KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Thursday, 29 November 2012


Mkuu Wa Wilaya Na Nape Wamzika Sharobaro

 
  Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (Watatu kulia, waliobeba jeneza) akishiriki kubeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya na filamu, Hussein Ramadhani maarufu kwa jina la Sharo Milionea, alipokiwakilisha Chama Cha Mapinduzi, kwenye mazishi ya msanii huyo, leo kwenye Kijiji cha  Lusanga, Muheza Tanga.
 
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akitoa pole za Chama Cha Mapinduzi (CCM) alipokiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye mazishi ya aliyekuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya na filamu, Hussein Ramadhani maarufu kwa jina la Sharo Milionea,leo kwenye Kijiji cha  Lusanga, Muheza Tanga
 
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nauye, akitupa mchanga kaburini, alipokiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye mazishi ya aliyekuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya na filamu, Hussein Ramadhani maarufu kwa jina la Sharo Milionea,leo kwenye Kijiji cha  Lusanga, Muheza Tanga.
 
 Mkuu wa wilaya ya Muheza, Subra Mgalu akisoma salam za Shirika la Fursa Sawa kwa Wote (EOTF) la Mama  Anna Mkapa, kwenye msiba huo. Pamoja naye ni Nape

 (Picha na Bashir Nkoromo).

Safari Ya Mwisho Ya Sharo Milionea

 
                                                                 
MAELFU ya waombolezaji jana walijitokeza kushiriki mazishi ya msanii Hussein Ramadhan maarufu kwa jina la Sharo Milionea, huku mamia wakizirai baada ya kushindwa kujizuia wakati mwili wake unawekwa kaburini.

Mwili wa msanii huyo ulizikwa jana kijijini kwake Lusanga wilayani Muheza saa 7 mchana, katika tukio lililomshirikisha Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ambaye alimwakilisha mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete.

Waombolezaji walianza kumiminika kijijini Lusanga tangu juzi jioni na idadi yao iliongezeka zaidi jana asubuhi. Mkuu wa Wilaya ya Muheza, Subira Mgalu ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya Mazishi.Sala ya mazishi iliongozwa na Sheikh Twaha Juma ambaye baadaye aliamuru jeneza hilo kupelekwa makaburini, ambako waombolezaji kadhaa walipoteza fahamu.

20 wapelekwa hospitali
Miongoni mwa matukio yaliyojitokeza katika msiba huo ni baadhi ya waombolezaji kupoteza fahamu msibani.Matukio tofauti ya watu kuzirai yalitokea wakati mwili wa msanii huyo ulipokuwa unapelekwa nyumbani kwao kijijini Lusanga ukitokea Hospitali Teule ya Wilaya ambako ulihifadhiwa tangu alipopata ajali Jumatatu usiku na wakati wa mazishi.
Miongoni mwa waliopoteza fahamu katika msiba huo ni wasanii na waigizaji wa filamu waliokuwa wakiigiza na Sharo Milionea wakati akiwa katika kundi la AL Riyam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na MC wa shughuli hiyo, Steve Nyerere, zaidi ya watu 20 walipoteza fahamu katika msiba huo na kupelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
DC Mgalu aliwaomba waombolezaji kutokuwa na shaka juu ya waliopoteza fahamu kwa kuwa madaktari maalumu walikuwa wameandaliwa hospitalini hapo kwa ajili ya kuwapa huduma.
Mwananchi lilifika katika hospitali Teule na kukuta waliokuwa wamepoteza fahamu, wengi wao wakiwa ni wasichana, wakipata huduma huku wengine wakiomba kupewa ruhusa ili wakahudhurie maziko.
JK atuma rambirambi
Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi, Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara kutokana na vifo vya wasanii watatu vilivyotokea hivi karibuni, kikiwamo cha Sharo Milionea.
Taarifa iliyotolewa jana Dar es Salaam na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, ilisema kuwa Rais Kikwete ameshtushwa na vifo hivyo vya ghafla.
Wasanii hao ambao walifariki dunia katika mazingira tofauti ni Mwigizaji wa Kundi la Kaole, Khalid Mohamed ‘Mlopelo’ aliyefariki dunia hivi karibuni kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua kwa muda mrefu.


Soma zaidi:  http://www.mwananchi.co.tz/habari 

Magazeti Leo Alhamisi

 

 

 

 

Tuesday, 27 November 2012

Smoking harms your brain as well as your body: It leads to sharp decline in mental ability, warns study


  • Test on nearly 9,000 people over 50 have shown lifestyles could damage the mind as well as the body
  • Smoking, high blood pressure, high cholesterol levels and a high BMI all worsen the risk




Tests on 8,800 people over 50 have showed cigarettes can damage memory
Tests on 8,800 people over 50 have showed cigarettes can damage memory
Smoking is known to be highly damaging to physical health, being a major factor in cancer and heart disease.
Now, however, its alarming effects on the mental well-being of millions of smokers have been outlined by British scientists.
Lighting up regularly has been associated with a sharp decline in the performance of the brain, according to their study.
They found that middle-aged smokers performed less well on tests compared with those without the tobacco habit.
The project examined memory, planning and overall mental ability after four and eight years. The tests included asking people to learn new words or name as many  animals as they could in a minute.
Researchers concluded that smoking ‘consistently’ reduced all three performance measures after four years.
They also found that high blood pressure and being overweight took their toll of brainpower – but not as much as smoking.

 The team warned that people need to be aware of the impact on their health of lifestyle choices, like smoking.
Risk factor data was examined for more than 8,800 people aged 50 and over taking part in the English  Longitudinal Study of Ageing.
The researchers at King’s College London were investigating links between the likelihood of a heart attack or stroke and the state of the brain.
Smoking, high blood pressure, high cholesterol levels and a high BMI all worsen the risk of dementia
Smoking, high blood pressure, high cholesterol levels and a high BMI all worsen the risk of dementia

High blood pressure and high risk of stroke were also associated with lower scores for memory and overall mental ability after eight years.
Being overweight was linked to poor memory, according to the findings published in the journal Age and Ageing. Lead scientist Dr Alex Dregan said ‘Cognitive decline becomes more common with ageing and, for an increasing number of people, interferes with daily  functioning and well-being.
‘We have identified a number of risk factors which could be associated with accelerated cognitive decline, all of which could be modifiable. This offers valuable  knowledge for prevention and treatment interventions.’
The researchers said their results indicate that high blood pressure has a gradual effect on the brain over a long period.
This could explain why short-term trials of blood pressure drugs being used to treat mental decline failed to show a clear benefit.
Recent laboratory research suggested a compound in tobacco called NNK provokes white blood cells in the central nervous system to attack healthy cells, leading to severe neurological damage. There are almost 10 million  smokers in the UK. The habit is still by far the biggest single cause of preventable illness and  premature death.
It is a major contributory factor in causing heart disease and 39,000 lung cancer cases each year.
Dr Simon Ridley, of Alzheimer’s Research UK, said: ‘Research has repeatedly linked smoking and high blood pressure to a greater risk of cognitive decline and dementia. This study adds weight to that.
‘Cognitive decline as we age can develop into dementia, and unravelling the factors linked to this decline could be crucial for finding ways to prevent the condition.’
Jessica Smith, of the Alzheimer’s Society, said: ‘We all know smoking, a high blood pressure, high cholesterol and a high Body Mass Index is bad for our heart.
‘This adds to the huge amount of evidence that also suggests they can be bad for our head too.’
One in three of the over-65s will develop dementia, she added.



Nowhere to put your aging parents? Install them in a granny pod in your backyard (but you might lose your inheritance)

A Virginia company is advertising a new type of living arrangement for elderly parents: a 12 by 24 feet pop up 'Granny Pod' that fits easily into the back yard of a standard American home.
The $125,000 dwelling is being marketed as an alternative arrangement for people struggling to provide adequate care for the aging relatives since assisted living communities have become stigmatized and inviting an elderly relative a spot in the home can prove a squeeze. 
The structure is formally referred to as the MedCottage and was designed by a Blacksburg, Virginia company, N2Care.
Senior housing in the backyard
Backyard: The 24 feet by 12 feet structure sells for $80,000 but with installation fees can total $125,000
The company was started by Rev. Kenneth J. Dupin, who is a minister in southwest Virginia, according to the Washington Post. 
He established the design company to create living structures or auxiliary dwelling units (ADUs) that would provide a way for families to care for an elderly relative on their own property.
 
The structure, which has earned the unflattering name 'granny pod' measures 12 by 24 feet, which is the size of an average master bedroom. 
'The inside maintains a comfortable home, using the space efficiently to create sleeping, living and bathing areas,' the website describing the MEDCottage facilities explained.
Retirement home: How the finished cottage would look in your yard
Retirement home: How the finished cottage would look in your yard

Cargotecture
Easy setup: HyBrid architectural firm, based out of Seattle, designs structures that can be shipped and set up in someone's backyard

www.hybridarc.com
Refurbished: One shelter is make from a single 24 foot cargo container

'Equipped with the latest technical advances in the industry, MEDCottage was made to assist with many care-giving duties. Using smart robotic features, it can monitor vital signs, filter the air for contaminants, and communicate with the outside world very easily.'
'Sensors alert caregivers to problems, and medication reminders are provided via computers. Technology also provides entertainment options including music, literature and movies.'
It was initially approved by the State of Virginia as a 'temporary family health-care structures' since it contains surveillance cameras and the technological capabilities to allow for remote monitoring of the resident. 
The MedCottage sells for approximately $85,000 but delivery and installation can add another $40,000 to the total cost. 
Other architectural firms offer similar, pop up home ideas but without the technological amenities.
Comfort: The bed takes up most of the living space
Comfort: The bed takes up most of the living space
Bit of a squeeze: At least there is not far to go when you tire of reading and fancy a nap
Bit of a squeeze: At least there is not far to go when you tire of reading and fancy a nap

Under surveillance: Computer shows the remote monitoring, which operates through cameras at ground-level to see if occupants have had a fall
Under surveillance: Computer shows the remote monitoring system, which operates through cameras at ground level to see if occupants have had a fall
HyBrid architectural firm, based out of Seattle, refurbishes and designs structures that can be shipped and set up in someone's backyard. 
One shelter is make from a single 24 foot cargo container and included a full kitchen and bath as well as bunk beds and expansive glazing, according to the description on their website.
88-year-old Viola Baez lives with her daughter in Faifax County and was reluctant to transition to the small shed, the MedCottage, which her family installed for her in their backyard. 
Feast your eyes on this: The compact kitchen is suited for cooking meals for one
Feast your eyes on this: The compact kitchen is suited for cooking meals for one

www.hybridarc.com
Comfortable: The structure includes a full kitchen and bath as well as bunk beds and expansive glazing
Mobile home: The cottages can fit on the back of a truck
Mobile home: The cottages can fit on the back of a truck
Very little house on the prairie: The cottages are on sale for around $85,000
Very little house on the prairie: The cottages are on sale for around $85,000

Her 56-year-old daughter, Socorrito Baez-Page, told the Washington Post about the stress that was involved in the care of her mother, who suffers from spinal stenosis, arthritis and asthma. 
Baez moved into her daughter's home, in the dining room, but began complaining about noise in the house and the difficulty in getting around. 
'She's very clingy, very persnickety about things,' her daughter said. 
In late June, her daughter decided to install a MedCottage in the backyard but Baez would have nothing to do with it but she decided to try out the shelter when the family's air conditioner broke over the summer, and the home in the back was a cool haven.


MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA NA MAENDELEO YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KATIKA MIKOA YA RUKWA NA KATAVI


Nikiianza safari yangu ya kurejea  Bandari salama Dar es salaam kutoka mkoani Katavi ambako nilihudhuria uzinduzi wa mkoa huo, nimepitia barabara ya Mpanda mkoani  Katavi-Sumbawanga mkoani  Rukwa mpaka Tunduma mkoani  Mbeya, ambapo nimejionea mwenyewe na kupata taswira za maeneo  mbalimbali ambayo ujenzi wa barabara ya Tunduma-Sumbawanga-Mpanda unaoendelea kwa kiwango cha lami na kufurahishwa na hatua iliyofikiwa hasa kwa upande wa Sumbawanga -Tunduma.
Ni jambo la kufurahisha kwamba muda mfupi ujao kero ya Usafiri katika mikoa ya Rukwa na Katavi itakuwa ni historia tu, jambo ambalo linafungua fursa mbalimbali za kimaendeleo na kiuchumi katika mikoa hiyo iliyokuwa katika mdororo wa kiuchumi kwa muda mrefu kutokana na miundombinu ya barabara kuwa katika hali mbaya.
Miaka 50 ya uhuru wa Tanzania inaonyesha mwanga wa maendelea katika ukanda huo kutokana na hatua inayopigwa katika ujenzi wa  miundombinu ya barabara, ni wazi kwamba sasa hali ya maisha ya wakazi wa mikoa hiyo itaboreka zaidi kutokana na kufunguka kwa fursa za kimaendeleo kwa wakazi wa mikoa hiyo Asante Serikali kwa kuliona hilo na kulivalia njuga.
Taarifa zaidi ya makampuni yanayojenga barabara hizo, kilomita zake  na gharama ya ujenzi huo utaiona chini ya Taswira hizi endelea kushuka chini mdau.
17.5.1. SEHEMU YA SUMBAWANGA – LAELA (95.31KM)
 Sehemu hii inajegwa na Kampuni ya Aarsleff-BAM International Joint Venture V.O.F Kutoka Denmark na Uholanzi kwa gharama ya dola za Kimarekani 97 Milioni chini ya Mhandisi Mshauri Egis BCEOM International kutoka  Ufarasa.
 Maendeleo ya jumla ya mradi hadi kufikia tarehe 31 Octoba, 2012 yalikuwa yamefikia 49.9% ya kazi zote zilizopangwa.  Kwa ujumla mradi unaendelea vizuri na ulipangwa kwisha 31 Januari 2013 ingawa majadiliano kuhusu kuongeza muda wa kumaliza kazi bado yanaendelea.
 17.5.2. SEHEMU YA LAELA – IKANA (64.2KM)
Sehemu hii inajengwa na Kampuni ya China New Era International Engineering Corporation kutoka China kwa gharama ya Sh. bilioni 76.1 chini ya Mhandisi Mshauri Egis BCEOM International kutoka Ufarasa na unategemea kukamilika 31 Mei 2013.
 Maendeleo ya jumla ya mradi hadi 31 Octoba, 2012 yalikuwa yamefikia 64% ya kazi zote zilizopangwa.  Kwa ujumla mradi unaendelea vizuri.
 17.5.3. SEHEMU YA IKANA – TUNDUMA (63.7KM)
  Sehemu hii inajegwa na Kampuni ya Consolidated Contractors Group S. A (Offshore) (CCC) kutoka Ugiriki chini ya Mhandisi Mshauri Egis BCEOM International kutoka Ufarasa kwa gharama ya Sh. bilioni 82.5.  Maendeleo ya jumla ya mradi hadi sasa yamefikia 43% ya kazi zote zilizopangwa.  Mradi huu ulitegemewa kukamilika tarehe 9 Septemba 2012, hata hivyo  muda wa kumaliza kazi uliongezwa  hadi tarehe 31 May 2013.
 17.6. SUMBAWANGA – NAMANYERE – MPANDA NA KIZI – KIBAONI  (245KM)
 17.6.1. SEHEMU YA SUMBAWANGA – KANAZI (75KM)
 Sehemu hii inajegwa na Kampuni ya Jiangxi Geo-Engineering (Group) Corporation kutoka China chini ya Mhandisi  Mshauri Nicholas O’Dwyer and Company Limited kutoka Ireland akishirikiana na Apex Engineering Ltd.   kutoka Tanzania kwa gharama ya Sh. bilioni  78.8.
 Maendeleo ya jumla ya mradi hadi kufikia tarehe 31 Octoba, 2012 yalikuwa 23.6% ya kazi zote zilizopangwa.  Kasi ya maendeleo ya kazi inasuasua kwa madai kuwa mkandarasi hajalipwa kiasi chote anachodai.   Mradi huu ulitegemewa kukamilika tarehe 15 Desemba, 2012, hata hivyo muda wa kumaliza kazi bado unajadiliwa.
 17.6.2. SEHEMU YA KANAZI – KIZI – KIBAONI (76.6KM)
 Sehemu hii inajegwa na Kampuni ya China Hunan Construction Engineering Group Corporation kutoka China, chini ya Mhandisi Mshauri Nicholas O’Dwyer and Company Limited kutoka Ireland akishirikiana na Apex Engineering Ltd.  kutoka Tanzania, kwa gharama ya Sh. 82.84 bilioni.
 Maendeleo ya jumla ya mradi hadi tarehe 31 Octoba, 2012 yalikuwa 30% ya kazi zote zilizopangwa.  Mkandarasi anaendelea na kazi ingawa kwa kasi ndogo kwa madai ya kuchelewa kulipwa.  Mradi huu ulitegemewa kukamilika tarehe 15 Desemba, 2012, lakini haitawezekana.  Hivyo muda wa kumaliza bado unajadiliwa.
 17.7. SUMBAWANGA – MATAI – KASANGA PORT (112KM)
 Sehemu hii inajegwa na Kampuni ya China Railway 15 Bureau Group Corporation (CR15G)/ Newcentry Company Ltd.  chini ya Mhandisi Mshauri Nicholas O’Dwyer and Company Limited kutoka Ireland akishirikiana na Apex Engineering Ltd,   kutoka Tanzania.  Gharama ya Mradi ni Sh. 133.30 bilioni.
 Maendeleo ya jumla ya mradi hadi kufika tarehe 31 Octoba, 2012 yalikuwa 28% ya kazi zote zilizopangwa.  Mradi huu unatekelezwa kwa mkataba wa Usanifu na Ujenzi (Design and Build Contract).  Kwa sasa kazi zinaendelea vizuri baada ya kusuasua siku za nyuma.  Mradi huu ulitegemewa kukamilika tarehe 13 Januari, 2013 lakini itabidi muda wa utekelezaji kuongezeka kutokana  sababu mbalimbali.

Hospitali 37 Kunufaika Na Bilioni Kutoka Uholanzi

 
 Balozi wa Uholanzi nchini Dr. Ad Koekkoek (kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam kuhusu msaada wa shilingi bilioni 33 uliotolewa na Uholanzi kwa Serikali ya Tanzania kwa ajili kuimarisha huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali 37 hapa nchini . Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah. Tanzania nayo inatakiwa kuchangia kiasi kama hicho katika huduma hiyo ili kuwa asilimia 50 kwa 50 kila pande yaani Tanzania na uholanzi.
 
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah (kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam kuhusu msaada wa shilingi bilioni 33 uliotolewa na Uholanzi kwa Serikali ya Tanzania kwa ajili kuimarisha huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali 37 hapa nchini. Kulia ni Balozi wa Uholanzi nchini Dr. Ad Koekkoek . Tanzania nayo inatakiwa kuchangia kiasi kama hicho katika huduma hiyo ili kuwa asilimia 50 kwa 50 kila pande yaani Tanzania na Uholanzi.
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah (kushoto) na Balozi wa Uholanzi nchini Dr. Ad Koekkoek (kulia) wakibadilishana hati ya msaada wa shilingi bilioni 33 uliotolewa na Serikali ya Uholanzi kwa Serikali ya Tanzania kwa ajili kuimarisha huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali 37 hapa nchini. Tanzania nayo inatakiwa kuchangia kiasi kama hicho katika huduma hiyo ili kuwa asilimia 50 kwa 50 kila pande yaani Tanzania na Uholanzi.
         Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO- Dar es salaam


TANZANIA imepokea msaada wa shilingi bilioni 33 kwa ajili kusaidia uboreshaji wa huduma za uchunguzi wa afya kwa kipindi cha miaka mitano ijayo hapa nchini.
 
Msaada huo huo utawezesha Serikali ya Tanzania kuboresha huduma ya uchunguzi katika hospitali 37 kwa ununuzi wa vifaa vya kisasa vya kufanyia uchunguzi ambavyo vitawasaidia wataalam kutoka matokeo matatizo yanayowakabili wagonjwa kwa haraka zaidi .
 
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Dar es salaam mara baada ya kupokea msaada huo kutoka Ubalozi wa Uholanzi hapa nchini kwa niaba ya Serikali ya Tanzania, Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah alisema kuwa Tanzania alisema kuwa msaada huo utaiwezesha Serikali kunulia vifaa vya kufanyia uchunguzi wa kisasa kama vile kununulia vifaa vya X-ray na ultrasound ambazo vitasambazwa katika Hospitali hizo
 
Alisema kuwa msaada huo ni muhimu kwa Serikali ya Tanzania kwani utaisaidia Serikali kupunguza gharama ya kupeleka wagonjwa nje ya nchi kwa wale wanaohitaji kupatiwa huduma za uchunguzi wa kina wa afya zao badala yake kazi itafanyika hapa nchini mara baada ya ununuzi wa vifaa hivyo.
Khijah alisema katika makubaliano Serikali ya Tanzania nayo itachangia kiasi hicho fedha katika msaada huo ili kufanikisha ununuzi wa vifaa vya huduma ya uchunguzi .
 
Alisema kuwa msaada huo utadumu kwa kipindi cha miaka mitano ambapo mara baada ya miaka hiyo kumalizika Serikali ya Tanzania itausimia yenyewe .
 
Alitaja mikoa itakayonufaika na msaada huo ni pamoja na Shinyanga, Kagera, Iringa, Mwanza, Pwani, Lindi, Mtwara, Dar es Salaam, Arusha, Dodoma, Kigoma, Manyara, Mbeya, Morogoro, Kilimanjaro, Mara, Rukwa, Singida, Ruvuma, Tanga na Tabora. Kufuatia hali hiyo Katibu Mkuu huyo aliwataka watendaji wa Hospitali zote zitakazonufaika na msaada huo kuwa makini katika utunzaji wa vifaa ili viweze kutumika kwa muda mrefu na uboreshaji wa afya za wananchi.
 
Naye Balozi wa Uholanzi nchini Dkt. Ad Koekkoek alisema kuwa msaada huo unalenga upatikanaji wa huduma za bora za ultra sound, CT scan ,na x-ray hapa nchini na hivyo kuboresha huduma za afya.
Aliongeza kuwa huduma hiyo inalenga kuufanya uchunguzi wa magonjwa uwe wa kisasa zaidi ambapo wataalam wataweza kufanya uchunguzi kwa haraka na kama kama utahijika sehemu nyingine kuweza kuutuma kwa njia mtandao(internet).

Magazeti Leo Jumanne

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Monday, 26 November 2012


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha majaji wawili wa Mahakama ya Rufaa katika sherehe zilizofanyika ikulu jijini Dar es Salaam.Walioapishwa na Rais leo ni Mhe.Jaji Bethuel Mmila na Mhe.Jaji Ibrahim Hamisi Juma.Pichani   Majaji hao (8648) Bethuel Mmila na jaji Ibrahim Hamisi Juma(8657) Wakila kiapo mbele ya Rais.(picha na Freddy Maro)