KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Friday 18 May 2012


BURIANI MAFISANGO...

MAMIA WAFURIKA TCC CHANG'OMBE KUUAGA MWILI WA PATRICK MUTESA MAFISANGO

 Heshima za mwisho. 
 Haruna Moshi akitoa heshima za mwisho.
Nahodha wa Simba, Juma Kaseja akitoa heshima za mwisho.
 Emmanuel Okwi akitoa heshima za mwisho.
 Makocha wa Stars, Silvester Marsh na Kim Poulsen wakati wa ibada ya kuaga mwli wa Mafisango.
 Katibu Mkuu wa Yanga, Celestine Mwesigwa akitoa salamu wakati wa kuaga mwili wa marehemu, Mafisango.
 Mamia ya wadau wa Soka wakiwa wamekusanyika katuika viwanja vya Sigara TCC Club, Chang'ombe jijini Dar es Salaam kuaga mwili wa aliyekuwa kiungo wa Simba. Patrick Mafisango mchana huu.
 Askari wa Usalama Barabarani akiongoza msafara wakati mwili wa marehemu, Mafisango ulikiwasili katika viwanja vya TCC Club.
Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara (wa pili kushoto) akiwasili katika viwanja vya Sigara jijini Dar es Salaam wakati wa ibada ya kuaga mwili wa marehemu, Patrick Mafisango. 
                        Beki wa Simba, Juma Nyoso pamoja na John Boko wakiwa wamebeba jeneza.
 Mlezi wa klabu ya simba, Prof. Philimon Sarungi akimfariji Mwenyekiti wa Simba, Aden Rage.
Boban akiwa na huzuni.

Mwenyekiti wa Simba Ismail Rage akisoma wasifu wa marehemu.
Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara akitoa heshima za mwisho wakati wa ibada ya kuaga mwili wa marehemu, Patrick Mafisango. 
Kocha wa Simba akitoa heshima za mwisho.





Taifa Stars wa kwanza kushoto ni kocha wa makipa, Juma Pondamali

Katikai Kim Poulsen kocha wa Stars, kushoto Msaidizi wake Sylvester Marsh na kulia Meneja Leopold Mukebezi


Azim Dewji kulia na Leonard Thadeo kushoto



Gwiji wa Simba, Abdallah Kibadeni kushoto na Uhuru Suleiman


Makocha wa Yanga, Freddy Felix Minziro na kocha wa makipa Mfaume Athumani wakiwa na beki wa zamani wa Yanga, Willy Martine 'Gari Kubwa' wa pili kutoka kushoto

Makumbi Juma katikati

Eric Sagala 'Cantona' katikati


Suleiman Matola kulia

Juma Nyosso kushoto na John Bocco 'Adebayor' kulia wakiwa wamebeba jeneza

Shabiki Mkongomani akidhibitiwa baada ya kupagawa alipoona jeneza la marehemu Mafisango

Amir Maftah aliyebeba msalaba na Mwinyi Kazimoto kashika picha



Nahodha wa Simba Juma Kaseja akisaidiwa baada ya kushindwa kujizuia na kuangua kilio kiasi cha kuishiwa nguvu

Kaseja ni huzuni na kilio


Jeneza la Patrick Mutesa Mafisango


Makamu Mwenyekiti wa Simba, Kaburu na Leslie Liunda kushoto




Kocha wa Simba, Milovan Cirkovick

Milovan kilio


Shabiki 'hayawani' la Yanga, maarufu kama J4 likicheka msibani

Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Dk Fennella Mukangara (wa pili kutoka kushoto)akiingia Uwanja wa TCC


Dk Fenella na Thadeo wakijadiliana




Jamal Malinzi mwenye miwani





Ibada

Mchungaji Tito Kyame akiongoza ibada ya kumuombea marehemu

Katibu wa Yanga, Celestine Mwesigwa akitoa rambirambi

Ofisa wa Push Mobile, mmoja wa wadhamini wa Simba akitoa rambirambi

Mwenyekiti wa Simba, ALhaj Ismail Aden Rage akitoa hotuba 


Wazee wenye busara wa Simba

Rage akimuinua Dk Fenella akahutubie

Athumani Tippo 'Zozzou'

Kiggi Makassy kulia

Clement Kahbuka kushoto na Athumani Jumapili Chama kulia

No comments:

Post a Comment