KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Sunday 4 March 2012

YANGA YALALA 1-0 JIJINI CAIRO

Ahmed Hossam “Mido” akiifungia Zamalek bao la ushindi.  (Picha: Amr Gamal)
TIMU ya Yanga ya jijini Dar es Salaam leo imelala bao 1-0 dhidi ya Zamalek katika mchezo wa marudiano wa Klabu Bingwa Afrika uliopigwa kwenye uwanja wa jeshi jijini Cairo. Kwa matokeo hayo, Yanga imeondolewa katika michuano hiyo. Goli la Zamalek limefungwa na Ahmed Hossam “Mido” katika dakika ya 31 ya…

No comments:

Post a Comment