katika maandalizi, kulinganisha na wakati wake.

UZINDUZI WA KAMPENI CCM JIMBO LA KALENGA

Imetumwa kwenye Siasa
CCM_6150a.jpg
Chama cha Mapinduzi leo kinazindua rasmi kampeni kwa ajili ya uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga mkoani Iringa. Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika Ifunda kuanzia saa sita mchana.  Mgeni rasmi katika uzinduzi huo ni Mwigulu Nchemba, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara.  Mgombea katika jimbo hilo lililoachwa wazi na Dk. William Mgimwa kufuatia kifo chake, ni Godfrey Mgimwa.
makamba_d09e4.jpg
Na Riziki Mashaka
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Ndg. January Makamba, akiwa katika mojawapo ya vijiji nchini India wiki hii. akitazama teknolojia nafuu katika kusambaza mawasiliano bora vijijini. Katika mwaka huu wa 2014 mamlaka ya mawasiliano ya Tanzania inataka kufikisha mawasiliano katika vijiji 4,000 ambavyo vina tatizo la mawasiliano. Naibu waziri alisema ''tumezungumza na serikali kupata teknolojia hii nafuu na bora kwa vijiji vyetu Tanzania yenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 154'

MBEKI NA JUHUDI ZA KUSAKA AMANI SUDAN


    MBEKI_8c77f.jpg
Rais Salva Kiir,waziri mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn ba mpatanishi Thabo Mbeki
Mpatanishi mkuu wa Umoja wa Afrika kuhusu mgogoro wa Sudan,Thabo Mbeki anafanya ziara mjini Khartoum akiwa na lengo la kusaidia kutia msukumo katika juhudi za kutafuta amani kati ya serikali ya Sudan na SPLM-N.
Ziara hiyo ya Mbeki inafanyika kabla ya mazungumzo yanayotarajiwa kuanza tena mjini Ethiopia siku ya Ijumaa 28.02.2014.
Mpatanishi mkuu wa Umoja wa Afrika katika mgogoro wa Sudan Thabo Mbeki anaianza ziara yake hiyo ya mjini Khartoum ikiwa tayari serikali ya Sudan na waasi wa Kordofan Kusini wameridhia kusitisha mapigano na kuruhusu msaada kuwafikia zaidi ya watu milioni 1 kwa mujibu wa makubaliano yaliyopendekezwa kabla ya kuvunjika mazungumzo ya kusaka amani wiki iliyopita.Itakumbukwa kwamba katika mkutano huo wiki iliyopita,wajumbe wa Umoja wa Afrika waliwasilisha pendekezo hilo kwa serikali ya Khartoum na waasi hao wa kundi la SPLM-N kabla ya mazungumzo hayo ya mjini Adis Ababa kuakhirishwa kutokana na pande hizo mbili kutupiana lawama.

Mpatanishi mkuu,wiki iliyopita alisema wajumbe kutoka upande wa waasi na serikali watabidi kushauriana na kundi la wapatanishi kuhusiana na mapendekezo hayo ya Umoja wa Afrika ingawa pia hakutowa maelezo zaidi kuhusiana na suala hilo. Kimsingi sasa mazungumzo hayo yanasubiriwa kuanza tena tarehe 28 mwezi huu wa Februari. Katika kikao cha mwanzo mjini Adis mkuu wa ujumbe wa waasi Yassir Armen alisema serikali ya Sudan inataka kumaliza vita hivi bila ya kutowa suluhisho katika suala zima la hali ya kibinadamu na kisiasa.
Kwa upande wake serikali ya Khartoum inalishutumu kundi hilo la waasi wa SPLM-N kwa kuongeza masuala ambayo hayahusiani na migogoro ya Kordofan Kusini na jimbo la Blue Nile. Mgogoro na uhasama wa kikabila katika majimbo hayo mawili pamoja na uasi wa muda mrefu katika jimbo la Darfur yametokana na malalamiko ya kiuchumi pamoja na kutengwa kisiasa kwa majimbo hayo na utawala wa Khartoum unaohodhiwa na waarabu.
Ni kutokana na hali hii rais wa zamani wa Afrika Kusini ambaye sasa ni mpatanishi mkuu wa Umoja wa Afrika katika mzozo huu anataka kuzipa msukumo juhudi za kupatikana mwafaka wa amani baina ya pande hizo mbili zinazozana huku pia ukitarajiwa kufanyika mkutano wa tume ya pamoja ya Kimataifa iliyoundwa chini ya makubaliano ya amani ya mwaka 2011 kati ya Khartoum na muungano wa makundi ya waasi yaliyojitenga.Tume hiyo ilipewa jukumu la kufuatilia maendeleo ya makubaliano hayo.
Chanzo, dw.de.com/swahili. R.M
DSC 0029 11e03
DSC 0030 926ea
DSC 0031 78d9b
DSC 0032 55517
DSC 0033 777a1

Schalke 1-6 Real Madrid:


Gareth Bale was close to unplayable as Real Madrid all but sealed their place in the Champions League quarter-finals. 
The £86million forward scored two and made two as Real ran riot against a poor Schalke side in Gelsenkirchen, winning 6-1 with ease.
Manager Carlo Ancelotti praised Bale's performance after the match, describing it as his 'best game of the season'.
The nine-time winners had only won once before in 25 trips to Germany but victory was never in doubt at the Veltins-Arena with Real's most potent attacking weapons coming to the fore.
Karim Benzema and Cristiano Ronaldo also scored twice as an insatiable Madrid left Schalke requiring a miracle at the Bernabeu in three weeks time despite Klaas-Jan Huntelaar scoring the goal of the night in time added-on.
Schalke won a corner in the first minute and nearly took the lead but captain Benedikt Howedes' header from distance drifted wide of Iker Casillas' right-hand post.
Surrounded: Real Madrid's Gareth Bale bursts into Schalke's box as the home side back off

Surrounded: Real Madrid's Gareth Bale bursts into Schalke's box as the home side back off
Mind the gap: After finding some space, Bale shoots low and hard into the bottom corner to put his side 2-0 ahead

Mind the gap: After finding some space, Bale shoots low and hard into the bottom corner to put his side 2-0 ahead
All smiles: Bale (left) celebrates his third Champions League goal for Madrid with Cristiano Ronaldo (right)

All smiles: Bale (left) celebrates his third Champions League goal for Madrid with Cristiano Ronaldo (right)
Familar sight: Bale does his trademark celebration after finding the net against the Bundesliga side

Familar sight: Bale does his trademark celebration after finding the net against the Bundesliga side
Nothing but net: Bale watches on as his shot nestles into the bottom corner for his second goal of the night

Nothing but net: Bale watches on as his shot nestles into the bottom corner for his second goal of the night
Team spirit: Bale celebrates his second goal with Karim Benzema (left) and Pepe (right)

Team spirit: Bale celebrates his second goal with Karim Benzema (left) and Pepe (right)
MATCH FACTS
Danger man: Ronaldo (left) fires Madrid 3-0 in front after a fine piece of skill


Too quick: Ronaldo uses his pace to get around Schalke keeper Ralf Fahrmann

Too quick: Ronaldo uses his pace to get around Schalke keeper Ralf Fahrmann
Open goal: Ronaldo finishes into an empty net for the La Liga side's sixth goal of the evening

Open goal: Ronaldo finishes into an empty net for the La Liga side's sixth goal of the evening
Passion: Ronaldo shouts with delight after scoring his second goal against Schalke late on

Passion: Ronaldo shouts with delight after scoring his second goal against Schalke late on
Real were building pressure and Ronaldo was clearly keen to get in on the goalscoring act as he brought down an Angel Di Maria pass and surged forward but his shot from the edge of the area came back off the post and safely into the arms of Ralf Fahrmann.
The visitors were now looking a threat every time they came forward and Ronaldo looked certain to score as he latched onto Di Maria's through-ball but Fahrmann did well to save with his feet.
Schalke were under fire as the break approached as first Benzema fired wide from Marcelo's cross and Fahrmann made another close-range save from Ronaldo but they made it to the interval without sustaining further damage.
On target: Real Madrid striker Karim Benzema (left) takes aim at Schalke's goal from inside the area

On target: Real Madrid striker Karim Benzema (left) takes aim at Schalke's goal from inside the area
Back of the net: Benzema's effort evades Schalke keeper Fahrmann and finds the bottom corner

Back of the net: Benzema's effort evades Schalke keeper Fahrmann and finds the bottom corner
Delight: Benzema celebrates as his team-mates Sergio Ramos (left) and Angel Di Maria (right) run to join him

Delight: Benzema celebrates as his team-mates Sergio Ramos (left) and Angel Di Maria (right) run to join him
Mobbed: Benzema is congratulated by his team-mates after opening the scoring at the Veltins Arena

Mobbed: Benzema is congratulated by his team-mates after opening the scoring at the Veltins Arena
At the double: Benzema steals in to score his second goal of the night from a narrow angle
At the double: Benzema steals in to score his second goal of the night from a narrow angle
Magic feet: Cristiano Ronaldo (right) pulls off a trademark stepover to bamboozle Schalke's Joel Matip (left)

Magic feet: Cristiano Ronaldo (right) pulls off a trademark stepover to bamboozle Schalke's Joel Matip (left)
Under pressure: Schalke midfielder Kevin-Prince Boateng (front) gets away from Di Maria

Under pressure: Schalke midfielder Kevin-Prince Boateng (front) gets away from Di Maria
Colourful: Schalke fans hold their scarves aloft before kick off against Real

Colourful: Schalke fans hold their scarves aloft before kick off against Real
Heads up: Madrid defender Pepe (right) and Schalke star Julian Draxler (left) challenge for a header

Heads up: Madrid defender Pepe (right) and Schalke star Julian Draxler (left) challenge for a header
Ronaldo was not to be outdone and had his brace in the 88th minute as substitute Isco and Benzema combined to release him and he calmly slotted past the keeper.There was still time for former Real striker Huntelaar to net a stunning consolation when he volleyed home from the edge of the area after Christian Fuchs' cross to see Casillas beaten for the first time in 10 appearances, but it is likely to be of little consequence.After the game Schalke captain Howedes said: ‘Cristiano Ronaldo was everywhere. We saw exactly why he’s the World Footballer of the Year.’
Frustrated figure: Ronaldo (right) reacts angrily after missing an opportunity to score

Frustrated figure: Ronaldo (right) reacts angrily after missing an opportunity to score
Double act: Real boss Carlo Ancelotti (left) and coach Zinedine Zidane (right) check out the pitch ahead of kick-off

Double act: Real boss Carlo Ancelotti (left) and coach Zinedine Zidane (right) check out the pitch ahead of kick-off
Safe hands: Madrid goalkeeper Iker Casillas (left) pulls off a reflex save to keep out Draxler's close-range header

Safe hands: Madrid goalkeeper Iker Casillas (left) pulls off a reflex save to keep out Draxler's close-range header
Famous foot: Bale whips in a cross from the left during the first half in Gelsenkirchen
Famous foot: Bale whips in a cross from the left during the first half in Gelsenkirchen
Battle: Former Liverpool midfielder Xabi Alonso (right) is challenged by Schalke's Max Meyer (left)

Battle: Former Liverpool midfielder Xabi Alonso (right) is challenged by Schalke's Max Meyer (left)

Schalke boss Jens Keller was left to rue a series of mistakes by his side, including Draxler's missed header in the first half.
He said: ‘We knew that Real would use the space we would give them after they scored the opener and they simply punished us for every mistake we made. We are a young team who still have lots to learn at this level.
‘We had a good start, played bravely until we conceded the opener. A mistake allowed Real to score the opener but we immediately had the chance for the equaliser.
‘These types of chances don’t come along that often against a side like Real.


Wednesday 19 February 2014

Wrong foot? I don't have a wrong foot! Zlatan typically cool after wonder goal in rout of Leverkusen


Zlatan Ibrahimovic scored another stunner to add to his back catalogue, but was typically blasé when asked about it afterwards. 
The Swede thundered a third Paris Saint-Germain goal in the 4-0 win at Bayer Leverkusen on Tuesday that could have taken the roof off. 
It was Ibrahimovic's ninth goal in five Champions League fixtures this year and he looks set to add to that as the French club seem likely to progress to the quarter-finals. 
Bang! Zlatan Ibrahimovic scored a stunning goal in Paris-Saint Germain's 4-0 win at Bayer Leverkusen
Bang! Zlatan Ibrahimovic scored a stunning goal in Paris-Saint Germain's 4-0 win at Bayer Leverkusen
Stunner: Ibrahimovic (left) unleashes a left-footed shot to score his side's third goal against Bayer Leverkusen
Stunner: Ibrahimovic (left) unleashes a left-footed shot to score his side's third goal against Bayer Leverkusen
Main man: Ibrahimovic (right) celebrates scoring his first goal of the night
Main man: Ibrahimovic (right) celebrates scoring his first goal of the night
On the spot: Ibrahimovic slots home his first-half penalty to make it 2-0
On the spot: Ibrahimovic slots home his first-half penalty to make it 2-0