KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Monday 26 November 2012


RAIS KIKWETE AMWAPISHA MJUMBE WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha mjumbe wa tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu John Mkwawa pamoja na Katibu wa Tume ya Kurekebisha sheria Bi.winfrida Beatrice Korosso pichani chini  katika hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Pichani  mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu John Mkwawa(8724) pamoja na Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Bi.Winfrida Beatrice Korosso(8734) Wakila kiapo mbele ya Rais(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment