KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Monday 12 March 2012

Bweni la Wasichana Lawaka Moto Chuo Kikuu Mkwawa


Kikosi cha Zimamoto na polisi wwakizima moto katika bweni la wasichana chuo cha Mkwawa mchana huu
Chumba cha wasichana katika chuo cha mkwawa kikiwaka moto Hivi ndivyo moto ulivyoteketeza vyumba viwili katika bweni la wasichana chuo cha Mkwawa
Hapa ndipo moto ulipoanzia katika bweni hilo
Chumba ambacho moto ulianza kuwaka kikiwa kimeteketea vibaya
Mali za wanafunzi zikiwa zimeteketea kwa moto
Polisi wakichukua maelezo kwa wahanga wa tukio hilo
Mmoja kati ya wahanga akiangua kilio baada ya kufika eneo la tukio na kukuta mali zake zimeteketea kwa moto




 










Moto mkubwa ambao chanzo chake bado kufahamika umeteketeza vyumba viwili vya bweni la wasichana maarufu kama Hall 6 vyumba Block W katika chuo kikuu kishiriki cha elimu Mkwawa (MUCE) Iringa .

Mashuhuda wa tukio
walisema kuwa moto huo ulianza kuwaka katika chumba kimoja wapo chumba Block W muda wa saa 6 mchana na kuwa wakati huo baadhi ya wanafunzi walikuwa wamejipumzisha katika vyumba hivyo .

No comments:

Post a Comment