KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Monday 30 April 2012

CHADEMA Wazidi Kuvuna CCM

Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya Mbozi  Bwana Joseph Mwachembe akimkabidhi kadi ya uwanachama wa chadema Bi Happiness
Maelfu ya wakazi wa Mbozi walihudhuria mkutano huo
Mchumi wa CCM wilaya ya Mbozi Bi Happiness Kwilabya ajiunga na CHADEMA, akifuatana na wanachama 18 Bi Happiness akikaribishwa jukwaani na viongozi wa chadema

Bi Happiness akivishwa skafu ya chadema
Kwa hisani ya Mbeyayetublog

No comments:

Post a Comment