KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Wednesday 21 September 2011

DK. KAFUMU AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI NYUMBANI KWAO ITUMBA


Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akimwombea kura mgobea ubunge wa jimbo la Igunga kwa tiketi ya Chama, Dk. Dalaly Kafumu, katika mkutano wa kamepni za CCM kumnadi mgombea wake katika Kata ya Itumba, kijiji cha Itumba alikozaliwa mgombea huyo wa CCM.
Watu wakiwa wamefurika katika mkutano ya kampeni uliofanyika Itumba kijijini kwa Dk. Kafumu.
Vijana wa Itumba wakiwa na picha ya Dk. Kafumu wakati wakiingia kwenye mkutano uliofanyika katika kata hiyo.
Maria Mgdalena, mke wa mgombea ubunge Igunga kwa tiketi ya CCM, Dk. Kafumu akiwapigia magoti wazee na vijana wa Kitaturu kumuombea kura mumewe.
Mratibu wa Kampeni za CCM, Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha, Mwigulu Nchemba akionyesha kadi ya CHADEMA baada ya kukabidhiwa na Geofrey Kahindye (kulia) aliyehamia CCM katika mkutano wa Kampeni , Itumba.

No comments:

Post a Comment