KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Saturday 13 October 2012


Uharibifu Uliosababishwa Na Waislamu Mbagala

 Mawe yametoboa vioo vingi
 Katika madhabahu, pameharibiwa

 Mabenchi yamepinduliwa na kuvunjwa
 Mimbari imechomwa na kuharibiwa



 Ofisi ya Kanisa imechomwa moto
 Wachungaji wa kanisa hili wakisubiria taarifa kutoka polisi
 Hawa wanafanya maombi na nimesikia wakiwaombea Waislamu Mungu awasamehe
 Vifaa vya uimbaji vimechomwa moto
 Washarika wakiwa kanisani kwao asubuhi hii
 Gari la mchungaji pia limeharibiwa kabisa

 Ofisi ya mchungaji na mwinjilisti zimeharibiwa kabisa
Kushoto ni msikiti walipotokea Waislamu kabla ya kuvamia kanisa kulia. Nyumba hizi za ibada ziko jirani zikitenganishwa na barabara tu

No comments:

Post a Comment