RAIS DK. JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA WATANZANIA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA UHURU WA TANZANIA UWANJA WA UHURU
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/12/143.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Amiri Jeshi mkuu Dk.Jakaya Kikwete akiwasili katika gari maalum la Kijeshi na Mkuu wa majeshi Jenerali Davis Mwamunyange kwenye uwanja wa uhuru kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 51 Uhuru wa Tanzania Bara 2012 yanayofanyika kila mwaka Desemba 9, Kauli Mbiu ya Maadhimisho ya Mwaka huu ni “Uwajibikaji, Uadilifu na Uzalendo ni nguzo ya Maendeleo ya Taifa letu”
(PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWEBLOG.COM)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/12/162.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/12/173.jpg)
Viongozi mbalimbali wakiwa katika maadhimisha hayo kutoka kulia ni Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , Mama Maria Nyerere, Rais wa Msumbiji Mh. Armando Guebuza,Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. Gharib Bilal na Mzee Ali Hassan Mwinyi rais Mstaafu wa awamu ya pili
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/12/134.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/12/124.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/12/102.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/12/68.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/12/413.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/12/92.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/12/125.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2012/12/217.jpg)
No comments:
Post a Comment