KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Saturday 17 November 2012


MAPOKEZI YA DK.SHEIN ZANZIBAR KATIKA PICHA JANA


Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed
Shein,akiwapungia Mkono wananchi na wanachama wa CCM waliojitokeza
katika mapokezi yake katika mji wa Zanzibar mtaa wa
Michenzani,akitokea Dodoma katika Mkutano Mkuu wa Nane,ulimuwezesha
kushika nafasi hiyo, kutokana na uchaguzi,uliofanywa wa kuwachagua
Viongozi wa CCM kwa kipindi cha miaka mitano,katika ukumbi wa
Kizota,Mkoani Dodoma.  [Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed
Shein,akiwapungia Mkono wananchi na wanachama wa CCM waliojitokeza
katika mapokezi yake katika mji wa Zanzibar mtaa wa
Michenzani,akitokea Dodoma katika Mkutano Mkuu wa Nane,ulimuwezesha
kushika nafasi hiyo, kutokana na uchaguzi,uliofanywa wa kuwachagua
Viongozi wa CCM kwa kipindi cha miaka mitano,katika ukumbi wa
Kizota,Mkoani Dodoma.  [Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Maandamano ya Pikipiki kama yanavyoonekana pichani
wakiongoza msafara wa  Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed
Shein,akitokea Dodoma katika Mkutano Mkuu wa Nane,ulimuwezesha kushika
nafasi hiyo katika uchaguzi,wa kuwachagua Viongozi wa CCM kwa kipindi
cha miaka mitano,katika ukumbi wa Kizota,Mkoani Dodoma.
                  [Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Makamo wa Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,pia Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk.Ali Mohamed
Shein,akivalishwa shada la mauwa na mtoto Salama Issa Ali, alipowasili
katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akitokea
Mkoani Dodoma,kulikofanyika Mkutano Mkuu wa chama hicho uliomuwezesha
kushika nafasi hiyo,baada ya kushinda uchaguzi kwa kishindo.
Makamo wa Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,pia Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk.Ali Mohamed
Shein,akisalimiana na Viongozi na wanachama wa CCM, alipowasili katika
uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,nje ya Mji wa
Zanzibar  akitokea Mkoani Dodoma,katika  Mkutano Mkuu wa nane wa Chama
hicho uliomuwezesha kushika nafasi hiyo,baada ya kushinda uchaguzi kwa
kishindo.
Makamo wa Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,pia
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk.Ali Mohamed
Shein,na Mkewe mamam Mwanamwema Shein wakisalimiana na Viongozi na
wanachama wa CCM, walipowasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Abeid Amani Karume,nje ya Mji wa Zanzibar  wakitokea Mkoani
Dodoma,katika  Mkutano Mkuu wa nane wa Chama hicho uliomuwezesha
DK.Shein,kushika nafasi hiyo,baada ya kushinda uchaguzi Mkuu
ulimalizika hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment