KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Saturday 13 October 2012


RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU WALID JUMA


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji  na kuomba dua pamoja na familia ya  aliyekuwa kamishna wa huru wa Foradha  Marehemu Walid Juma nyumbani kwake Upanga jijini Dar es Salaam leo.Marehemu Walid  amezikwa leo katika makaburi ya Kisutu jijini dare s Salaam.(picha na Freddy Maro)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji  na kuomba dua pamoja na familia ya  aliyekuwa kamishna wa huru wa Foradha  Marehemu Walid Juma nyumbani kwake Upanga jijini Dar es Salaam leo.Marehemu Walid  amezikwa leo katika makaburi ya Kisutu jijini dare s Salaam, kulia aliyesimama ni Naibu Kamishna wa TRA Bw. Rishad Bade .(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment