KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Saturday 16 July 2011

Nape Nnauye Aunguruma Mbeya

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa,Nape Nnauye akihutubia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Rwandanzovwe mjini Mbeya leo
Mwenyekiti wa Wabunge wa mkoa wa Mbeya, Prof. David Mwakyusa akihutubia. Kushoto ni Nape
Mbunge wa Kyela,Naibu waziri Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe akihutubia
Mbunge wa Urambo, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki akihutubia
Mjumbe wa NEC, Oganaizesheni Asha Abdallah Juma akihutubia
Nape akimkaribisha  Mwenyekiti wa Mtandaano wa Chadema wa wanataaluma Prince  Mwaihoja
Nape akicharaza gita na Kikundi cha TOT cha Mbeya. Kulia ni Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa, Mbunge wa Urambo, Samwel Sitta
Msafara ukiingia uwanjani.Picha na  Mpigapicha Maalum

No comments:

Post a Comment