KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Thursday 18 October 2012


Kamishna Wa Polisi Zanzibar Aongea Na Waandishi

 
 Mwandishi wa Habari wa Hits FM Mustafa akiuliza maswali katika Mkutano wa Jeshi la Polisi juu ya fujo na ghasia zilizotokea katika Mkoa wa Mjini Magharibi,hapo katika Makao Makuu ya Polisi Ziwani Mjini Zanzibar.
 
 Kamishna wa Polisi Mussa Ali Mussa akifafanua jambo katika Mkutano na Waandishi wa Habari akielezea juu ya Fujo na Ghasia zilizotokea katika Mkoa wa Mjini Magharibi na kupelekea kifo cha Askari Mmoja,Mkutano huo umefanyika hapo katika Makao Makuu ya Polisi Ziwani Mjini Zanzibar.
 


 
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiwa katika Mkutano wa Jeshi la Polisi kuelezea juu ya Fujo na Ghasia zilizotokea katika Mkoa wa Mjini Magharibi na kupelekea kifo cha Askari Mmoja,Mkutano huo umefanyika hapo katika Makao Makuu ya Polisi Ziwani Mjini Zanzibar.
 
PICHA NA MAKAME MSHENGA-MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment