KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Saturday 2 July 2011

Zantel Yazinduwa Kituo Cha Intaneti Mbagala Jijini Dar es Salaam

Waziri Mawasiliano, Sayansi na Teknologia Mhe. Makame Mbarawa akikata utepe kuzinduwa kituo kipya cha kutolea huduma na mafunzo ya intaneti bure cha Zantel ZNET,kilichopo eneo la Mbagala Zakem.Hiki ni kituo cha kwanza na pekee nchini kutoa mafunzo ya kompyuta na intaneti kwa wanafunzi bure. Kulia ni Afisa Mkuu wa Masoko wa Zantel Norman Moyo.

No comments:

Post a Comment