KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Saturday 24 September 2011

Meneja Wa Kampeni Za Chadema Igunga Mwita Waitara Ahojiwa Na Polisi Kwa tuhuma za Kutaka Kumteka Nyara Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Esther Bulaya

 Meneja wa Kampeni za Chadema katika uchaguzi mdogo wa Igunga, Tabora, Mwita Waitara akipanda gari kwenda kutoa maelezo katika kituo cha Polisi cha mjini Igunga kwa tuhuma za kutaka kumteka nyara Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Esther Bulaya usiku wa kuamkia Septemba 24.Na Mpigapicha Maalumu

No comments:

Post a Comment