KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Monday 28 May 2012

picha: Mkutano wa CHADEMA Mtwara leo Mei 28, 2012


 
Picture: CHADEMA Mtwara Mei 28, 2012
Sehemu ya maelfu ya wananchi wa mji wa Mtwara na vitongoji vyake, wakiwasikiliza viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika mkutano wa hadhara wa M4C (Movement For Change), uliofanyika kwenye Uwanja wa Mashujaa. (Picha na Joseph Senga via Francis Dande)
Picture: CHADEMA Mtwara Mei 28, 2012
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbles Lema, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, akihutubia katika mkutano wa hadhara waM4C, kwenye Uwanja wa Mashujaa mjini Mtwara, leo. (Picha na Joseph Senga via Francis Dande)

No comments:

Post a Comment