KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Saturday 17 November 2012


JK: Alakiwa Kwa Shangwe

 
 Rais Jakaya Kikwete akipokewa kwa shangwe na wafanyakazi wa Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kurejeamakitokea Arusha alikokuwa katika ziara ya siku mbili ya kikazi na kabla ya hapo alikuwa Dodoma ambako alichaguliwa tena kuongoza CCM kwa miaka mingine mitano
 

 

 

No comments:

Post a Comment