KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Saturday 14 January 2012

breaking news!!!!!!!!!! regia mtema mb chadema amefariki


Taarifa zilizotufikia karibuni na kuthibitishwa na John Heche Mwenyekiti wa BAVICHA taifa ni kuwa mh MTEMA amefariki katika ajali ya gari leo saa 5 asubuhi maeneo ya Ruvu. tutawaletea habari zaidi na usahihi wa taarifa hizi

1 comment: