KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Sunday 31 July 2011

VODACOM YAJA NA MUONEKANO MPYA WA HUDUMA YAKE YA M-PESA.

Afisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Vodacom Tanzania  Bi. Mwamvita Makamba akimsikiliza kwa umakini,Mkuu wa Kitengo cha huduma za kifedha wa Vodacom Tanzania Jacques Voogt akiongea wakati wa uzinduzi rasmi wa muonekano mpya wa huduma  ya Vodacom m-pesa kwa wateja wake wote nchini ambayo inaendana sambamba na kauli mbiu ya "Kazi ni Kwako" kwa kuihusisha huduma hiyo na kazi anazozifanya 'Superman' za uharaka, usalama, uhakika na utayari wake wa kusaidia jamii wakati wowote ule na mahali.
Afisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Vodacom Tanzania  Bi. Mwamvita Makamba wanne kutoka kushoto na Mkuu wa kitengo cha huduma za kifedha wa kampuni hiyo Bw. Jacques Voogt kushoto kwake,wakishikana mikono kuashiria uzinduzi rasmi wa muonekano mpya wa huduma  ya Vodacom m-pesa kwa wateja wake wote nchini ambayo inaendana sambamba na kauli mbiu ya "Kazi ni Kwako" kwa kuihusisha huduma hiyo na kazi anazozifanya 'Superman' za uharaka, usalama, uhakika na utayari wake wa kusaidia jamii wakati wowote ule na mahali popote pale.
Wafanyakazi mbalimbali wa Vodacom Tanzania wakiwa kwenye mfano wa vazi analovaa"Superman" wakati wa uzinduzi rasmi wa muonekano mpya wa huduma  ya Vodacom m-pesa kwa wateja wake wote nchini ambayo inaendana sambamba na kauli mbiu ya "Kazi ni Kwako" kwa kuihusisha huduma hiyo na kazi anazozifanya 'Superman' za uharaka, usalama, uhakika na utayari wake wa kusaidia jamii wakati wowote ule na mahali popote pale.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kazini wakati wa uzinduzi rasmi wa muonekano mpya wa huduma  ya Vodacom m-pesa kwa wateja wake wote nchini ambayo inaendana sambamba na kauli mbiu ya "Kazi ni Kwako" kwa kuihusisha huduma hiyo na kazi anazozifanya 'Superman' za uharaka, usalama, uhakika na utayari wake wa kusaidia jamii wakati wowote ule na mahali popote pale.

No comments:

Post a Comment