WAFANYAKAZI WA BARCLAYS WAFANYA BONANZA LA MICHEZO.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/10/01-1024x612.jpg)
ili kumpata mshindi wakati wa bonanza la michezo la kila mwaka la
benki hiyo katika Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mwishoni
mwa wiki.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/10/02-1024x682.jpg)
katika mchezo wa kuvuta kamba katika bonanza la michezo la kila mwaka
la benki hiyo, katika Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,
mwishoni mwa wiki.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/10/03-1024x707.jpg)
(kushoto) na Stanslaus Mkondya (kulia) wakigombea mpira katika bonanza
la michezo la kila mwaka la benki hiyo, katika Viwanja vya Chuo Kikuu
cha Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/10/04-1024x682.jpg)
Siku ya Michezo katika Viwanja vya UDSM jijini Dar es Salaam
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/10/05-1024x682.jpg)
(katikati) akipozi kwa picha na timu iliyoibuka kidedea katika mchezo
wa soka wakati bonanza la Siku ya Michezo katika Viwanja vya UDSM
jijini Dar es Salaam
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/10/06-1024x682.jpg)
akizungumza wakati wa bonanza hilo ambapo wafanyakazi hao walishiriki
michezo ya kuvuta kamba, kabumbu, wavu, kikapu na kusakata dansi.
No comments:
Post a Comment