KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Saturday 9 July 2011

TASWIRA ZA MBUNGE WA MBEYA MJINI{CHADEMA} MH. JOSEPH MBILINYI (MR II) ALIVYOACHIWA LEO NA JESHI LA POLISI MKOANI HUMO

Gari la Mh Sugu,kulia(Mbunge wa mbeya mjini-Chadema)likiondoka kituo cha polisi mbeya
Mh Sugu akihojiwa na waandishi wa habari hapo kituoni mara baada ya kutolewa
Mh Joseph Mbilinyi akiwa nje ya kituo cha polisi mbeya mara baada ya kuachiwa huru hata hivyo habari ambazo mpaka sasa hazijathibitishwa ni kwamba bonanza la sugu ambalo lilikua lifanyike leo kwenye viwanja vya Luanda nzovwe limesimamisha kwa sababu halina kibali  habari zaidi juu ya bonanza hilo tutawaletea baadae

No comments:

Post a Comment