KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Wednesday 19 October 2011

Taswira Kutoka Baraza La Wawakilishi Zanzibar

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali Othman Masoud na Mwakilishi wa Mji Mkongwe Jussa Ismail wakijadili jambo nje ya Ukumbi wa Baraza baada ya Kumaliza Kikao cha asubuhi cha maswali na majibu na kupitisha  Mswada. 
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohammed Aboud na Mwakilishi wa Mpendae Mohammed Salum Ndimwa, wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi wa mkutano. 
WAZIRI wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar Nassor Mazrui, akipongezwa na Maofisa wa Wizara yake baada ya kupitishwa kwa Mswada wa Shiruika la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC)baada ya kumalizika kikao cha asubuhi.
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wakitoka katika Mjengo wa Baraza baada ya kumaliza Kikao cha Asubuhi cha maswali na Majibu.

No comments:

Post a Comment