KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Monday 27 August 2012


 
Mtu mmoja anadaiwa kufa kwa kupigwa risasi kichwani huku wengine kadhaa wakijeruhiwa vibaya kwa Risasi za moto baada ya Polisi kuwarushia Risaasi za moto na mabomu ya machozi waandamani wa CHADEMA mjini Morogoro.

Baadhi ya wafuasi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoani Morogoro wakiongozwa na polisi baada ya kuwatawanyisha walipokuwa wakifanya maandamano maeneo ya Msamvu mjini Morogoro mchana wa leo. Polisi walitibua maandamano hayo yanayodaiwa kutokua rasmi kwa mabomu ya machozi. (MrokiM blog  
Picture  
picha via WanaBidii google forums
Picture
picha via WanaBidii google forums
Picture
picha via WanaBidii google forums
Picture
Huyu ni Ally Zona muuza magazeti wa Msamvu Morogoro akiwa hajitambui baada ya kutandikwa risasi na Polisi kuzuia maandamano ya CHADEMA (picha Father Kidevu blog)
Picture
Huyu ni mwananchi aliyeuawa na polisi kufuatia maandamano ya amani ya CHADEMA leo asubuhi... Alikuwa ni muuza magazeti ambaye hakujihusisha hata na maandamano. Wengine watatu wamejeruhiwa kwa risasi. (picha: CHADEMA Blog)
Picture
Makamanda wa chadema wakiwa kwenye dk 1 ya maombolezo kwa kumkumbuka kijana Alli aliyepigwa risasi na polisi leo Morogoro. (picha: Hosea D. Mtui's facebook wall)
Picture
(picha Father Kidevu blog)
Picture
(picha: Hosea D. Mtui's facebook wall)
Picture
(picha: Hosea D. Mtui's facebook wall)


No comments:

Post a Comment