KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Tuesday 18 October 2011

Rais Jakaya Kikwete Amaliza Ziara Yake Mpanda na Kurejea Dar es Salaam

Rais Jakaya Kikwete akiwatazama wasanii wa kikundi cha ngoma cha Mtapenda cha Majimoto wilayani Mpanda(hawapo pichani) kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kabla ya kuondoka kurejea Dar es salaam October 18, 2011. Kulia ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda .Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment