KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Wednesday 24 August 2011

Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa,Mbunge wa Hai,Freeman Mbowe,Mbunge wa Bumbuli January Makamba,Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe,Mbunge wa Vunjo Augustine Lyatonga Mrema washiriki Maziko Ya Marehemu Mussa Hamis Silima Unguja Leo

Waziri Mstaafu, Edward Lowassa,  akiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Uzini, marehemu Mussa Hamis Silima, wakati wa maziko yaliyofanyika Kijiji cha Kiboje Wilaya ya kati Unguja leo Agosti 24.
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, akiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Uzini, marehemu Mussa Hamis Silima, wakati wa maziko yaliyofanyika Kijiji cha Kiboje Wilaya ya kati Unguja leo Agosti 24.
Mwenyekiti wa Makati ya Bunge ya kudumu ya Heshabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe, akiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Uzini, marehemu Mussa Hamis Silima, wakati wa maziko yaliyofanyika Kijiji cha Kiboje Wilaya ya kati Unguja leo Agosti 24.
Rais wa Zanzibar,Dkt.  Ali Mohamed Shein, Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  Mohammed Gharib Bilal,Makamu wa kwanza wa Rais, Maalim Seif na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa,Mbunge wa Bumbuli na Mwenyekiti wa Kamati ya nishati na madini January Makambawakiwa katika shughuli ya mazikonya aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Uzini, marehemu Mussa Silima. Maziko hayo yamefanyika leo Agosti 24 katika Kijiji cha Kiboje Wilaya ya Kati Unguja.Picha na Muhidin Sufiani-Ofisi Ya Makamu Wa Rais

No comments:

Post a Comment