KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Friday 19 October 2012

 CHADEMA WAMNADI MGOMBEA UDIWANI SHINYANGA
 
 Dkt Slaa akimtambulisha mgombea udiwani wa chama chake wa kata ya Mwawaza,Shinyanga
 
 Dkt.Slaa akihutubia
 
 Mgombea udiwani wa CHADEMA
 
Ndg Wilfred Lwakatare,Mkurugenzi wa taifa wa ulinzi na usalama na mratibu wa kitaifa wa kampeni za udiwani

 
Huu ni mkutano wa kumnadi mgombea wa CDM wa udiwani katika kata ya Mwawaza ulioongozwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Dr Wilbroad Slaa.Kumbuka huu ni mkutano tu katika mojawapo ya vijiji vya kata hiyo.

No comments:

Post a Comment