KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Friday 29 June 2012


Germany 1 Italy 2: Magic Mario makes his mark as Azzurri extend tournament hoodoo


    There could only ever be one Super Mario in this semi-final and the fact it was Balotelli and not Gomez is probably the shock of the tournament.
But what a thoroughly pleasant surprise it was to see the often troubled Balotelli finally realising his considerable potential on the international stage. It was a moment to savour and enjoy, a moment for the sporting romantics and one that reignited this competition after back-to-back goalless matches that had to be settled by penalty shootouts.
Centre of attention: Mario Balotelli rips his shirt off and poses following his crucial second
Centre of attention: Mario Balotelli rips his shirt off and poses following his crucial second


Final countdown: Italy celebrate a famous win over Germany to set up a Sunday showdown with Spain
Final countdown: Italy celebrate a famous win over Germany to set up a Sunday showdown with Spain

Fury: Thomas Muller shows his frustration as Germany crash out
Fury: Thomas Muller shows his frustration as Germany crash out

Match facts

Germany: Neuer, Boateng (Muller 71), Hummels, Badstuber, Lahm, Schweinsteiger, Khedira, Kroos, Ozil, Podolski (Reus 46), Gomez (Klose 46)Subs not used: Wiese, Gundogan, Schmelzer, Howedes, Schurrle, Bender, Mertesacker, Gotze, Zieler.
Booked: Hummels.
Scorer: Ozil (pen) 90+2.
Italy: Buffon, Balzaretti, Barzagli, Bonucci, Chiellini, Pirlo, Marchisio, Montolivo (Thiago Motta 63), De Rossi, Balotelli (Di Natale 69), Cassano (Diamanti 58)Subs not used: Sirigu, Ogbonna, Abate, Giaccherini, Borini, Giovinco, Nocerino, De Sanctis.
Booked: Balotelli, Bonucci, Motta.
Scorer: Balotelli 20, 36.
Referee: Stephane Lannoy (France).
Attendance: 58,500.
Balotelli frustrates the Italians at times. It was only last summer that Fabio Capello spoke of him as some kind of national disaster.
Even out here there have been more fireworks. He has clashed with UEFA over racism, clashed with Cesare Prandelli, clashed with the Irish fans.
He was once described by Jose Mourinho as ‘unmanageable’ and there have been times this season when Roberto Mancini must have wanted to see the back of him at City. But last night we were given a glimpse of why Mancini and  Prandelli continue to indulge him and why he might just be worth the hassle.
‘He was excellent,’ said Prandelli. ‘Just like the entire team. A team has to have an idea how to play, and Mario really subscribed to the ideas we had. He is unique, atypical as a striker, but he is always there when called upon.’
‘Why always me?’ asked Balotelli on that infamous T-shirt. The Germans might well ask ‘Why always us’ when it comes to playing Italy.
They have never beaten the  Italians in a competitive match and this time they failed to produce that same ultra-attacking football that had proved so effective in their first four matches.
1-0: Balotelli beats Holger Badstuber to Antonio Cassano's tempting centre
1-0: Balotelli beats Holger Badstuber to Antonio Cassano's tempting centre, beating Manuel Neuer

Hands up: Neuer was uncharacteristically slow, letting Balotelli's header past
Hands up: Neuer was uncharacteristically slow, letting Balotelli's header past
Hands up: Neuer was uncharacteristically slow, letting Balotelli's header past
They managed a consolation penalty, converted by Mesut Ozil after Federico Balzaretti handled in added time, but got no nearer to stopping Andrea Pirlo than England did. The 33-year-old was once again magnificent. In presenting him with the man-of-the-match award, Peter Schmeichel described his display as ‘the performance of the competition’.
Joachim Low asked Toni Kroos to put some pressure on Pirlo and his efforts in doing that clearly dulled the attacking threat that has been so central to Germany’s approach.
They were poor in defence, too. Dreadful in fact. But the fact Low substituted both Gomez and Lukas Podolski at half-time told its own story. ‘We lost our organisation,’ said Low. ‘We made mistakes and we lost our concentration.’
Not a prayer: Ballotelli latches on to Riccardo Montolivo's through ball to give Neuer no chance with the second
Not a prayer: Ballotelli latches on to Riccardo Montolivo's through ball to give Neuer no chance with the second
Not a prayer: Ballotelli latches on to Riccardo Montolivo's through ball to give Neuer no chance with the second
Not a prayer: Ballotelli latches on to Riccardo Montolivo's through ball to give Neuer no chance with the second
Booked: French referee Stephane Lannoy had no option
Booked: French referee Stephane Lannoy had no option
Germany did improve after the half-time changes, and for a spell in the second half they dominated. But Italy were a league above them last night. At the back they were excellent, and in players like Pirlo and Daniele De Rossi they delivered a passing masterclass — something that will certainly impress the Spaniards.
Pirlo was a ubiquitous presence, even clearing a Mats Hummels effort off the line in the fifth minute.
But if the opening 20th minute goal was the result of a fine piece of attacking football, the defending would have incensed Low. It was not just the way Hummels and Jerome Boateng allowed Antonio Cassano to slip away from them to deliver the cross, it was the abject failure of Holger Badstuber to stop Balotelli scoring with a thumping header.
Consolation: Mesut Ozil beat Gianluigi Buffon from 12 yards to set up a nervy finish
Consolation: Mesut Ozil beat Gianluigi Buffon from 12 yards to set up a nervy finish
Consolation: Mesut Ozil beat Gianluigi Buffon from 12 yards to set up a nervy finish
This was a real test for the  Germans; the first time they had trailed in a competitive match for 1,313 minutes, or 22 hours, dating back to the third-place game at the 2010 World Cup.
Sami Khedira did force Gianluigi Buffon to make one of a number of fine saves, but when Riccardo Montolivo picked out Balotelli from deep inside his own half with a terrific diagonal ball in the 36th minute another goal followed. Balotelli took full advantage of the fact that Philipp Lahm had played him on side by beating Manuel Neuer for a second time with a stunning strike.
What happened? Mats Hummels and Bastian Schweinsteiger (below) reflect on another German defeat at the hands of Italy
What happened? Mats Hummels and Bastian Schweinsteiger (below) reflect on another German defeat at the hands of Italy
What happened? Mats Hummels and Bastian Schweinsteiger (below) reflect on another German defeat at the hands of Italy
What happened? Mats Hummels and Bastian Schweinsteiger (below) reflect on another German defeat at the hands of Italy
The decision to replace Podolski and Gomez with Marco Reus and Miroslav Klose was a sound one by Low. It improved the German team and but for Buffon, who just managed to push the ball against his crossbar, Reus would have scored with a superb free-kick.
Balotelli, however, was more clinical. In explaining why he did not celebrate his penalty against England the other night, he compared himself to a postman. He said he was simply doing his job.
Solid defence: Germany were thwarted by the Italians
Solid defence: Germany were thwarted by the Italians
He celebrated last night, though, stripping his shirt off and standing, muscles taut, in defiance. He was booked, but what the hell. Here, at Euro 2012, he delivered, and at the end he hugged his adopted mother Silvia in the crowd.
‘Us and Spain are the two best teams in the tournament,’ he said afterwards. ‘Can we win? I’ll tell you on Sunday.’
Wonderful stuff.
The difference: Balotelli remonstrates with Cesare Prandelli after being substituted for cramp
The difference: Balotelli remonstrates with Cesare Prandelli after being substituted for cramp



Madaktari Bingwa Nao Wagoma



TUKIO la kutekwa nyara, kupigwa na kujeruhiwa vibaya, kisha kutupwa katika Msitu wa Pande uliopo nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam, kiongozi wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Steven Ulimboka, limechochea kasi ya mgomo baada ya madaktari bingwa kutangaza kujitosa rasmi kwenye mgogoro huo.Awali madaktari hao hawakushiriki mgomo huo, lakini jana walieleza kwa nyakati tofauti kuwa, wameamua kuungana na wenzao kutokana na unyama aliofanyiwa kiongozi wao akiwa katika harakati za kutetea na kupigania haki zao.

Madaktari hao wa hospitali za Muhimbili, Moi, KCMC, Mbeya, Bugando na Ocean Road ya jijini Dar es Salaam, jana walitangaza rasmi kuwa wameingia kwenye mgomo huo kushinikiza pamoja na mambo mengine, Serikali kutoa tamko kuhusu utata wa tukio hilo.

Tukio hilo la aina yake kutokea nchini, limeathiri upatikanaji wa huduma zote za matibabu katika hospitali hizo, huku madaktari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Moi, wakielekeza nguvu zao kunusuru maisha ya mwenzao aliyeumizwa.

Katibu wa Jumuiya ya Madaktari, Dk Edwin Chitage, aliwaambia waandishi wa habari kuwa mgomo huo utaendelea hadi hapo Serikali itakapotekeleza madai yao.

"Tunaitaka Serikali kuacha vitisho kwa madaktari nchini, tunaitaka itambue kwamba mgogoro huu hauwezi kumalizwa kwa njia yoyote vikiwemo vitisho bali ni kwa kukaa meza ya majadiliano na kukubaliana na madaktari," alisema Dk Chitega na kuongeza:

"Ninawashukuru madaktari wote nchi nzima, wauguzi na wafanyakazi wa sekta ya afya kwa ujumla wao kwa kusitisha huduma baada ya kupigwa mwenzetu. Tunaomba mshikamano huu uendelee," alisema Dk Chitega.

Gazeti hili lilishuhudia wagonjwa wakiwa wamekaa katika makundi bila kujua la kufanya, huku wengine wakiamua kuondoka na kwenda hospitali binafsi.

Waliliambia Mwananchi kwamba kitendo alichofanyiwa Dk Ulimboka ni cha kinyama na kuungana na madaktari hao kuitaka Serikali kutatua mgogoro huo haraka.

Wagonjwa waliofika katika eneo hili pia walielezwa bayana na maofisa wa Moi kwamba huduma zimesitishwa kutokana na madaktari kugoma.

Ocean Road

Madaktari bingwa katika Taasisi ya Ocean Road nao waligoma kutoa huduma hatua iliyozua taharuki kwa wagonjwa waliofika kwa ajili ya matibabu.

Gazeti hili lilishuhudia ofisi za madaktari hao zikiwa zimefungwa na hata zile ambazo zilikuwa wazi, madaktari hawakuwapo.

Mmoja wa wagonjwa aliyejitambulisha kwa jina la Joyce Dachi, alisema kuwa, wagonjwa wengi wamekuwa wakiandikishwa mapokezi, lakini wanachukua muda mrefu kumuona daktari.


Mgomo huo pia umeendelea katika Hospitali ya Amana wilayani Ilala huku uongozi wa hospitali hiyo ambao uligoma kuzungumza na vyombo vya habari, ukihaha kunusuru hali hiyo.

Katika Hospitali za Temeke na Mwananyamala huduma ziliendelea kutolewa kama kawaida.

Mbeya

Katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya ,madaktari bingwa ambao awali hawakugoma jana waliingia kwenye mgomo na kusababisha wagonjwa katika hospitali hiyo hususan kitengo cha wazazi, kusota bila matibabu.

Habari kutoka katika hospitali hiyo zilieleza kuwa hivi sasa madaktari bingwa wanatoa huduma kwa kujuana.

Mmoja wa madaktari hao ambaye hakutaka kutajwa gazetini, alisema kitendo alichofanyiwa Mwenyekiti wa Jumuiya yao kimewakatisha tamaa.

Alisema kuwa, hali hiyo sasa imehamia hadi katika Kituo cha Wazazi cha Meta na kufafanua kuwa hali ni mbaya, tayari wajawazito wametakiwa kuhamia katika Hospitali ya Mkoa ambayo imefurika wagonjwa.

Mkurugenzi wa Hospitali hiyo ya Rufaa, Dk Eliuter Samky hakuweza kuzungumzia tukio hilo jana kutokana na kile kilichoelezwa na katibu wake muhtasi kwamba ana kazi nyingi.

Mwanza
Madaktari katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC) mkoani Mwanza nao wamegoma, huku kiongozi wa Kamati Ndogo ya hospitali hiyo inayoshughulikia migomo, akikataa kuzungumzia hali hiyo.

Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu baada ya kutoonekana katika maeneo ya hospitali, mmoja wa viongozi wa Kamati hiyo, Dk Geogre Adrian, alisema kwa sasa hawezi kulitolea ufafanuzi suala hilo na kwamba kufanya hivyo, ni kwenda kinyume na maagizo aliyopewa na Kamati Kuu.


Akizungumzia huduma katika hospitali hiyo alisema kuwa hajui lolote kwa kuwa hawajagusa maeneo ya kazi kwani wapo kwenye mgomo.

Kaimu Mkurugenzi wa hospitali hiyo alipotafutwa kwa njia ya simu ili kuzungumzia huduma katika hospitali yake, hakupatikana.

Watimuliwa
Jana Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali hiyo, Dk Charles Majinge alitoa tangazo la kuwataka madaktari waliopo mafunzoni ‘Interns’ katika hospitali hiyo kurejea kazini na kama watakiuka agizo hilo, watakuwa wamejifukuzisha wenyewe.


Manyara
Mkoani Manyara, madaktari kumi katika Hospitali ya Haydom Wilaya ya Mbulu wamegoma tangu juzi.Idadi ya wagonjwa katika hospitali hiyo inayomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), inaongezeka siku hadi siku.

Wakizungumza na waandishi wa habari kwa masharti ya kutotaka kutajwa majina yao, madaktari hao ambao wanafanya mafunzo ya vitendo katika hospitali hiyo, wamesema kuwa hawatatibu wagonjwa mpaka madai yao yatekelezwe.


Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Anatory Choya, alithibitisha kutokea kwa mgomo huo na kufafanua kwamba wanaendelea kufanya mazungumzo ili kupata ufumbuzi.

Choya alisema kuwa madaktari wanaoendelea na kazi, wameelemewa kutokana na wagonjwa kuwa wengi.

Alisema kati ya madaktari 11 wanaosoma kwa vitendo hospitalini hapo, mmoja tu anayesomeshwa na hospitali hiyo, ndiye hajagoma.

KCMC
Hali katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC mkoani Kilimanjaro imezidi kuwa tete na kuwafanya ndugu kuwahamishia wagonjwa wao katika hospitali binafsi.

Mwananchi lilitembelea wodi za hospitali hiyo na kukuta vitanda vikiwa wazi.

Wakizungumza na gazeti hili, baadhi ya madaktari ambao wapo kwenye mgomo kwa sharti la kutotajwa majina, walisema hawako tayari kurudi kazini kwa kuhofia usalama wa maisha yao.

Dodoma
Wagonjwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma jana walijikuta wakipata taabu baada ya madaktari wa hospitali hiyo kusitisha huduma kwa takriban saa sita kuanzia asubuhi.

Muda wa mchana utoaji huduma katika hospitali hiyo uliendelea ingawa kwa kusuasua.

Tofauti na siku zote, jana chumba cha daktari kilichokuwa wazi ni kimoja tu hali iliyosababisha msongamano mkubwa.

Arusha

Mjini Arusha, madaktari wameendelea na mgomo katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru na kusababisha kudorora huduma huku wagonjwa kadhaa wakiondolewa hospitalini hapo.

Mgomo huo, ulianza saa 1 asubuhi hadi saa 6:00 mchana, ambapo madaktari na wauguzi,waligoma kutoa huduma wakitaka kujua hatima ya Dk Ulimboka. Walitaka pia kuzungumza na uongozi wa hospitali hiyo na waandishi wa habari, kuhusu mgogoro wao.

Askari anyimwa huduma
Askari wa Usalama Barabarani ambaye jina lake halikufahamika mara moja ambaye alipata ajali jana, alijikuta akishindwa kuhudumiwa katika hospitali ya Mount Meru na kuondolewa kutokana na mgomo huo.

Askari huyo, aliyevaa sare, alifikishwa hospitalini hapo saa 5:00 asubuhi akiwa kwenye teksi, lakini wauguzi waliokuwa zamu walishauri apelekwe sehemu nyingine.

Hata hivyo, uongozi wa hospitali ya mkoa, ukiongozwa na Mganga Mkuu wa Mkoa, Dk Omar Chande, jana ulifanya kazi ya ziada ya kuwabembeleza madaktari hao, kurejea kazini, kusubiri uamuzi wa Serikali.

Mgomo, Dk Ulimboka vyateka Bunge

Mgomo wa madaktari na kutekwa kisha kupigwa Dk Ulimboka jana vilitawala mjadala wa Bunge hadi pale Spika Anne Makinda alipotoa mwongozo kwamba suala hilo lisijadiliwe kwani liko mahakamani.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alilazimika kutoa ufafanuzi wa hoja yake aliyoitoa juzi pale alipokuwa akizungumzia mgomo wa madaktari na kuhitimisha kwamba Serikali ilikuwa inajiandaa kutoa kauli na msimamo wake hivyo “liwalo na liwe’.

Pinda alilazimika kutoa maelezo kutokana na swali aliloulizwa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe aliyetaka kufahamu maana ya kauli ya Waziri Mkuu ambayo aliita kuwa ni nzito na iliyozua mjadala mkali nchini.

Kadhalika, Mbowe alitaka kufahamu hatua ambazo Serikali imechukua kuhakikisha kwamba wananchi wanaendelea kupata huduma za tiba kutokana na kuwapo kwa taarifa kwamba madaktari katika hospitali kadhaa walikuwa wakiendelea na mgomo.

Kadhalika Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu alimuuliza Pinda kwamba haoni kwamba ni busara kujiuzulu wadhifa wake kutokana na ahadi yake kwamba mgomo wa madaktari usingetokea, lakini ahadi hiyo imeshindwa kutekelezeka.

Akimjibu Mbowe, Pinda alikiri kutoa kauli hiyo ndani ya Bunge juzi na kusema alifanya hivyo akiamini kuwa jambo hilo lilikuwa mahakamani na akasema asingeweza kusema jambo lolote kwa kuwa hana tabia ya kuwa na utovu wa nidhamu wa kuingilia mambo ya mahakamani.

Hata hivyo, alijitetea kuwa kabla ya kutoa kauli hiyo bungeni juzi, hakuwa na taarifa kuhusu tukio la kupigwa kwa Ulimboka na akasema kuwa, kauli yake haihusiani kabisa na Serikali kuhusika katika jambo hilo kwa namna yoyote ile.

Waziri Mkuu alisema tayari amekwishaagiza vyombo husika kufanya uchunguzi wa kina na kutoa majibu ya haraka ili wahusika waweze kuchukuliwa hatua stahiki mara moja.

“Kwanza namtakia afya njema ndugu Ulimboka, na mimi nataka Watanzania waamini kuwa tulikuwa katika mazungumzo mazuri na madaktari chini yake Ulimboka hivyo tukio hilo ambalo limetokea katika mazingira magumu limetushtua kweli, kama ni Serikali basi ingekuwa ni Serikali ya ajabu kweli,’’alisema Pinda.

Kuhusu namna ya kusaidia Watanzania wasiathirike na mgomo huo, alisema tayari Serikali imeshaagiza madaktari kutoka wizarani kutumika na kuwaomba waliostaafu kutoa huduma katika kipindi hicho kigumu.

Mkakati mwingine ni pamoja na kutumia hospitali za Jeshi ikiwamo Lugalo waanze kutoa huduma hizo wakati Serikali inaendelea kuzungumza kwa utaratibu na madaktari.

Lissu aliuliza swali la nyongeza kumtaka Pinda kuachia ngazi hali iliyosababisha mvutano kwani Waziri Mkuu alikosoa uulizaji wa swali hilo kuwa halikustahili.

Baada ya kipindi cha maswali na majibu, Mbunge wa Ubungo (Chadema), John Mnyika aliomba mwongozo wa Spika kuhusu suala la madaktari akitaka taarifa ya Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii ambayo ilifanyia kazi suala la mgomo wa madaktari ijadiliwe bungeni.

Hata hivyo, Spika Makinda alisema ripoti hiyo haiwezi kujadiliwa kwani tayari Serikali ilishakabidhiwa kwa ajili ya kuifanyia kazi na kwamba mapendekezo ya Bunge kupitia ripoti hiyo yamefanyiwa kazi kwa kiasi kikubwa.

Habari hii imeandaliwa na Neville Meena na Habel Chidawali, Dodoma, Godfrey Kahango,Mbeya, Joseph Lyimo,Mbulu, Sheilla Sezzy,Mwanza, Rehema Matowo, Moshi, Masoud Masasi,Dodoma, Fidelis Butahe, Geofrey Nyang'oro Dar, Mussa Juma, Arusha, Bakari Kiango na Victoria Mhagama.

Ulimboka ana siri nzito 
Thursday, 28 June 2012 20:32


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Dk Steven Ulimboka, akiwa amelazwa katika Chumba maalum cha wagonjwa mahututi (ICU)akiendelea na matibabu katika Taasisi ya mifupa (MOI)jijini Dar es Salaam jana.
ASEMA ATAANIKA KILA KITU BAADAYE, ASEMA ACHWE APUMZIKE, MKUU WA JOPO LA MADAKTARI WANAOMTIBU ASEMA ALING'OLEWA KUCHA, MENO MAWILI NA KUPATA MTIKISIKO WA UBONGO 
Geofrey Nyang'oro

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Madaktari aliyetekwa nyara na kuumizwa vibaya  usiku wa kumkia juzi, kisha kutupwa  Msitu wa Pande, Dk Steven Ulimboka amesema atazungumza kwa kina yote yaliyomsibu baadaye na kuomba sasa aachwe auguze maumivu makali yanayomkabili.

Dk Ulimboka aliokotwa na wasamaria wema juzi asubuhi katika Msitu wa Pande nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam, baada ya kutekwa nyara na watu waliokuwa na silaha akiwa katika Viwanja vya Klabu ya Leaders, Kinondoni.

Jana, Dk Ulimboka ambaye amelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili huku hali yake ikiwa haijatengemaa vyema, alitoa kauli akisema ingawa ana maumivu makali anaendelea vizuri ikilinganishwa na siku ya kwanza.

Dk Ulimboka alitoa kauli hiyo baada ya kutakiwa aeleze mkasa huo uliomfika wa kukamatwa, kuteswa na kutupwa msituni.


Hata hivyo, hadi sasa wingu zito la nani alimteka na watekaji walitaka kujua nini kutoka kwa kiongozi huyo wa madaktari, bado limetanda.

Siri nzito
Akisimulia mkasa huo kupitia Kituo cha Redio cha Clouds FM, Dk Ulimboka alisema, akiwa katika klabu hiyo ya Leaders alipigiwa simu na rafiki yake ambaye alikuwa atokee Tandika na baada ya kumsubiri ndipo alipofika kwenye klabu hiyo, lakini, alianza kujisikia vibaya tofauti na siku nyingine na kuongeza;  "Yaani  sikuwa na amani."

Alisema, "Mara, katikati ya maongezi tukaona mtu anaongea na simu. Ghafla tukiwa tunasema tuagane, wakaja watu kama watano hivi na bunduki, wakasema wewe na yule bwana mko free (huru), tunakuchukua wewe (Dk Ulimboka)," alieleza na kuongeza:

"Sijakaa sawa, nikaona nimeshaburutwa nikaanguka kwenye lami, wakaniinua na kuniingiza kwenye gari nyeusi, lakini halikuwa na namba."

Hata hivyo, jana Dk Ulimboka hakuonana na mwandishi wa habari hii, badala yake alirekodiwa, na Mwananchi kupata sauti yake  akijibu swali kuhusu hali yake na tukio hilo,  baada ya uongozi wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (Moi) kuzuia watu kumwona.

Daktari huyo wa magonjwa ya binadamu, amelazwa katika chumba cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalumu (ICU).

"Kidogo najisikia nafuu ikilinganishwa na nilivyokuja ingawaje, bado nina maumivu makali. Kwa hivyo, ingependeza niendelee na mapumziko na mtu yeyote anayetaka kuniona pengine hilo jambo lisifanyike sasa. Hivi sasa ni vizuri nipumzike," ilisikika sauti hiyo ya Dk Ulimboka.

Lakini, uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa wodini alikolazwa Dk Ulimboka, kuna ulinzi mkali wa madaktari na hairuhusiwi watu kumwona kiholela siyo tu kwa sababu za kutaka aachwe apumzike, bali pia kutowaamini watu ovyo.

Madaktari wanaolinda eneo hilo walisikika jana wakisema, “Huyu tunamlinda wenyewe na haiwezekani mtu asiyefahamika kuingia humu ndani, na hilo tutahakikisha sisi wenyewe,”alisikika akisema mmoja wa madaktari hao.

Kiongozi jopo la madaktari

Katika hatua nyingine, kiongozi wa jopo la madaktari wanaomuhudumia Dk Ulimboka, Profesa Joseph Kahamba aliwaambia waandishi wa habari kuwa Dk Ulimboka ana majeraha mwili mzima.

“Ingawa kwa sasa anaendelea vizuri, Dk Ulimboka  ameumia sana, kwani mwili wake mzima una majeraha kutokana na kupigwa na watekaji hao,”alisema Profesa Kahamba na kuongeza:

“Aliumia mbavuni,kifuani, miguuni, mikononi ambako aling’olewa baadhi ya kucha za vidole na kichwani  na kinywani, ambako aling’olewa meno mawili,”alisema.

Alifafanua kwamba, kutokana na maumivu hayo ya kichwa, Dk Ulimboka alipata tatizo la mtikisiko wa ubongo, lakini akasisitiza kuwa madaktari bingwa wanaendelea na harakati za kuokoa maisha yake.

Uongozi wa Moi watoa neno

Uongozi wa Taasisi ya Mifupa (Moi) umeeleza kuwa hali yake inaendelea vizuri ingawa bado amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi cha taasisi hiyo.

Msemaji wa Moi, Almas Jumaa aliwaambia waandishi wa habari kuwa licha ya hali yake kuendelea vizuri, lakini  haingewezekana kwa waandishi wa habari kuingia ndani ya chumba alikolazwa na kumwona Dk Ulimboka.

“Mgonjwa anaendelea vizuri ukilinganisha na jana (juzi), anaongea, anawatambua watu wanaokwenda kumwona, lakini utaratibu wa kwenda kumwona kwa ninyi imeshindikana kwa sababu yupo (ICU) ni chumba chenye utaratibu wake,”alisema Jumaa.

Jumaa aliongeza kwamba ili mtu aweze kuingia wodini   analazimika kuvaa vazi maalumu na mavazi yaliyopo, yasingetosha, lakini pia wapo watu wanaoendelea kumpatia huduma ya matibabu.

Tamko la Jumuiya ya Madaktari

Wakati hali ya Dk Ulimboka ikiwa hivyo, madaktari wameipinga tume ya uchunguzi iliyoundwa na Jeshi la Polisi kuchunguza suala hilo, wakidai mazingira ya tukio hayaliondoi jeshi hilo kuhusika.

Katibu wa Jumuiya hiyo, Dk Edwin Chitage aliwaambia waandishi wa habari kuwa wangependa kuundwa kwa tume huru itakayofanya kazi ya kuchunguza tukio hilo na kutoa taarifa kwa umma.

“Madaktari kwa ujumla wetu tunalaani tukio la kutekwa nyara,kupigwa na kutupwa katika Msitu wa Pande, lakini pia hatuna imani na tume iliyoundwa na Jeshi la Polisi kwa sababu mazingira ya tukio hayaondoi kuhusika ama kutohusika kwa jeshi hilo,”alisema Dk Chitage.

Chitage alitoa msimamo wa madaktari kuwa ni kuendelea na mgomo, huku akionya Serikali kuacha vitendo vya kuwatisha, kwa madai kuwa vitendo hivyo haviwezi kuwa suluhu ya mgogoro kati ya pande hizo mbili.

“Kumekuwa na vitisho kwa madaktari katika maeneo mbalimbali nchini, hususan Dodoma, Mbeya, Arusha na Mwanza. Tunaionya Serikali kuacha mara moja na itambue kuwa mgogoro huo hauwezi kumalizwa kwa namna nyingine yoyote bali ni kwa Serikali kutekeleza madai ya madaktari,”alisema Chitega na kuongeza:

“Sisi madaktari kwa umoja wetu, tumechoka kushuhudia Watanzania wakipoteza maisha kwa magonjwa tunayoweza kuyatibu, kufanya kazi katika mazingira magumu huku kukiwa hakuna mipango ya kuboresha mazingira ya kazi, kukosekana kwa dawa na vifaa tiba.”

Mgomo huo wa madaktari leo unaingia siku ya saba tangu ulipotangazwa na mwenyekiti huyo kuwa, ungeanza rasmi Jumamosi iliyopita.


Pinda ayumba tena
•  KIPIGO CHA ULIMBOKA CHAMTESA

na Martin Malera, Dodoma

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda kwa mara nyingine tena jana katika hali isiyotarajiwa na wengi, aliyumba na kushindwa kutoa tamko zito kuhusu mgomo wa madaktari kinyume na alivyokuwa ameahidi mbele ya Bunge juzi mjini Dodoma.
Pamoja na kushindwa kwake, Pinda pia alijikuta katika wakati mgumu kuelezea ukweli wa kile kinachodaiwa kuhusika kwa serikali katika tukio la kutekwa, kupigwa na kujeruhiwa vibaya kwa kiongozi wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Steven Ulimboka.
Akijibu swali la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (CHADEMA), katika kipindi cha maswali na majibu kwa Waziri Mkuu, ambaye alitaka kujua hatua ya serikali ya kutotoa tamko wakati juzi alitoa kauli nzito ya ‘liwalo na liwe’ kuhusu mgomo wa madaktari na kuibua hofu kubwa kwa wananchi, serikali inalieleza nini taifa kuhusu hali hiyo na inafanya nini kumaliza mgomo huo.
Akijibu swali hilo, Pinda kwanza alikiri kuahidi kutoa tamko la serikali akitumia neno la “liwalo na liwe’, lakini akadai kuwa serikali haitaweza kutoa tamko hilo tena baada ya kupata ushauri wa kisheria kwa kuwa jambo hilo liko mahakamani.
“Kwa bahati mbaya sana kauli yangu ya ‘liwalo na liwe’ imetafsiriwa kwa namna tofauti. Hata dada yangu Halima Mdee nilimsikia akitilia shaka kauli hiyo na kuhusisha na tukio la kutekwa kwa Dk. Ulimboka.
“Nilichoaminisha ni kwamba hili jambo liko mahakamani, lakini tungetolea tamko la serikali bila kujali kwamba suala hilo liko mahakamani; ndiyo maana nikasema liwalo na liwe.’
Alisema baada ya mashauriano na wataalamu wa serikali jana usiku waliona si vyema kuendelea na tamko hilo hadi kesi iliyopo mahakamani itakapomalizika.
Kuhusu tukio la kutekwa, kupigwa kwa Ulimboka, Waziri Mkuu Pinda alisema serikali imeguswa na kushtushwa na tukio hilo, na akadai kuwa amesikitishwa na kuwepo kwa taarifa zinazoituhumu serikali kuhusika na unyama huo.
Waziri Mkuu aliliambia Bunge kuwa madai hayo ya kuituhumu serikali yanashangaza kwa sababu, yeye mwenyewe alipata taarifa ya kufanyiwa vitendo hivyo akiwa bungeni na hata wakati alipoahidi kutoa tamko la serikali hakuwa anajua chochote.
“Dk. Ulimboka tumekuwa naye kwenye vikao vya ndani vya majadiliano, tuko naye mahakamani. Leo serikali ihusike kumteka, kumpiga na kumtesa kwa kiasi kile ili iweje?”
Alisema Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi, ameshatoa kauli juu ya tukio hilo, hivyo alisisitiza kuwa serikali itafanya uchunguzi wa kina kuwanasa waliohusika.
Akijibu swali la nyongeza la Mbowe aliyetaka kujua hatua za dharula zilizochukuliwa na serikali kumaliza mgomo huo hasa baada ya kusitisha tamko lake Bungeni, Pinda alisema serikali itaendelea na majadiliano na madaktari hao ili kufikia muafaka.
“Hatua nyingine ya dharura tuliyochukua serikali ni kuzungumza na Hospitali ya Lugalo na zingine ndogo kubeba jukumu hilo kwa sasa, pia tumeagiza madaktari wastaafu wote warejee kazini katika kipindi hiki cha mgomo,” alisema Pinda.
Lissu amtaka ajiuzulu
Majibu ya Pinda yalimkoroga Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, aliyesimama na kumuuliza sababu gani zinazomfanya aendelee kushikilia wadhifa wake huku akitambua kuwa ameshindwa kumaliza mgogoro huo.
“Mheshimiwa Waziri Mkuu, Februari mwaka huu wakati wa mgomo wa madaktari uliahidi kwamba mgomo huo hautatokea tena, leo mgomo umerudi tena, je, kwa nini usijiuzulu?” alihoji Lissu.
Pinda alidai kuwa tangu kuanza kwa mgogoro huo, amefanya jitihada za kutosha kujaribu kuunusuru na kwamba anaamini amefanya kazi kubwa kuufikisha hapo ulipo.
Hata hivyo, Lissu alisimama na kumwambia Waziri Mkuu, kwamba hapo alipoufikisha ni pabaya zaidi na haoni sababu ya yeye kuendelea kuwepo madarakani, kauli iliyoonekana kumkera Pinda ambaye alidai kuwa yapo mambo ambayo yanaweza kumfanya akajiuzulu, lakini sio katika sakata la mgomo wa madaktari.
“Mheshimiwa Lissu hii sio lugha nzuri ya kusema, nakuheshimu sana,” alisema Pinda na kuzima swali hilo.
Naye Mbunge wa Viti Maalum, Martha Mlacha (CCM), alihoji endapo serikali inajua kama kuna kikundi cha watu kinachochochea mgomo huo kwa kuwapa fedha. Akijibu hoja hiyo, Pinda alikiri kupata taarifa hizo na akadai kuwa serikali inafanya uchunguzi kubaini ukweli, ikiwa ni kweli wahusika watachukuliwa hatua.
Juzi Pinda aliahidi kutoa kauli ya serikali wakati akijibu mwongozo Mbunge wa Mbozi Mashariki, Godfrey Dhambi (CCM), aliyetaka kujua msimamo kuhusu mgomo wa madaktari.
Madaktari waikataa Tume ya Polisi
Jumuiya ya Madaktari Nchini imesema haina imani na tume iliyoundwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dk. Ulimboka huku wakisisitiza kuwepo kwa chombo huru zaidi.
Licha ya kutaka tume huru, madaktari hao wamesema wataendelea na msimamo wao wa kuhakikisha wanatetea maslai yao pamoja na mazingira magumu ya kufanyia kazi yanayowakabili kwa sasa.
Akizungumza na waandishi wa habari nje ya jengo la MOI Katibu wa Jumuiya hiyo Dk. Edwin Chitage alisema madaktari nchini wanahitaji chombo kilicho huru kitakachochunguza tukio hilo kwa undani zaidi kuliko Jeshi la Polisi.
Alisema hawana imani na tume hiyo kwa sababu si huru; wanataka chombo kitakachopatikana kwa utaratibu unaoeleweka, kuliko polisi hasa wakizingatia mazingira ya kutekwa na kupigwa kwa mwenzao ingawa hawawezi kusema kama jeshi la polisi linahusika.
“Tutaendelea kupigania masuala ya mazingira bora ya kazi kwani hatufurahii kuona msongamano wa wagonjwa wodini, mgonjwa akilala chini, watoto wachanga kulala zaidi ya watano kitanda kimoja na kukosekana kwa dawa na vifaatiba,” alisema.
Awali aliwataka madaktari wote nchini kuwa watulivu hasa katika kipindi hiki kigumu na kusisitiza kwamba tukio hilo limewaimarisha na kuwazidishia mshikamano.
Afya ya Ulimboka yaimarika
Hali ya afya ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini Dk. Steven Ulimboka inaendelea kuimarika licha ya maumivu makali yanayomkabili.
Akizungumza kwa taabu na waandishi wa habari kwenye chumba cha wagonjwa mahututi kwenye Kitengo cha Mifupa (MOI) Dk. Ulimboka alisema, “Namshukuru Mungu naendelea vizuri tofauti na nilivyofikishwa hapa jana…bado nina maumivu makali naomba kama kuna watu wanataka kuja kuniona wasije ili nipumzike,” alisema.
Awali Ofisa Uhusiano wa MOI Jumaa Almas alisema hali ya Dk. Ulimboka inaendelea vizuri tofauti na alivyoletwa juzi asubuhi kwa kuwa sasa ana uwezo wa kutambua watu wanaofika kumjulia hali na kuzungumza kidogo.
Almas alisema madaktari wameshauri mgonjwa huyo kupumzika na kutaka idadi ya watu wanaofika kumjulia hali mgonjwa huyo ipungue ili kumwepusha na maambukizi zaidi.
“Kwa sasa hali yake ni nzuri na yuko chini ya uangalizi wa jopo la madaktari linaloongozwa na Profesa Joseph Kahamba,” alisema.
Kuhusu mgomo katika kitengo hicho Almas alisema ni huduma za dharura pekee zinazotolewa huku zile za kawaida zikiwa hazifanyiki kabisa.
Dk. Ulimboka alifikishwa hospitalini hapo baada ya kutekwa na watu wasiojulikana kisha kumpiga, kujeruhiwa sehemu mbalimbali za mwili wake na kutupwa kwenye msitu wa Pande, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.
Mwenyekiti huyo ambaye amekuwa akiratibu mgomo ya madaktari unaoendelea, aliokotwa na msamaria mwema akiwa amefungwa mikono akiwa amejeruhiwa vibaya.
Vyama vyaendelea kulaani
Kutoka mkoani Mwanza, Sitta Tumma anaripoti kuwa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi ya Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Kanda ya Ziwa, kimelaani vikali kitendo cha kinyama cha kupigwa na kuumizwa vibaya, alichofanyiwa Dk. Steven Ulimboka, na kuelekeza tuhuma hizo kwa serikali.
RAAWU imesema, ushahidi wa mazingira unaonyesha dhahiri kwamba serikali imehusika kwa namna moja au nyingine kumdhuru kiongozi huyo wa madaktari nchini, ikiwa ni lengo la kutaka kuzima mgomo wa madaktari unaoendelea katika kudai maslahi na huduma bora ya matibabu kwa Watanzania.
Katibu wa RAAWU Kanda ya Ziwa, Ramadhan Mwendwa, ameiambia Tanzania Daima ofisini kwake kuwa kuna haja ya serikali kujisafisha kwa sababu mazingira ya tukio hilo yanaiweka katika hali ya kutuhumiwa.
Mwendwa ambaye pia ni Katibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA), Mkoa wa Mwanza, alizidi kudai kuwa manyanyaso na ukandamizwaji mkubwa unaofanywa na serikali vinaonyesha wazi kwamba viongozi wa Tanzania wanawapeleka wananchi wao katika machafuko.
“Tusifike huko kama nchi nyingine zinavyopigana. Viongozi wa wafanyakazi tuweni wamoja na wafanyakazi wote katika kutetea maslahi ya taifa. Tusirudi nyuma,” alisema Mwendwa.
CUF, CHADEMA wanena
VYAMA vya CUF na CHADEMA, vimelaani kitendo cha kutekwa na kupigwa kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari, Dk. Stephen Ulimboka, huku vikiitaka serikali kuunda tume huru ya uchunguzi.
Mkurugenzi wa Mafunzo na Oganaizesheni wa CHADEMA, Benson Kigaila, alisema kuwa kitendo hicho ni jitihada za serikali kuwanyamazisha watetezi wa maslahi ya umma.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, alisema hizo ni dalili za wazi za serikali ya CCM kushindwa kuhimili demokrasia ya wengine.
“Tumeshuhudia hali hii ikiwakumba wengi, kumbukeni tukio la mhariri wa Mwanahalisi Sued Kubenea kumwagiwa tindikali, mauaji ya Masudi Mbwana kule Igunga na hata kuuawa kwa mwenyekiti wa CHADEMA kule Arumeru ni katika njia za kutaka kuwanyamazisha na kuwatisha wengine,” alisema Kigaila.
Alisema katika mgomo wa kwanza wa madaktari Rais Jakaya Kikwete aliuhakikishia umma kuwa watayashughulikia matataizo ya madaktari na kwamba suala la mgomo kwao litakuwa ni ndoto.
Kwa upande wao CUF, kwa mujibu wa wa Naibu Mkurugenzi wa Itikadi na Uenezi, Abdul Kambaya, walilitaka jeshi la polisi kuacha kuchunguza tukio hilo kutokana na kutolitilia maanani tangu awali lilipopewa taarifa.
Akizungumza jana na Tanzania Daima, alisema kuwa kitendo alichofanyiwa Dk. Ulimboka ni aibu kwa taifa kwa kushindwa kufanya ulinzi wa viongozi na watu wake.
Alisema uchunguzi huo wa tukio unatakiwa kufanywa na taasisi zingine huru ili kutoa majibu sahihi kwa wananchi lakini si jeshi la polisi.
“Serikali haiwezi kujitoa katika tukio hili la kinyama alilofanyiwa Dk. Ulimboka hasa ukizingatia ni katika kipindi kifupi ambacho madaktari wako kwenye mgomo na huyu ni kiongozi wao,” alisema Kambaya.

Thursday 28 June 2012


Uhaba Wa Madawati Bado Ni Changa Moto...!





Wanafunzi wakiendelea na masomo yao huku wengine wakitumia magoti yao kama sehemu za kuandikia huku wakiwa wamekaa chini.
 

Uhaba wa madawati katika shule za msingi na sekondari umeendelea kuumiza vichwa vya wapenda elimu pamoja na wazazi kwa ujumla nchini.

Upungufu wa madawati katika shule za msingi umeendelea kudidimiza kiwango cha elimu nchini huku ukichangia kuongezeka kwa utoro kwa kusababisha wanafunzi wengine kukata tamaa ya kusoma na mazingira ya shule kwa ujumla ambayo si rafiki kwao.
Matokeo ya wanafunzi kukaa chini husababisha wanafunzi kuandika wakiwa wameinama na wengine hata kulala kifudi fudi na wengine kuchuchumaa na hivyo kushindwa kuandika vizuri na pia kuchoka mapema.Hali hii kupelekea matokeo mabaya nyakati za mitihani hasa ya kitaifa.
 CHANZO: HAKI ELIMU, TANZANIA. http://hakielimu.blogspot.com

 
Picture: Dkt. Ulimboka Steven akiwa kitandani MOI
Picture
Picture: Dkt. Ulimboka Steven akiwa kitandani MOI
Picture
Picture: Dkt. Ulimboka Steven akiwa kitandani MOI
Picture

Video fupi yenye rai ya Dkt. Ulimboka


Source: http://www.wavuti.com/#ixzz1z7JvnVoJ

Wednesday 27 June 2012



PORTUGAL 0  SPAIN 0 ( eat 2-4 ON PENALTY



Cesc Fabregas converted the decisive spot-kick as Spain reached the final of Euro 2012 after a nail-biting penalty shoot-out victory over Portugal in Donetsk.
Fabregas fired his shot in off the post to send Spain through after Bruno Alves had hit the bar for Portugal.
Job done: Spain's players go wild as Fabregas slots the winning penalty
Job done: Spain's players go wild as Fabregas slots the winning penalty


Job done: Spain's players go wild as Fabregas slots the winning penalty

MATCH FACTS

Portugal: Rui Patricio; Joao Pereira, Pepe, Bruno Alves, Fabio Coentrao; Meireles (Varela 113), Veloso (Custodio 106), Joao Moutinho; Nani, Almeida (Nelson Oliveira 81), Ronaldo. 
Subs not used: Eduardo, Quaresma, Ricardo Costa, Rolando, Ruben Micael, Miguel Lopes, Hugo Viana, Postiga, Beto.
Booked: Fabio Coentrao, Pepe, Joao Pereira, Bruno Alves, Veloso.
Spain: Casillas; Arbeloa, Pique, Sergio Ramos, Jordi Alba; Busquets, Alonso; Silva (Jesus Navas 60), Xavi (Pedro 87), Iniesta; Negredo (Fabregas 54). 
Subs not used: Valdes, Albiol, Javi Martinez, Juanfran, Torres, Mata, Llorente, Santi Cazorla, Reina.
Booked: Sergio Ramos, Busquets, Arbeloa, Alonso.
Referee: Cuneyt Cakir (Turkey)
Attendance: 51,500.
Earlier, Cristiano Ronaldo had missed a good chance to put Portugal through in the last minute of normal time while Portugal keeper Rui Patricio made superb saves to deny Jesus Navas and Andres Iniesta in extra-time.
The Spaniards had started better, and ought to have gone ahead from their first chance in the ninth minute when Manuel Negredo pulled the ball back for Alvaro Arbeloa to fire over the bar from the edge of the box.
Andres Iniesta blazed over from long range a minute later, but Portugal threatened in the 13th minute through Ronaldo, who beat Gerard Pique down the left before crossing towards Nani, with Iker Casillas jumping to make a crucial interception.
Paulo Bento's men had clearly wrested the upper hand, suffocating the Spanish midfield and worrying their opponents through the persistent threat of Ronaldo and Nani up front.
But Spain still almost contrived the grab the lead against the run of play in the 29th minute, when Xavi's clever ball found Iniesta on the edge of the box, who rolled the ball onto his right foot before floating a shot inches over Rui Patricio's goal.
Leading the way: Portugal captain Ronaldo organises his side
Leading the way: Portugal captain Ronaldo organises his side
Within two minutes, Portugal had responded with an even better chance, Joao Moutinho's persistence paying off on the edge of the box as he set free Ronaldo to drill a low shot just wide of Casillas left hand post.
Putting the boot in: Nani challenges Xabi Alonso
Putting the boot in: Nani challenges Xabi Alonso

Portugal's control continued into the second half, with Nani almost picking out the head of Hugo Almeida from a dangerous right wing cross, and it proved enough for Vicente Del Bosque, who replaced Negredo with Fabregas up front.
Almeida wasted a good chance in the 58th minute when he fired ambitiously over the Spanish bar instead of picking out Ronaldo or Nani, who were unmarked to his left and right respectively.
Centre of attention: Ronaldo was excellent in the first half
Centre of attention: Ronaldo was excellent in the first half but fell away in the second
Centre of attention: Ronaldo was excellent in the first half
Belatedly, Spain started to show signs of stirring, Xabi drilling a shot straight at Patricio from long range, but despite beginning to edge possession, chances continued to be few and far between.
Ronaldo, still terrorising the Spanish defenders at every opportunity, fired a free-kick just over from 30 yards, but a game that had started brightly drifted into a dull spell in which neither side could serve up much of a threat.
Rolling back the years: Portugal boss Paulo Bento juggles the ball on the sidelines
Rolling back the years: Portugal boss Paulo Bento juggles the ball on the sidelines
Then came a glorious chance for Ronaldo in the last minute of normal time, when a Portuguese counter-attack saw Raul Meireles feed the Real Madrid man who fired over the bar from the left side of the box.
The introduction of Pedro lent some urgency to the Spanish attack in extra-time, and his run set up a chance for Iniesta in the seventh minute of the extra half hour, but his low shot was blocked in the box.
Midfield maestro: Iniesta gets away from Joao Pereira
Midfield maestro: Iniesta gets away from Joao Pereira

The Portuguese were plainly tiring, and Spain had an even better chance in the 104th minute, when Jordi Alba's cross found Iniesta in front of goal but Patricio managed to flap his shot wide from six yards.
Sergio Ramos slammed a long-range free-kick just over the bar before the end of the first period of extra-time, and Ramos was soon in critical action at the other end when cutting out a Fabio Coentrao ball meant for Ronaldo.
Highly-charged: Pepe remonstrates with the linesman
Highly-charged: Pepe remonstrates with the linesman

Substitute Jesus Navas was next to get the chance to break the deadlock in the 22nd minute of extra-time, picking up a ball from Arbeloa in the box and hitting a shot which Patricio did well to save down low.
As Spain kept pressing, Pedro briefly burst clear before being caught by Fabio Coentrao, but by then there was a certain inevitability about a match that promised much but offered little heading to penalties.
Glorious chance: Rui Patricio saves from Iniesta from point-blank range
Glorious chance: Rui Patricio saves from Iniesta from point-blank range

Alonso had the first spot-kick saved by Patricio but Casillas evened things up by saving the first Portuguese penalty from Moutinho.
Iniesta, Pepe, Pique, Nani and Sergio Ramos all put away their penalties before Alves - who had inadvertently stepped up for the previous penalty which was eventually converted by Nani - hit the bar, leaving Fabregas to put Spain through.
Key moments: Ramos (above) celebrates his cheeky penalty before Bruno Alves misses for Portugal
Key moments: Ramos (above) celebrates his cheeky penalty before Bruno Alves (below) misses for Portugal
Key moments: Ramos (above) celebrates his cheeky penalty before Bruno Alves (below) misses for Portugal
On the way to Kiev: Spain scraped through by the skin of their teeth
On the way to Kiev: Spain scraped through by the skin of their teeth