Mrisho Ngassa akiingia Makao Makuu ya klabu ya
Simba kwa ajili ya kutambulishwa rasmi.
Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange
akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha rasmi mshambuliaji wa
timu hiyo, Mrisho Ngassa Makao Makuu ya klabu hiyo leo.
Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange
akimkabidhi jezi ya timu hiyo aliyekuwa mshambuliaji wa Azam FC, Mrisho Ngassa
baada ya kujiunga rasmi na Wekundu wa Msimbazi kwa mkataba wa miaka miwili.
Picha zote na Habari Mseto Blog.
Mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngassa akivaa
jezi ya Simba baada kujiunga na timu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili akitokea
Azam FC.
Mrisho Ngassa akitabasabu baada ya kuvaa jezi
ya Simba.
Gari alilopewa Mrisho Ngassa baada ya kujiunga
na Simba.
Mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngassa akiwa na
wachezaji wenzake kwenye mazoezi yaliyofanyika katika ufukwe wa Coco leo.
Mrisho Ngasaa katikati akiwa katika mazoezi ya
Simba leo.
Mrisho Ngassa akiwa katika Mazoezi ya Simba
leo.
Ngassa akifanya mazoezi ya viungo.
Mrisho Ngasa akiteta jambo na Uhuru Suleiman
baada ya mazoezi katika ufukwe wa Coco leo.
Mshambuliaji wa Simba Mrisho Ngasa akiwa ndani
ya mchuma wake baada ya kusajiliwa na klabu ya Simba.
No comments:
Post a Comment