Tuesday, 6 September 2011

Nizar Khalfan amkabidhi jezi Rais Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam


Mtanzania anayecheza Soka ya kulipwa katika timu ya White Caps ya jijini Vancouver Canada Nizar Khalfan akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Kikwete jezi ya timu yake wakati alipokwenda kumsalimu na kumshukuru ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni.(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment