KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Tuesday 17 July 2012


Picture: Tanzania Liberia
Picture
Picture
Rais wa Liberia, Ellen Johnson-Sirleaf akikagua gwaride la heshima la kikosi cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), baada ya kuwasili leo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, tayari kuanza ziara ya siku nne nchini.
Picture
L-R: Ellen Johson-Sirleaf (Rais wa Liberia); Jakaya Mrisho Kikwete (Rais wa Tanzania) @JKNIA, Dar es Salaam, Tanzania. Julai 17, 2012
Picha zote zimepigwa na RICHARD MWAIKENDA "Kamanda wa Matukio"


No comments:

Post a Comment