PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE
KARIBUNI
Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.
Thursday, 8 November 2012
KAMPUNI SIMU ZA MKONONI YA TIGO YATOA OFA KABAMBE YA SMARTPHONE
Meneja wa intaneti tigo Bw.Titus Kafuma akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa promosheni inayomuezesha mteja kununua Smartphone yenye kiwango na hadhi ya hali ya juu aina ya Ascend Y200 kwa bunguzo la hali ya juu ambapo amesema wateja watakao nunua simu hizo watapata furusa ya kujishindia bidhaa za promosheni kutoka tigo na zawadi kubwa katika promosheni hiyo wateja kumi watajishindia safari ya kwenda nchini china katika droo itakayochezeshwa mara tano huku kila droo itatoa washindi wawili.katika safari hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment