KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Sunday 4 November 2012


WAFANYAKAZI WA BARCLAYS WAJITOLEA KUFANYA KAZI ZA JAMII KUADHIMISHA ‘MAKE A DIFFERENCE DAY


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays Tanzania, Bw. Kihara Maina
(kulia) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), katika mafunzo
kuhusu taaluma za kibenki na ujasiriamali ikiwa ni sehemu ya matukio
ya benki hiyo  kuadhimisha siku maalumu ambayo wafanyakazi wake
hujitolea kufanya kazi za kijamii waliyoipa jina la ‘Make a Difference
Day’.
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es
Salaam (UDBS) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Barclays Tanzania,
Kihara Maina (hayupo pichani)  katika mafunzo kuhusu taaluma za
kibenki na ujasiriamali ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo
kuadhimisha siku maalumu ambayo wafanyakazi wake  hujitolea kufanya
kazi za kijamii waliyoipa jina la ‘Make a Difference Day’ jijini Dar
es Salaam.
Mkuu wa Rasilimali Watu wa Benki ya Barclays Tanzania, Eutropia
Mwambeleko (kushoto) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya
Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) jana,
katika mafunzo kuhusu taaluma za kibenki na ujasiriamali ikiwa ni
sehemu ya matukio ya benki hiyo  kuadhimisha siku maalumu ambayo
wafanyakazi wake  hujitolea kufanya kazi za kijamii waliyoipa jina la
‘Make a Difference Day’.
Mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es
Salaam (UDBS) akiuliza swali wakati wa mkutano huo iliondaliwa na
Barclays ikiwa ni sehemu ya matukio ya siku ya ‘Make a Difference Day
shuleni hapo.

No comments:

Post a Comment