KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Saturday, 11 August 2012


Mkuu Wa Mkoa Wa Iringa Afuturisha Iringa , Aomba Ushirikiano Katika Sensa

 
Mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt Christine Ishengoma akila futari na mmoja wa walemavu wa ngozi (albino) katika hafla aliyoiandaa Ikulu jana

 

 

 

 

 
Mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt Christine Ishengoma aliwakutanisha waislamu katika hafla aliyoiandaa Ikulu ndogo mjini Iringa huku akiomba ushirikiano wa dini zote katika zoezi la sensa na mchakato wa katiba.

No comments:

Post a Comment