KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Sunday 22 January 2012

chadema na serikali waendelea na maongezi juu ya katiba,dk.slaa ahudhuria


 Rais Kikwete akimkaribisha Dk.Slaa na viongozi wa CHADEMA ikulu jana usiku kwa mazungumzo tena kuhusu suala la katiba
 Wanapitia makabrasha kifungu kwa kifungu
 Dk.Slaa akitoa ufafanuzi juu ya masuala ambayo chama chake kinaamini ni muhimu kuzingatiwa kwa maslahi ya wananchi
Maongezi yanaendelea, kifungu kwa kifungu.saa tatu walikaa katika vikundi kile cha CHADEMA na kile cha serikali kujadili misimamo na makubaliano, kisha kikao kiliendelea hadi saa 5:30 usiku.tunasubiri taarifa rasmi
Picha kutoka IKULU

No comments:

Post a Comment