KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Sunday 22 January 2012

mh.jeremia sumari aagwa karimjee


 Mh. William Lukuvi akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya serikali
 Mh.Freeman Mbowe akitoa salamu kwa niaba ya kambi rasmi ya upinzani
 Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Mh.Jeremiah Sumari
 Wageni waliofika kutoa heshima zao za mwisho wakiongozwa na Mh rais ndg Jakaya Kikwete
 Waliofika kutoa heshima ya mwisho

No comments:

Post a Comment