KARIBUNI

Pata habari za kila siku, burudani,matangazo, na mengineyo mengi pia unaweza kuacha maoni yako kuhusu tovuti hii.

Sunday, 31 July 2011

Hali tete CCM


•  CC kuketi leo, vigogo matumbo joto

na Mwandishi wetu

KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo inaketi katika kikao chake cha kawaida huku wajumbe na makada wa chama hicho wakijawa na hofu ya kuadhibiwa kwa sababu mbalimbali huku ajenda za kikao hicho zikifanywa siri.
Tanzania Daima Jumapili, limedokezwa hofu hiyo inatokana na kuwapo kwa taarifa kuwa Kamati ya Maadili na Usalama iliyoketi jana, ilitoa pendekezo la kuwakanya na kuwashughulikia wanachama wote waliokaidi amri ya kikao cha Halmashauri Kuu (NEC) ya kushambuliana hadharani.
Mjumbe mmoja wa Kamati ya Maadili na Usalama, amebainisha kuwa Kamati Kuu (CC), itajadili kauli za viongozi wa juu wa chama hicho kuhusu dhana ya kujivua gamba ambayo inadaiwa imekuwa ikipotoshwa kwa lengo la kuwakandamiza baadhi ya wanasiasa kwa malengo fulani.
Tanzania Daima Jumapili, lilidokezwa kuwa baadhi ya wajumbe wanataka viongozi wote waliopotosha dhana ya kujivua gamba wawajibishwe kulingana na taratibu za chama ili kurejesha umoja, amani na mshikamano ambao hivi sasa umedorora.
Habari zinasema miongoni mwa wanasiasa wanaokabiliwa na shinikizo hilo la kuhojiwa kutokana na kauli zao ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Shinyanga, Hamisi, Mgeja na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita.
Hivi karibuni Sitta, akiwa mkoani Mbeya alisema mgawo wa umeme uliopo hivi sasa hapa nchini unasababishwa na serikali, hivyo akasema serikali ilikuwa ikipaswa kuwaomba radhi wananchi kwa kosa hilo, huku akiwataka Watanzania kuwahoji viongozi wao.
Matamshi hayo yalipingwa vikali na Mgeja na Guninita ambao walisema kiongozi huyo ana ajenda ya kuibomoa CCM na kumtaka Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete, amfukuze kwenye baraza la mawaziri.
Wenyeviti hao walisema Sitta anaingia katika vikao vya baraza la mawaziri hivyo hapaswi kumshambulia waziri mwenzake, bali alitakiwa kutoa ushauri wa kuboresha upatikanaji wa umeme katika vikao husika.
Tanzania Daima Jumapili, limedokezwa kuwa kikao cha CC pia kitaweka mikakati ya kuhakikisha Jimbo la Igunga linabakia mikononi mwa chama hicho baada ya kada wake, Rostam Aziz, kujiuzulu kwa kile alichodai ni kuchoshwa na siasa uchwara zinazofanywa dhidi yake.
Rostam aliwatuhumu, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nauye, Naibu Katibu Mkuu, John Chiligati na viongozi wengine kwa kumtaja yeye kuwa ni miongoni mwa magamba yanayopaswa kuvuliwa ndani ya chama hicho.
Habari zinaeleza kwamba, kujiuzulu kwa Rostam kunaweza kukawa ajenda ya kwanza na muhimu katika kikao hicho ambacho kinaweza kikalazimika kujadili mbinu zitakazokiwezesha chama hicho kuendelea kuongoza Jimbo la Igunga.
Vyanzo kadhaa vya kuaminika kutoka ndani ya chama hicho tawala, vimekuwa vikieleza kuwa kuanguka kwa CCM katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Igunga kunaweza kukatajwa kuwa ni kielelezo cha kwanza cha kushindwa kwa dhana ya kujivua gamba iliyoasisiwa na Rais Kikwete mwenyewe na kupigiwa chapuo kubwa na viongozi wa sekretarieti ya chama hicho wakiongozwa na Nape.
Tanzania Daima Jumapili liliwasiliana na Nape kuhusu ajenda za kikao hicho cha CC, kitakachofanyika leo, ambapo alisema ni siri.
Nape alisema kuwa hawakupenda kuziweka wazi ajenda za kikao hicho kwa sababu maalumu lakini amekuwa akishangazwa na maneno ya mitaani yanayozitaja ajenda zitakazojadiliwa.
“Ndugu yangu sisi hatujatoa taarifa kuhusu ajenda tutakazozijadili leo lakini kila kukicha nimekuwa nikisoma habari na kusikia mitaani kuhusu tunachodajili leo, sijui wenzangu wamezipata wapi?” alihoji.
Alisema hawakuona sababu ya kuzitaja ajenda za kikao hicho kama wanavyofanya kwa sababu wangependa kuwapo na usiri wa kile watakachokijadili.

UFUNGUZI WA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA.

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, akiingia katika Ukumbi wa CCM Makao Makuu mjini Dodoma, leo Julai 31, wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Kamati kuu. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Willson Mukama. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Mwenyekiti wa CCM taifa, Jakaya Kikwete, Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar, Aman Abeid Karume (wa tatu kushoto), Rais wa Zanzibar, Dkt Ali Mohamed Shein na Mwenyekiti wa CCM Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi (kushoto), Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Pius Msekwa (kulia) na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Willson Mukama, wakiwa katika ufunguzi wa Kikao cha Kamati kuu kilichofunguliwa leo Julai 31, katika Ukumbi wa CCM Makao Makuu mjini Dodoma. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika ufunguzi wa Kikao cha Kamati Kuu  kilichoanza leo Julai 31, 2011 katika Ukumbi wa CCM Makao Makuu mjini Dodoma. Katikati ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

Saturday, 30 July 2011

HATMA YA WALIOSALIA KUJIVUA GAMBA NI LEO


 
Sunday, 31 July 2011 06:41

KAMATI KUU CCM YAKUTANA DODOMA, KUTOA UAMUZI MZITO
Neville Meena, Dodoma
 KAMATI Kuu ya CCM inafanya kikao chake cha kawaida mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa Taifa, Rais Jakaya Kikwete leo, huku wachunguzi wa mambo wakitabiri kuwa itatoa uamuzi wa mambo mazito yanayoweza kuwaacha wengi midomo wazi.

Miongoni mwa mambo hayo itakuwa ni thatmini ya azimio la chama hicho kujivua gamba lililofikiwa miezi mitatu iliyopita.

Mpaka sasa mchakato wa kujivua gamba ndani ya chama hicho kwa watuhumiwa wa ufisadi haujapiga hatua kubwa, ingawa siku tisini zilizowekwa zilishapita.

Kutokana na hali hiyo, wachunguzi wa mambo wanabashiri kuwa kamati hiyo itafanya uamuzi wa kushtukiza juu ya hatima ya watuhumiwa hao wa ufisadi Ili kukamilisha mkakati wake wa kujisafisha.

Kikao hicho kinafanyika siku chache baada ya mmoja wa makada wa CCM ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho na Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, kuamua kujiuzulu huku akiilaumu sekretarieti ya chama hicho kwa alichokiita kuwa ni kuendesha siasa chafu dhidi yake.

Rostam alijiengua katika mazingira ya mkakati wa CCM wa kujivua gamba, ambao umelenga kuwaondoa kwenye nyadhifa zao watuhumiwa wote wanaohusishwa na madai ya ufisadi.

Kujiuzulu kwa Rostam ambako kumelifanya Bunge kutangaza Jimbo la Igunga mkoani Tabora kuwa, ni miongoni mwa mambo ambayo yanatarajiwa kuchukua nafasi kubwa katika Kamati Kuu itakayokuwa chini Mwenyekiti wake, Rais Kikwete.

Tayari vyama kadhaa vya siasa vya upinzani vikiwemo, Chadema na CUF vimeanza kupiga jaramba kwa ajili ya kusimamisha wagombea wao.

Katika mazingira hayo, uchaguzi wa Igunga pia ni sehemu ya ajenda ambazo huenda CC itazijadili katika kikao chake cha leo.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Nape Nnauye, aliliambia Mwananchi Jumapili jana kuwa kikao cha Kamati Kuu kitafanyika leo na kwamba, muda wake wa kuanza utategemea kumalizika kwa vikao vya kamati nyingine za maandalizi ambavyo vilifanyika jana.

"Leo (jana) vikao mbalimbali vya kamati za chama vinaendelea hapa na ni sehemu ya maandalizi ya kikao cha Kamati Kuu. Taarifa zaidi nadhani tusubiri kesho baada ya kikao kumalizika," alisema Nape.

Hata hivyo, Nape hakuwa tayari kutaja kamati ambazo zilikuwa zikiendelea na vikao vyake jana, lakini taarifa ambazo Mwananchi Jumapili lilizipata jana mchana zilidai kwamba, kamati moja wapo ambayo ilifanya kikao jana ni ya maadili.

Kikao hicho pia kinafanyika wakati ambao kumekuwa na misigano miongoni mwa makada wa chama hicho tawala nchini, hasa kuhusu jinsi Sekretarieti mpya inayoongozwa na Katibu Mkuu wa CCM, Willson Mukama inavyofanya kazi.

Shutuma hizo ni jinsi inavyotekeleza maazimio ya kikao cha mwisho kilichoridhia mabadiliko makubwa ndani ya chama hicho, chini ya mpango wa kujivua gamba.

Nape na Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Tanzania Bara Kapten John Chiligati, walitajwa na Rostam katika hotuba yake ya kujiuzulu aliyoitoa jimboni Igunga, kwamba ni miongoni mwa waliopotosha nia njema ya kuivusha CCM katika matatizo yanayokikabili.

Kujiuzulu kwa Rostam kulitafsiriwa kuwa sehemu ya utekelezaji wa maazimio ya NEC la kujivua gamba.

Nape aliwataja Rostamu, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge kuwa ni miongoni mwa wanaotakiwa kujivua gamba.

Pia Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Tanzania Bara, Pius Msekwa, lithibitsha baadaya liwa alikutana na Chenge, Lowassa na Rostam na kwamba taarifa ya matokeo ya mazungumzo itawasilishwa katika vikao vikuu vya chama.

Tangu kutolewa kwa taarifa hiyo, hiki ni kikao cha kwanza cha juu cha CCM kufanya mkutano na taarifa hiyo ya Msekwa ambayo inachagizwa na kujiuzulu kwa Rostam huenda ikawasilishwa na kujadiliwa na leo kabla ya kufikishwa rasmi kwenye Halmashauri Kuu ta Taifa.

Hata hivyo kuna dalili za wazi kuwa kuna mvutano mkali wa kimakundi ndani ya CCM, ambao unakifanya chama hicho kugawanyika na kutofikia utulivu unaokusudiwa, licha ya mabadiliko makubwa ya uongozi yaliyofanyika hivi karibuni.

Katika kile kinachothibitisha kuwepo kwa misigano miongoni mwa makada wa CCM, mmoja wa wajumbe wa Kamati Kuu, wiki hii aliliambia Mwananchi Jumapili mjini hapa kuwa "Wanachama wengi wa CCM hawafurahishwi na ziara za Nape na washirika wake mikoani."

Zira hizo za Nape ambazo zinawahusisha makada wa CCM wanaojipambanua kuwa wanapinga ufisadi, zinaelezewa kuwa zinachochea chuki badala ya kujenga umoja.


"Kwa mfano unapowataja watu watatu tu kwamba ndio wanaopaswa kujivua gamba una maanisha nini? Mtu kama Rajab Maranda, Nazir Karamagi na wengine ndani ya CCM tunawaweka wapi? Mimi nadhani si haki kabisa, hawa jamaa wanataka kutupeleka mahali ambako siko," alisema mjumbe huyo wa CC.

Maranda ni Mtunza Hazina wa CCM, mkoa wa Kigoma ambaye anatumikia kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kutiwa hatiani kwa wizi wa fedha zilizotoka katika akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA) ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Kwa upande wake, Karamagi ni Kada wa CCM ambaye kama ilivyo kwa Lowassa alilazimika kujiuzulu nafasi yake ya Waziri wa Nishati na Madini mwaka 2002 kutokana na kashfa ya Kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond.

Pia baadhi ya makada wa CCM, wamekuwa wakimtupia lawama Mwenyekiti wa CCM kuwa ndiye
kikwazo, kwa vile hataki kuonekana mbaya katika makundi yote yanayosigana ndani ya chama.

Hivyo, wanasema huenda wakasimama kusema ukweli mbele yake bila ya woga wakati kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM itakayofanyika wakati wowote kuazia sasa ili wajue mbichi na mbivu.

Wiki iliyopita Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kupitia kwa Kaimu Mwenyekiti wake, Benno Malisa na Katibu wa Umoja huo Taifa, Martin Shigella, ulitoa tamko la maazimio ya Baraza la Kuu la Umoja huo, ambalo pamoja na mambo mengine walipongeza mabadiliko mengi yaliyofanywa kupitia NEC.

Hata hivyo, viongozi hao hawakuwa tayari kuweka bayana msimamo wa jumuiya wanayoiongoza kuhusu malalamiko yanayokosoa utekelezaji wa falsafa ya kujivua gamba kwa maelezo kwamba, hayo ni mambo yanayohusu Sekretarieti na sio kazi yao.

"Sisi tunapongeza uamuzi wa NEC na tunaposema uamuzi wa tunamaanisha mabadiliko mengi ya kimfumo ambayo yanatuelekeza kukidhi matakwa ya sasa ya kisiasa nchini dhidi ya washindani wetu na kuwatumikia wananchi," alisema Malisa na kuongeza:

"Mabadiliko haya ni pamoja na utaratibu unaowataka wanachama wetu kutokuwa na madaraka au nafasi nyingi ndani ya chama na serikali kiasi cha kushindwa kuwajibika".

Women who eat lots of fiber have less breast cancer

A fresh look at the medical evidence shows women who eat more fiber are less likely to get breast cancer.
Chinese researchers found those who ate the most of the healthy plant components were 11 percent less likely to develop breast cancer than women who ate the least.
Their findings don't prove fiber itself lowers cancer risk, however, because women who consume a lot of it might be healthier overall than those who don't.
The results "can identify associations but cannot tell us what will happen if people change their behavior," said John Pierce, a cancer research at the University of California, San Diego, who was not involved in the work.
While earlier research has yielded mixed conclusions on the link between cancer and fiber, it would make scientific sense: According to the Chinese researchers, people who eat high-fiber diets have lower levels of estrogen, which is a risk factor for breast tumors.
So to get more clarity, the researchers combined 10 earlier studies that looked at women's diets and followed them over seven to 18 years to see who developed cancer.
Of more than 710,000 women, 2.4 percent ended up with breast cancer. And those in the top fifth of fiber intake were 11 percent less likely to do so than women in the bottom fifth.
That was after accounting for differences in risk factors like alcohol drinking, weight, hormone replacement therapy and family members with the disease.
Still, it's impossible to rule out that big fiber eaters had healthier habits overall that would cut their risk, Jia-Yi Dong of Soochow University in Suzhou and his colleagues write in the American Journal of Clinical Nutrition.
And the potential effect was "very small," Dr. Eleni Linos of Stanford University, who wasn't involved in the research, told Reuters Health in an email.
About one in eight American women get breast cancer at some point, with less than a quarter of them dying from it.
Although the connection between breast cancer risk and fiber is a small one, fiber is "something that we know is healthy for you anyway," said Christina Clarke, a research scientist at the Cancer Prevention Institute of California in Fremont.
Known benefits of a high-fiber diet include lower cholesterol and weight loss. If it turns out to cut cancer risk as well, that would be an extra bonus, Clarke said.
Fruits, vegetables, beans, and whole grains are all high in fiber.
According to the U.S. Department of Agriculture's 2010 Dietary Guidelines, most Americans don't get enough fiber. The guidelines recommend that women eat 25 grams of fiber per day and men eat 38 grams, while the average Americans gets just 15 grams a day.
"Increasing dietary fiber intake in the general public is of great public health significance," the Chinese team concludes.
SOURCE: http://bit.ly/qKtsU2 American Journal of Clinical Nutrition, online July 20, 2011

10 Reasons Not to Buy an iPad for Students


By Stacy Curtin | Daily Ticker – sun, Jul 31, 2011 1:44 PM EDT

The summer season is almost over. If you're a parent that means back-to-school shopping is right around the corner.
And there's one product — one fairly expensive product -- likely to be in high demand for college-bound students in particular: The Apple iPad!
But as dealnews' media editor Jeff Somogyi says there are 10 reasons why you should NOT buy your kids an iPad — especially in place of a more traditional laptop.
"It is a great product [and] I have the utmost respect for Apple," Somogyi tells tells The Daily Ticker's Aaron Task in the accompanying interview. "But in this instance I think that the cost per benefit is a little too high especially when it comes to students."
The tablet device starts at $499 for the most basic model with 16GB of storage with Wi-Fi connectivity.  Meanwhile, the higher-end 64GB models with 3G connectivity start at $829 and expect to pay an extra monthly fee if the wireless Internet plan is enacted.
"You can get a very nice laptop for that price," he says. "You can get a laptop that does everything that your student needs it to do for less than the low end iPad."
Not only can you save money, a laptop will enable students to do all the things they need to do — like write 500-word papers -- easier and more conveniently.
Which brings us to Somogyi's top reasons to not buy your student and iPad for back to school: It's expensive and it's not the best solution for note-taking or editing documents.
If these two reasons alone are not enough to convince your child that the iPad is not the right choice for them, here is Somogyi's full top ten list of reasons why you should not cave and buy your child the iPad:
#1 It's Expensive
#2 It's Not the Best Solution for Note-Taking or Editing Documents
#3 It's Too Distracting
#4 It's Ultra-Portable and Ultra-Droppable
#5 What Makes it Desirable to your Kid is What Makes it Desirable to Criminals
#6 It's Meant for the Enjoyment of One Person, Which Means Social Seclusion
#7 Digital Text Books are a Marvel, but There's No Secondary Market
#8 It's a Status Symbol, Plain and Simple
#9 It'll Already be Old Technology by the Time You Buy It
#10 They'll Also Want a Laptop, Too
Watch the interview and visit dealnews for more information (or ammo).

Apple has more cash than the federal government

By Chris Moody | 2011
Paul Sakuma (AP)

Who's ready for iAmerica?
As the BBC has reported, the software company Apple has more cash on hand than the United States federal government, according to the company's financial records.
Apple's quarterly financial report shows that the company responsible for the iPad, iPod and the iPhone now has $76.4 billion in reserve cash, while the Treasury Department is sitting on just $73.7 billion.
The feds could probably learn a thing or two from Apple's success. Congress remains embroiled in a debate over spending and whether the federal government, which currently owes trillions in debt, should be allowed to borrow even more. International credit rating agencies have threatened to downgrade the national debt for the first time in the nation's history if Washington doesn't come up with a solution to lift the $14.3 trillion debt ceiling while implementing a concrete plan to get the nation's financial house in order.
Meanwhile, Apple's financial report shows that the company's profits, even through the last recession, are booming.

Naibu Spika Wa Bunge La Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Job Ndugai Atunukiwa Tuzo Huko Nchini Uingereza

Tuzo yenyewe kama inavyoonekana.
Mwakilishi wa Chama cha Wabunge wanawake wa Jumuiya ya Madola Afrika (CPA) katika Mkutano Mkuu wa 57 wa CPA Dunia Mhe. Beatrice Shelukindo akipokea tuzo kwa niaba ya Naibu Spika Mhe. Job Ndugai kutoka kwa mwenyekiti wa CPA anayemaliza mda wake Mhe. Mohamed Shafie Apdal kutoka Malaysia ambayo Mhe Ndugai amezawadiwa kwa kuitumikia kamati tendaji ya CPA kwa mda wa Miaka mitatu. Mhe. ndugai amekuwa mjumbe wa Kamati kuu tendaji ya CPA tangu mwaka 2008 ambapo mda wake umekwisha mwaka huu. Mkutano Mkuu wa CPA umemalizika Jana jijini London Uingereza.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimwaga rasmi Naibu Spika wa Bunge la Uingerza Mhe. Nigel Evance mara baada ya kumalizika rasmi kwa mkutano wa 57 wa CPA ambao ulifanyika London Uingereza kwa kukutanisha Maspika, Maseneta na Wabunge zaidi ya 700 kutoka nchi 52 za Jumuiya ya Madola kujadili maswala mbalimbali yahusuyo uendeshaji wa Mabunge katika mabunge wanachama wa Jumuiya hiyo
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda (Mb) akiwa katika picha ya Pamoja na Naibu Spika wa Bunge la Uingerza Mhe. Nigel Evance (Mb) (Mwenye tai) pamoja na Mwenyekiti Mpya wa CPA Mhe Sir Alan Heselhurst (Mb) mara baada ya kumalizika rasmi kwa mkutano wa 57 wa CPA ambao ulifanyika London Uingereza kwa kukutanisha Maspika, Maseneta na Wabunge zaidi ya 700 kutoka nchi 52 za Jumuiya ya Madola kujadili maswala mbalimbali yahusuyo uendeshaji wa Mabunge katika mabunge wanachama wa Jumuiya hiyo . Wengine katika picha ni Ujumbe wa Tanzania ulioambatana na Mhe. Spika katika Mkutano huo na Katibu Mkuu wa CP Dkt William Shija ( Nyuma ya Spika).Picha na Owen Mwandumbya -Bunge


Denmark na Korea Zaipa Serikali Ya Tanzania Jumla Ya Billioni 592

Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo (kushoto )akibadilishana hati ya msaada wa shilingi bilioni 318 na Balozi wa Korea Kusini Young hoon Kim(kulia) jana jijini Dar es salaam kwa ajili ya ujenzi wa njia ya usambazaji umeme kutoka Iringa,Shinyanga ,ujenzi wa Majengo ya Chuo Kikuu cha Tiba cha Muhimbili na maandalizi ya vitambulisho vya kitaifa.
Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo(kushoto)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jana jijini Dar es alaam mara baada ya kusaini msaada wa bilioni 318 kutoka Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini wa ujenzi wa njia ya usambazaji umeme kutoka Iringa,Shinyanga,ujenzi wa Majengo ya Chuo Kikuu cha Tiba cha Muhimbili na maandalizi ya vitambulisho vya kitaifa. Kulia ni Balozi wa Korea kusini nchini Balozi wa Korea Kusini Young hoon Kim.Picha na Tiganya Vincent, MAELEZO- Dar es salaam

MAKAMU WA RAIS DK GHARIB BILAL AMJULIA HALI MZEE SAMWEL MALECELA MJINI DODOMA

Mama Asha Bilal,akisalimiana na Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais Mstaafu, John Malecela, wakati alipofika kumjulia hali nyumbani kwake mjini Dodoma na Makamu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (kulia)baada ya kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais Mstaafu John Malecela, alipofika kumjulia hali nyumbani kwake mjini Dodoma jana Julai 29,2011.Mzee Malecela alifanyiwa upasuaji nchini India na hali yake inaendelea kuimarika.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais Mstaafu, John Malecela, wakati alipofika nyumbani kwake mjini Dodoma jana Julai 29,kmjulia hali baada kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni.Kushoto ni Mama Asha Bilal.
3:- Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais Mstaafu, John Malecela, wakati alipofika nyumbani kwake mjini Dodoma jana Julai 29,kmjulia hali baada kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni. Kushoto ni Mama Asha Bilal.
Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal (kulia) akifurahia jambo na mke wa  Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais Mstaafu, John Malecela, wakati alipofika nyumbani kwake mjini Dodoma jana Julai 29,kmjulia hali baada Malecela kurejea nchini kutoka kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na mke wa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais Mstaafu, John Malecela (wa pili kulia) ambaye pia anaagana na mke wa Kamau wa rais Mama Asha Bilal, baada ya mazungumzo wakati walipofika nyumbani mstaafu huyo mjini Dodoma jana Julai 29,kmjulia hali baada kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni.
7Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Asha Bilal (kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais Mstaafu, John Malecela na mkewe,Anne Kilango, wakati Makamu alipofika nyumbani kwa Malecela mjini Dodoma jana Julai 29, kwa ajili ya kumjulia hali baada ya kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni. Picha na Muhidin Sufiani-Ofisi Ya Makamu Wa Rais

Spika Anne Makinda Atembelea Ubalozi Wa Tanzania Nchini Uingereza

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda  akifurahia jinsi picha mbalimbali za Mabalozi wa Tanzania waliowahi kuhudumia Ubalozi wetu tangu Uhuru  nchini Uingereza zilivyopambwa katika ngazi za kuingia Ubalozini hapo mara baada ya kutembelea Ubalozi huo Leo. Anaemuongoza kuingia ni Naibu Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza  Mhe. Chabaka Kilumanga.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda  akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kutembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza. Pembeni ni Naibu Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza Mhe. Chabaka Kilumanga aliyemkaribisha Mhe. Spika Ubalozini.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda  akizungumza na maafisa wa Ubalozi wetu Uingereza mara baada ya kuwatembelea
Mpigapicha hizi Owen Mwandumbya wa Bunge la Tanzania nae katika konooooooz na Naibu Spika wa Bunge la Uingerza  Mhe.Nigel Evance(Mb)(kushoto) pamoja na Mwenyekiti Mpya wa CPA Mhe Sir Alan Heselhurst (Mb)mara baada ya kumalizika rasmi kwa mkutano wa 57 wa CPA ambao ulifanyika London Uingereza kwa kukutanisha  Maspika, Maseneta na Wabunge zaidi ya 700 kutoka nchi 52 za Jumuiya ya Madola kujadili maswala mbalimbali yahusuyo uendeshaji wa Mabunge katika mabunge wanachama wa Jumuiya hiyo.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda  akiwa katika picha ya Pamoja na Naibu Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza Mhe. Chabaka Kilumanga pamoja na watumishi wote wa Ubalozi wetu nchini Uingereza mara baada ya kutembelea Ubalozi wetu Uingereza.

Thursday, 28 July 2011

Shirecu vows to continue buying cotton at 1,100/- per kilogramme


Shinyanga Regional Cooperative Union (1984) Ltd (SHIRECU) has vowed to continue buying cotton from framers at 1,100/- per kilo despite its fall in price on the world market.
SHIRECU chairman Robert Jongela told this paper that the aim was to encourage farmers to continue cultivating the crop. He said the region’s cotton buying season started on June 20, this year.
He said despite the fall of the cotton price on the world market where it was now fetching USD 98.63 cents per kilo, the union would not buy cotton at a price less than 800/- a kilo.
Meanwhile, SHIRECU acting general manager Joseph Mihangwa has said that the union would continue buying cotton at reasonable prices. He said a recent meeting between SHIRECU, Tanzania Cotton Growers Association(TACOGA) and the Tanzania Cotton Board (TCB) had agreed to continue buying cotton according to prevailing world market prices.
Mihangwa said since the beginning of the cotton buying season, they had managed to buy a total of 4.7 million kgs of cotton in its nine zones. He said the SHIRECU zone in Muhunze area had surpassed the target whereby it bough 9.5 million kgs while the target was to buy 1.5 million kilos.
He named the other zones that had performed well as Sola, Luguru, Bukombe, Kahama, Malampaka, Meatu and Uzogore.
He named other cotton buyers in Shinyanga region as Kahama Cotton Company Ltd (KCCL), which bought 5.7 million kilos, and SNC Ginnery Company, which bought 4.8 million kgs.
Last week, Prime Minister Mizengo Pinda told the National Assembly that a decrease in the cotton price on the world market was caused by bumper harvests in India, Pakistan, China, Brazil and the US. The premier was responding to a question from Sumve lawmaker Richard Ndasa.

US debt crisis: Is Obama's leadership style suited to the moment?

Despite Obama's use of the bully pulpit in the showdown over the debt limit, he is not a direct party to negotiations. How much has his cautious leadership style contributed to his predicament?

In recent weeks, Mr. Obama has relied heavily on the bully pulpit – press conferences, televised statements, speeches – to push for a bipartisan compromise that would enact major deficit reduction in exchange for an increase in the federal debt ceiling. The Treasury Department says the US risks beginning to default, with calamitous economic results, if no action is taken by Aug. 2.
But no amount of public jawboning by the president is going to move opinion on Capitol Hill, especially among the newly elected House hard-liners from the conservative tea party movement. Even as Obama’s call Monday night for citizens to contact their members of Congress over the crisis led to downed websites and jammed phone lines, a solution looks as distant as ever.
And Obama himself is no longer even a direct party to the negotiations. His White House must rely on its Democratic allies, particularly in the Democratically-controlled Senate, to stay in the loop.
Obama’s predicament is not entirely of his own making. Hyper-partisan gridlock has been years in the making. And the challenges faced by House Speaker John Boehner, who has effectively boxed himself in trying to satisfy his most conservative Republican Party members, have added to Obama’s woes.
But certainly there is a dimension to Obama’s leadership style – a tendency to set a policy framework and then let Congress work out the details – that has contributed to the state of play.
He followed that modus operandi with both the big economic stimulus package early in his term, and then health-care reform, but then Democrats had majorities in both houses of Congress. He could safely assume they’d pass legislation he could sign. Now the game is different: He faces a balky Republican majority in Congress.
“He’s clearly a president who accepts the terms of debate and then tries to work from within that,” says Julian Zelizer, a presidential historian at Princeton University in New Jersey. “He’s not a president who tries to shape the agenda, who tries to tell Americans how they should be thinking about problems.”
In effect, Obama allowed House Republicans to refocus American politics onto deficit reduction, and allowed them to tie spending reduction to the debt ceiling without weighing in forcefully with an alternative vision. Last December, he didn’t embrace the recommendations of his own bipartisan deficit reduction commission, and in his State of the Union address in January, he again avoided any serious discussion of how to address the looming deficit crisis.
“A lot of my criticism [of Obama] is based on the idea that dealing with this problem required educating the public and building support for what I think is a centrist solution over time,” says David Schanzer, a professor of public policy at Duke University in North Carolina.
Still, he credits Obama for demonstrating flexibility and a willingness to take on his own party over entitlement reform.
“What we’re really seeing now is very weak leadership in the House and exceptional intransigence,” says Mr. Schanzer.
IN PICTURES: Who's who in the US debt crisis
One of the criticisms among Republicans is that Obama has yet to put out his own detailed plan for deficit reduction. But, Schanzer points out, after the Democrats’ shellacking in the midterms – in part over health-care reform – Obama was hardly going to set himself up for another public pounding so soon by showing his hand on entitlement reform.
Still, he says, the release of the Ryan plan – a Republican budget proposal by House Budget Chairman Paul Ryan calling for wholesale entitlement reform –was Obama’s cue to educate the public on how he would resolve the deficit crisis.
Fast forward to today. Thomas Mann, a senior fellow at the Brookings Institution, sees Boehner as a “prisoner” of his party caucus.
“Obama nonetheless chose to negotiate with him, but now realizes he will have to force a solution that is opposed by a majority of House Republicans,” Mr. Mann says. “His effort to deal with Boehner improved his position with the public; now the test is whether he stands strong or caves.”
Other, more risky leadership options for Obama lurk in the background. One centers on Section 4 of the 14th Amendment of the Constitution, which states that the “the validity of the public debt of the United States ... shall not be questioned.”
On Wednesday, House Democratic leaders urged Obama to invoke the 14th Amendment and unilaterally raise the debt ceiling if Congress can’t reach agreement by Aug. 2. Obama recently said that he has discussed the idea with his counsel, and been advised not to pursue that route.
Another alternative, as laid out by two law professors in The New York Times on July 22, would be to invoke overall constitutional authority as president to raise the debt ceiling, in the name of preventing a national catastrophe. Obama could look to his idol, President Lincoln, as his role model.
“When Abraham Lincoln suspended habeas corpus during the Civil War, he said that it was necessary to violate one law, lest all the laws but one fall into ruin,” wrote Eric Posner and Adrian Vermeule.
Either constitutional move would be highly risky. At a Latino civil rights convention on Monday, Obama mused on the idea of bypassing Congress and changing the laws on his own – explicitly on immigration and, by implication, on the debt ceiling.
“Believe me, the idea of doing things on my own is very tempting,” he said. But “that’s not how our democracy functions.”
And given Obama’s usually cautious style, it would hardly be in character for him to throw up his hands and bypass Congress altogether, without permission.