KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Thursday 11 August 2011

Taswira Mbalimbali Kutoka Bungeni Mjini Dodoma Leo

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akijibu majibu ya masuali ya papo kwa papo Bungeni Aug,11,2011,
Waziri wa Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt, William Nchimbi (kushoto) wakijadiliana na Naibu wake Dkr. Fenella Mukangara wakati wa majadiliano ya Hotuba y makadirio ya mapato na matumizi yaa Wizara yao kwa mwaka wa fedha 2011-2012,
Waziri Kivuli kambi ya upinzani wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Joseph Mbilinyi akiwasilisha hotuba yake ya wizara hiyo ya makadirio ya mapato na matumizi katika kipindi cha mwaka 2010-2012 mjini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa DR, Asha -Rose Migiro akipokea zawadi kutoka kwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri la Tanzania Job Ndugai,
Baadhi ya wakuu wa Idara na Taasisi ziliopo chi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakifuatilia Hotuba ya Makadirio na Mapato ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2011-2012 Bungeni Aug.11,2011-
Baadhi ya wakuu wa Idara na Taasisi ziliopo chi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakifuatilia Hotuba ya Makadirio na Mapato ya Matumizi
Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Dr, Asha Migiro akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Job Ndugai alipowasili ofisini Bungeni Dodoma na kufanya maz

No comments:

Post a Comment