KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Thursday 28 July 2011

Taswira Za Waziri Mkuu Mizengo Pinda Kutoka Viwanja Vya Bunge Mjini Dodoma Leo

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  na Mbunge wa Njombe Kaskazini,Deo Sanga wakitoka kwenye ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma Julai 28,2011.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Mtama,Bernad Membe kwenye  viwanja  vya Bunge Mjini Dodoma Julai 28,2011.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum,Lediana Mg’ong’o(kulia) na Kaimu Katibu wa Bunge ,John  Joel kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma  Julai 28, 2011.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment