KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Monday 5 September 2011

Dj Venture Afanya Kweli...


 Dj Mashuhuri Nchini Tanzania Dj Venture amefunga pingu za maishaa jana Jijini Dar es Salaam na Bibie Berna na kufwatiwa na sherehe ya nguvu iliyofanyika kwnye hoteli ya kimataifa ya Hyatt Regency Zamani Kilimanjaro Hotel Kempinsky.Picha Zote Zimefotolewa na Mdau Ahmed Michuzi

No comments:

Post a Comment