KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Tuesday, 9 October 2012


YANGA ILIVYOBANJULIWA UWANJA WA KAITABA JANA MJINI BUKOBA


Ligi kuu ya Tanzania Bara imeendelea jana katika uwanja wa kaitaba Mjini Bukoba ambapo timu ya Yanga imeambulia kichapo cha bao 1-0 Kutoka kwa wakata miwa wa Kagera Sugar na kupoteza mchezo huo, Bao la Kagera Sugar lilipatikana dakika ya 40 kipindi cha pili cha mchezo, Bao hilo lilifungwa na mchezaji mahiri mzaliwa wa Kimbugu Muleba Temmy Alfonce
(Picha kwa hisani ya bukobawadau blog)
Benchi la wachezaji wa timu ya Yanga katika hali ya sintofahamu
Mchezaji wa Yanga Said Bahanzi aumia  vibaya baada ya kuangka mnamo dakika ya 22 kipindi cha kwanza cha mchezo.
Sehemu ya mashabiki wa Kagera Sugar Jukwaani

No comments:

Post a Comment