KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Monday 19 December 2011

CHADEMA WAENDESHA MAFUNZO DHIDI YA SHERIA YA KATIBA MPYA DAR


                          Dk.Slaa akisikiliza mada iliyotolewa na Halima Mdee
                     Dk.Slaa akinene na Mdee Meza kuu wakati wa mkutano wao leo
                Mh.Grace Kiwelu na baadhi ya viongozi wa Chadema                                                                  
         
       Baadhi ya viongozi wa chadema Dar es salaam wakifuatilia mkutano wa kuelimisha umma juu ya mapungufu ya sheria ya katiba mpya. mikutano imefanyika nchi nzima sasa
     Bwana John Mnyika

   Leo kwenye ukumbi wa Kiramuu Mbezi beach high school, viongozi wote wa chadema wanapata mafunzo juu ya ubovu wa sheria ya katiba mpya
Na Mdau wa Mjengwablog Dar es salaam

No comments:

Post a Comment