KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Sunday 22 January 2012

JK akutana na uongozi wa NCCR Mageuzi Ikulu jijini Dar es salaam leo



. Rais Jakaya Kikwete akipokea mapendekezo ya chama cha NCCR-MAGEUZI kuhusu mchakato wa Katiba toka kwa Mwenyekiti wa chama hicho Mh James Mbatia leo alipokutana na uongozi wa chama hicho Ikulu jijini Dar es salaam

  Mkuu wa Idara ya Katiba na Sheria wa Chama cha NCCR - Mageuzi, Dk. Sengondo Mvungi akisoma mapendekezo ya chama hicho juu ya mchakato wa katiba
 Rais Kikwete akiongea na uongozi wa NCCR-MAGEUZI
Akiwaaga baada ya picha ya pamoja
Picha na IKULU 

No comments:

Post a Comment